Hongera Masoud Kipanya ila tunaomba ufafanuzi kidogo kuhusu hii gari yako

nimeona mwananchi wameweka kuwa Gari la kwanza la umeme ndio limezinduliwa mbona huu uongo jamani? kwa nini msifamye tafiti kwanza jaman?

Kule Arusha watu wametengeneza Gari tena za Kwenda Mbugani ni full umeme tu!

acheni kukuza watu kwa kuwa tu wana majina makubwa! acheni kumtafutia mtu promo kiboya

angalieni hapa
 
Ukiweka n picha la hilo gari la Arusha itapendeza zaidi
 
Mleta mada umemuelewa vizuri?
 
Pongezi kwa kipanya na kampuni yake kwa uthubutu.

Kamwe asivunjike moyo kwa wivu wa kitz maana huwa hawapendi kuona mbongo anafanya mambo makubwa kama haya....either wataamkatisha tamaa kwa maneno ya ovyo....au kumpiga ushirikina.....hivyo tunamuombea sana Mungu amlinde lkn pia naye anapaswa sana kujiombea mara zote ili watanzania wapate manufaa kwa ubunifu wake huu
 
Usije kuta ametumia vifaa vya ujenzi,

vipuri msijali mtatumia vya piki piki, ist, stalet na bajaj
 
Swali namba 6 : ametumia gharama gani kulitengeneza?
 
Punguza jazba , watu wote tutawapa promo wajitangaze tu sisi tutawasapoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…