Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi limetuathirije wakati kipindi cha corona,wakulima wamelima mpaka mazao yanakosa soko, Wazungu kipindi cha Magufuri walijazana hapa na Zanzibar, Maana serikali ilitangaza atuna corona watu wakachapa kazi,yeye baada ya kutafuta masoko ya madini/mazao/utalii,yuko kulilia chanjo ya corona, wakati walizompa milioni moja zimewadodeaMwl wako wa civics alikuwa na kazi mno.
kwani hujui hilo janga limeharibu mfumo mzima wa maisha kiuchumi, kijamii na kiutamaduni? Unaachaje kutumia muda mwingi kuliongelea.
Duh!! Kiongozi wa nchi huandaliwa, uongozi wa nchi ni mpana Sana.Kwa hiyo kuna College au Training Centres kwa ajili ya Uraisi ambazo mama hajahudhuria ila wenzie wamehudhuria?
Teknolojia imekupita mbali ndugu, anasoma hapo sema huwezi kuona. Wenzangu watakusaidia hicho kifaa kinaitwaje, mimi nimekisahau.
Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu. Mama tukimfanyia score grading analamba 2 kati ya 10 uwezo wake ni mdogo sana kwenye upambanuzi wa mambo.Ameshindwa hata kutunga Sentensi Yake mwenyewe kumueleza Mwenyekiti na wajumbe wengine kuwa yeye haitwi SAMIA SULULU HASSANI Bali SAMIA SULUHU HASSANI.
Ila anaweza kuongea mbele ya Wanaume wa Kitanzania kuwa Mwaka 2025 Ni yeye atatuwala rasmi?Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu.
Kinaitwa teleprompter!
Ndugu miaka 4 ni mingi lolote linaweza tokea,Ila anaweza kuongea mbele ya Wanaume wa Kitanzania kuwa Mwaka 2025 Ni yeye atatuwala rasmi?
Hakuna kitu unajua, kuhusu uchumi we ni taburarasa tu. Bora ukae kimya kulinda heshima yako jukwaani.Sisi limetuathirije wakati kipindi cha corona,wakulima wamelima mpaka mazao yanakosa soko, Wazungu kipindi cha Magufuri walijazana hapa na Zanzibar...
ukumbi ulikuwa umesheheni.Hofu yangu Ni kwamba, anaweza asipate watu wa kumsikiliza...
Akabaki na balozi mulamula na viti
we mwenye uwezo wa 10/10 umelifanyia nini taifa zaidi ya kula kulala kwa shemeji yako.Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu. Mama tukimfanyia score grading analamba 2 kati ya 10 uwezo wake ni mdogo sana kwenye upambanuzi wa mambo.
Dikteta alikuwa hajui kizungu,Chuma alikuwa alambi miguu ya Wazungu,eti Tanzania tuna Corona tusaidiwe, wakati nchi hii haijawai kuwekwa lockdown watu walikuwa wakipiga kazi kipindi cha corona, ndio maana tuna chakula cha kutosha,hiyo corona anayoisema hata serikali yake haiamini ndio Maana usikii wakitoa takwimu ila wanataka msaada wa corona, chanjo milioni moja zimewadodea alafu anaomba nyingine sijui ataziweka wapi,tuna picha ya Rais sio Rais
Hao misukule ya dikteta bado wapo na maruerue ya kufiwa na mungu waoWabongo hamna dogo! Kumbukeni huyu ni Rais mwana mama, halafu hakujiandaa kua Rais, yeye alikua kiutendaji zaidi.
Kwa mtazamo wangu, kajitahidi kuwapa mabeberu wanachotaka kusikia Ili kufunika kombe mwanaharamu apite.