Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

"Tunaomba Hati Miliki za chanjo ya UVIKO-19 zitolewe kwa Nchi zinazoendelea ili ziweze kumudu uzalishaji wa chanjo hizi, hili litaisaidia katika kumaliza tatizo hili na kuokoa maisha ya Watu kwa ujumla"-------Rais Samia kwenye Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la UN
 
Mama katuwakilisha vema.Ninachukua fursa hii kumpongeza
 
"Tutaendelea kuwa Tanzania ileile mliyoifahamu, Tanzania mliyoitegemea, Tanzania yenye amani na ushirikiano na Nchi zote, nia ni kuifanya Dunia iwe mahala pazuri na sehemu salama kwetu sote"------Rais Samia kwenye Mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
 
Si
Mwl wako wa civics alikuwa na kazi mno.
kwani hujui hilo janga limeharibu mfumo mzima wa maisha kiuchumi, kijamii na kiutamaduni? Unaachaje kutumia muda mwingi kuliongelea.
Sisi limetuathirije wakati kipindi cha corona,wakulima wamelima mpaka mazao yanakosa soko, Wazungu kipindi cha Magufuri walijazana hapa na Zanzibar, Maana serikali ilitangaza atuna corona watu wakachapa kazi,yeye baada ya kutafuta masoko ya madini/mazao/utalii,yuko kulilia chanjo ya corona, wakati walizompa milioni moja zimewadodea
 
Kwa hiyo kuna College au Training Centres kwa ajili ya Uraisi ambazo mama hajahudhuria ila wenzie wamehudhuria?
Duh!! Kiongozi wa nchi huandaliwa, uongozi wa nchi ni mpana Sana.
Bila hivo nchi husimama na kusogea kwa kucheza kamari ya matokeo ya mifumo. Business as usual.

Naona unajina la kilatini bilashaka utakua umesoma shule za misheni, na Kama ni mseminari basi draw logic utaelewa namaanisha nini. Ila Kama pia hujaelewa usijilaum duniani tunapita.
 
70% mwezi Kati Kati 2022, hiv huu Ni mwaka gani?? Au Ni mm tu ndo sijamuelewa mother!! Au anakuja na sera ya Uganda, Kenya na Rwanda?? Naanza kupata mashaka Kuwa taasis ya uRais kiti kimeanza Kuwa kikubwa au kidogo, anyway, kwa kuwa huu Ni mwaka 2010 itawezekana.

Kama tu mpka Sasa miez 4 hatujafika hata nusu ya doz, leo hii July tuwe tumefika 70%? Huko mbele kunautengeno mkuu.. nawaza tu kwa kuandika
 
Ameshindwa hata kutunga Sentensi Yake mwenyewe kumueleza Mwenyekiti na wajumbe wengine kuwa yeye haitwi SAMIA SULULU HASSANI Bali SAMIA SULUHU HASSANI.
Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu. Mama tukimfanyia score grading analamba 2 kati ya 10 uwezo wake ni mdogo sana kwenye upambanuzi wa mambo.
 
Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu.
Ila anaweza kuongea mbele ya Wanaume wa Kitanzania kuwa Mwaka 2025 Ni yeye atatuwala rasmi?
 
Hofu yangu Ni kwamba, anaweza asipate watu wa kumsikiliza...
Akabaki na balozi mulamula na viti
 
Sisi limetuathirije wakati kipindi cha corona,wakulima wamelima mpaka mazao yanakosa soko, Wazungu kipindi cha Magufuri walijazana hapa na Zanzibar...
Hakuna kitu unajua, kuhusu uchumi we ni taburarasa tu. Bora ukae kimya kulinda heshima yako jukwaani.
 
Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu. Mama tukimfanyia score grading analamba 2 kati ya 10 uwezo wake ni mdogo sana kwenye upambanuzi wa mambo.
we mwenye uwezo wa 10/10 umelifanyia nini taifa zaidi ya kula kulala kwa shemeji yako.
 
Chuma alikuwa alambi miguu ya Wazungu,eti Tanzania tuna Corona tusaidiwe, wakati nchi hii haijawai kuwekwa lockdown watu walikuwa wakipiga kazi kipindi cha corona, ndio maana tuna chakula cha kutosha,hiyo corona anayoisema hata serikali yake haiamini ndio Maana usikii wakitoa takwimu ila wanataka msaada wa corona, chanjo milioni moja zimewadodea alafu anaomba nyingine sijui ataziweka wapi,tuna picha ya Rais sio Rais
Dikteta alikuwa hajui kizungu,
 
Wabongo hamna dogo! Kumbukeni huyu ni Rais mwana mama, halafu hakujiandaa kua Rais, yeye alikua kiutendaji zaidi.

Kwa mtazamo wangu, kajitahidi kuwapa mabeberu wanachotaka kusikia Ili kufunika kombe mwanaharamu apite.
Hao misukule ya dikteta bado wapo na maruerue ya kufiwa na mungu wao
 
Habari yote ni covid 19 kuomba pesa na msaada wa chanjo ili watu 70% wachanjwe kama alivyoelekeza na bwana mkubwa Biden.

Nimependa tu sehemu moja alipoitaarifu dunia kuwa Tanzania tupo kwenye uchumi wa tumbo 🤣
 
Back
Top Bottom