Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaani watu hawana habari na chanjoKachanje Acha ubishi
TeleprompterTeknolojia imekupita mbali ndugu, anasoma hapo sema huwezi kuona. Wenzangu watakusaidia hicho kifaa kinaitwaje, mimi nimekisahau.
Hivi samaki unapomuwekea chambo kwenye ndoana anakuwa amekuomba au unamuingiza kwenye 18 zako??Kwani uliona anakwenda kupiga magoti kuziomba,yaani mtu ajipendekeze kuletea ela tena bila kuomba,alafu urudishe!utakuwa rofa,wao walijependekeza kwa chuma nae kawajengea watu Wake barabara
Hujui lolote wewe tulia. Mbele yake kuna screen/monitor zinazoscrow down ye anasomaMama anaongea muda huu live anavunja yai zuri sana. Kongole mheshimiwa hata hasomi mahali.
Asitutie aibu haibu ya kwenda kulalamika na kujilizaliza kama viongozi wa Afrika waliopita, eti hadi leo watu bado wanasikitikia mambo ya ukoloni
"...kind attention"? How did she know her audience was listening with "kind' attention?
Dikteta hata kusoma kizungu alikuwa hajui,bogusKwani Samia alikuwa anaongea kizungu,au alikuwa anasoma hotuba ya kizungu
Kamlete yule alikuwa anasema.....Pipo yuz tu dai in ze rake"Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu. Mama tukimfanyia score grading analamba 2 kati ya 10 uwezo wake ni mdogo sana kwenye upambanuzi wa mambo.
Bora tungekuwa na huo mchango. Hakuwa na cha kuchangia UN. She is way out of her depth.Hizi pesa ni mzigo kwa walipa kodi kwenye maswala ambayo Tanzania mchango wake hauthaminiki.
Ulikua unataka azungumzie nini? Vipi lugha inapanda lakini maana mama katema yai la standard zake siyi kama yule msukuma angetutia aibumama anatumia muda mwingi kuzungumzia covid, si ndo aibu zenyewe hizi.
Kile kikao kinajadili mambo ya kidunia huendi kuongelea wamachinga au tozo pale.watanzania muwe na uelewa kwa sasa duniani janga ni covid 19 na kila nchi inapambana kuitokomeza ila kwa sababu mlishalishwa sumu na mwendazake mmekuwa vilaza na vipofu kabisa. Poleni mama kaupiga mwingi leo.Kiukweli sjaona kilichompeleka zaidi ya kuongea mambo ya corona mbna shda za watazania n nyingi mno
Mama kawaweza leo na chuki zenu mlitaka achemke mpate la kusema. Katema yai la uhakika [emoji1787][emoji1787]Mtu anaangalia muda wote eneo moja hata shingo hazungushi, mahaba mengine taabu sana.
Mama hawezi toa hotuba bila kusoma, never
Acha wivu kama mtoto wa kike.mama katema yaiiSasa kuna kiingereza gani kimeongelewa hapo? kiingereza unakijua! wakati mwingine bora kukaa kimya tu.......
Wana wivuu walitaka achemshe wapate la kuongea mama kaongea hotuba nzuri sana kwa lugha iliyonyooka sanaa.Mbona kaongea kiingereza Safi kabisa! We shida yako nini?
Au ndo Team pingapinga Fc?
Si hamchanji kutokana na ujinga wenu? Unataka awafunge kamba mkachanje? Mama 2025 nampa kura yangu ili kuwakomesha nyie wenye chuki nae zisizo na msingi japo siipendi CCM.Ni mambo ya ajabu. Anaomba wale Hati miliki za Chanjo watoe ruhusa kwa Nchi Maskini kama Tanzania tutengeneze hizo Chanjo. Unajiuliza Ni akina nani watachanja wakati zile milioni moja tu zimekosa watumiaji?