Hospitali ya Mloganzila yaanzisha huduma ya kurekebisha 'shape' ya mwili
Sasa itakuwa kuna amakalio ya Mtanzania siyo ya Mchina tena.
Haya, wale ambao mnataka kumkosowa Mwenyezi Mungu alivyowaumba, nendeni mkatangulizwe mapema, kwa pesa zenu wenyewe.
 
Sasa itakuwa kuna amakalio ya Mtanzania siyo ya Mchina tena.
Haya, wale ambao mnataka kumkosowa Mwenyezi Mungu alivyowaumba, nendeni mkatangulizwe mapema, kwa pesa zenu wenyewe.
Kama ingekuwa ni kumkosoa Mungu alivyokuumba isingewezekana. Hamna mtoto anayezaliwa na matako makubwa au matiti makubwa. Yanakua Accord to factors nyingi including chakula, mazingira, madawa, lyfstyle, genetics, hormones etc. Mi nikiskia mtu anasema hoo sijui Mungu kakuumba hivi...cjui Nini..bac usile, usiende gym..Baki tu Mungu afanyw miujiza mwili ujijenge. Tuache kujikosha na ujinga.
 
Screenshot_20231011_154642_GBWhatsApp.jpg


kazi kwako dada angu.
Nenda kaongeze hizo Gluteus utupe burudani.
 
Yaani ndo yamezid kushuka thamni kama ilivo adimu kumpata mwanamke mwenye chocolate colour au mweusi sikuhiz na itakuwa tabu kumpata mwanamke asie na Tako siku zijazo😂😂😂
🤣🤣🤣 ila weusi mbona bado tupo wengi sio wote tunaweza kununua mikorogo
 
Back
Top Bottom