Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuoneshe picha pm tuone kama yaliyomo yamo na unajikunali kweli 😁😁Namshukuru Mungu kwenye kipengere cha tamaa kwangu alinitendea/yaani najikubali, kuhangaika na mwili/kitu siwezi😂😂
Tunaita ya Mlonganzila 🤣🤣Sasa itakuwa kuna amakalio ya Mtanzania siyo ya Mchina tena.
Haya, wale ambao mnataka kumkosowa Mwenyezi Mungu alivyowaumba, nendeni mkatangulizwe mapema, kwa pesa zenu wenyewe.
Kama ingekuwa ni kumkosoa Mungu alivyokuumba isingewezekana. Hamna mtoto anayezaliwa na matako makubwa au matiti makubwa. Yanakua Accord to factors nyingi including chakula, mazingira, madawa, lyfstyle, genetics, hormones etc. Mi nikiskia mtu anasema hoo sijui Mungu kakuumba hivi...cjui Nini..bac usile, usiende gym..Baki tu Mungu afanyw miujiza mwili ujijenge. Tuache kujikosha na ujinga.Sasa itakuwa kuna amakalio ya Mtanzania siyo ya Mchina tena.
Haya, wale ambao mnataka kumkosowa Mwenyezi Mungu alivyowaumba, nendeni mkatangulizwe mapema, kwa pesa zenu wenyewe.
Km nakuona utakavyobinuka km nyigu 🤣🤣Nitafute hela tu, uzee mwisho Chalinze.
Town patakua hapatoshi kila mtu anajambia mbali 🤣🤣🤣Tako nalo ni la kwenda kuchezea million 6 hivhiv kwani jamaa anatak kufanya supu au😀😀😀
Yaani ndo yamezid kushuka thamni kama ilivo adimu kumpata mwanamke mwenye chocolate colour au mweusi sikuhiz na itakuwa tabu kumpata mwanamke asie na Tako siku zijazo😂😂😂Town patakua hapatoshi kila mtu anajambia mbali 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 ila weusi mbona bado tupo wengi sio wote tunaweza kununua mikorogoYaani ndo yamezid kushuka thamni kama ilivo adimu kumpata mwanamke mwenye chocolate colour au mweusi sikuhiz na itakuwa tabu kumpata mwanamke asie na Tako siku zijazo😂😂😂
Babe wangu mimi nakupendea hivyo hivyo jinsi ulivyo 🤗😘raraa reree naomba nichangie laaziz nikaweke hipusi 🤣🤣🤣
Me nataka hipusi donti lai ili washkaji zako waseme raraa reree ana chuma cha moto 🤣🤣🤣Babe wangu mimi nakupendea hivyo hivyo jinsi ulivyo 🤗😘
Wew Tena white sema sio wa mkorogo mie wa hudhurungi. 😂😂😂🤣🤣🤣 ila weusi mbona bado tupo wengi sio wote tunaweza kununua mikorogo
Kiuno napenda kukikamatia hivyo hivyo jinsi kilivyo kutoka kwa mama kitu nachuroooooo 😋🔥🔥🔥🔥Me nataka hipusi donti lai ili washkaji zako waseme raraa reree ana chuma cha moto 🤣🤣🤣