Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Not necessarily so my friend

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
utawala wa democracia na sheria bila katiba yenye democrcia ni sawa na utawala usio na sheria wala democracia
 
Angekuwa dikteta mwendazake
asingeenda hapo, Safi Sana Samia
Chuma alikuwa alambi miguu ya Wazungu,eti Tanzania tuna Corona tusaidiwe, wakati nchi hii haijawai kuwekwa lockdown watu walikuwa wakipiga kazi kipindi cha corona, ndio maana tuna chakula cha kutosha,hiyo corona anayoisema hata serikali yake haiamini ndio Maana usikii wakitoa takwimu ila wanataka msaada wa corona, chanjo milioni moja zimewadodea alafu anaomba nyingine sijui ataziweka wapi,tuna picha ya Rais sio Rais
 
Ni mambo ya ajabu. Anaomba wale Hati miliki za Chanjo watoe ruhusa kwa Nchi Maskini kama Tanzania tutengeneze hizo Chanjo. Unajiuliza Ni akina nani watachanja wakati zile milioni moja tu zimekosa watumiaji?
 
usiniambie, mama ako anatabia za usagaji kumbe. kumbe she is useless namna hiyo. au ndo maana aliachika kwa baba ako?
Nakupa ofa ukija na matusi mapya nakupa debe la mbege.
 
aisee. Kumbe ndio maana JPM alikuwa anamfokea huyu mama. kumbe hamna kitu kweli.
 
Ni maandalizi gani alihitaji? Halafu mbona unapingana naye maana yeye kasema ameshapata uzoefu baada ya kujifunza kwa miezi Sita.
Jiulize wewe nafsini mwako kesho ukiamka ghfla bin vuuu, we ndio Rais wa nchi ya Tanzania.

Usinipe jibu, we jitafakari tu.
 
Ni mambo ya ajabu. Anaomba wale Hati miliki za Chanjo watoe ruhusa kwa Nchi Maskini kama Tanzania tutengeneze hizo Chanjo. Unajiuliza Ni akina nani watachanja wakati zile milioni moja tu zimekosa watumiaji?
Alafu sisi tupo uchumi wa kati.
 
Huyu mama madaraka yamempanda kichwani, kwenye bunge la katiba la Kikwete alikuwa MWENYEKITI, Leo analazimisha Mbowe afungwe sababu anazungumzia katiba.

shame.
Tatizo Mbowe alianza vurugu,miaaka 6 ya JPM alikataa katiba na mukawa wapole,MAMA siku 100 kakubali alisema tumpe muda ,sasa nyinyi mukakosa subra.
 
Mambo ya ajabu vipi yaami nyie Mbowe, Lema na Lissu, kila pumba wakiongea mnafuata kama manyumbu, punguani sana nyie Bavicha.
Fikra kama za kutokea kwenye Kiwiliwili. Hivi kila anayemkosoa mama ni Chadema tu?
 
Mama anaweza sana, Makofi ni mengi sanae
 
Aise! Kumbe Mama yetu Yuko vizuri.
Sote tunapaswa kumpongeza,kwa kweli ametuwakilisha vizuri!
 
aisee. Kumbe ndio maana JPM alikuwa anamfokea huyu mama. kumbe hamna kitu kweli.
Huyu akiminywa
Matusi ulianzisha wewe, kama uko Tayari kwa hoja tuendelee.

Swali
Samia alipokuwa anazungumzia COVID alikuwa anataka kuwapa wasikilizaji ujumbe gani mfano? sababu kaielezea toka imeanza mpaka sasa.
Swali kamuulize Mbowe.
 
Mama yupo juuuu.mkerekao na mkereke Mama kahutubia haswaaaaa!
 
Jiulize wewe nafsini mwako kesho ukiamka ghfla bin vuuu, we ndio Rais wa nchi ya Tanzania.

Usinipe jibu, we jitafakari tu.
Kwa hiyo kuna College au Training Centres kwa ajili ya Uraisi ambazo mama hajahudhuria ila wenzie wamehudhuria?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…