Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Nimemsikia " we managed to maintain peace, political stability and vibrant democracy.,... Good governance practices " kweli?? Kwa chaguzi za kibabe??? Vyama kuzuiwa kufanya kazi za siasa??? Kubambika kesi???
 
Kwani uliona anakwenda kupiga magoti kuziomba,yaani mtu ajipendekeze kuletea ela tena bila kuomba,alafu urudishe!utakuwa rofa,wao walijependekeza kwa chuma nae kawajengea watu Wake barabara
Hivi samaki unapomuwekea chambo kwenye ndoana anakuwa amekuomba au unamuingiza kwenye 18 zako??
 
Mama hana uwezo wa kuongea kwenye hadhara, ukimchunguza vyema kwenye speech zake anavyoongea ni kama kabanwa na pumu. Mama tukimfanyia score grading analamba 2 kati ya 10 uwezo wake ni mdogo sana kwenye upambanuzi wa mambo.
Kamlete yule alikuwa anasema.....Pipo yuz tu dai in ze rake"
 
In this speech of her Excellency the president of the URT of Tanzania, only two issues were given focus: Covid-19 and Climate Change. There was no issue of good governance: democracy, rule of law etc.
 
Hizi pesa ni mzigo kwa walipa kodi kwenye maswala ambayo Tanzania mchango wake hauthaminiki.
Bora tungekuwa na huo mchango. Hakuwa na cha kuchangia UN. She is way out of her depth.

Mkikaa kikao cha familia kujadili majawabu ya changamoto zenu, wewe ukasimama ukaomba mabati kumalizia nyumba yako, hatuwezi kusema umechangia hoja, kwa sababu mabati hayatamsaidia mtu mwingine. Huna mchango wowote wa mawazo, hali na mali kwa majawabu ya matatizo ya familia.

Theme ama maudhui ya hotuba ya Samia ni maombi na madeko, kaendeleza U-Kikwete ule ule wa kusujudia misaada ya wazungu. Hajatoa mchango.

Samia na Jakaya wanachuana nafasi ya the worst president in history of East Africa.
 
mama anatumia muda mwingi kuzungumzia covid, si ndo aibu zenyewe hizi.
Ulikua unataka azungumzie nini? Vipi lugha inapanda lakini maana mama katema yai la standard zake siyi kama yule msukuma angetutia aibu
 
Kiukweli sjaona kilichompeleka zaidi ya kuongea mambo ya corona mbna shda za watazania n nyingi mno
Kile kikao kinajadili mambo ya kidunia huendi kuongelea wamachinga au tozo pale.watanzania muwe na uelewa kwa sasa duniani janga ni covid 19 na kila nchi inapambana kuitokomeza ila kwa sababu mlishalishwa sumu na mwendazake mmekuwa vilaza na vipofu kabisa. Poleni mama kaupiga mwingi leo.
 
Mtu anaangalia muda wote eneo moja hata shingo hazungushi, mahaba mengine taabu sana.
Mama hawezi toa hotuba bila kusoma, never
Mama kawaweza leo na chuki zenu mlitaka achemke mpate la kusema. Katema yai la uhakika [emoji1787][emoji1787]
 
Ni mambo ya ajabu. Anaomba wale Hati miliki za Chanjo watoe ruhusa kwa Nchi Maskini kama Tanzania tutengeneze hizo Chanjo. Unajiuliza Ni akina nani watachanja wakati zile milioni moja tu zimekosa watumiaji?
Si hamchanji kutokana na ujinga wenu? Unataka awafunge kamba mkachanje? Mama 2025 nampa kura yangu ili kuwakomesha nyie wenye chuki nae zisizo na msingi japo siipendi CCM.
 
Back
Top Bottom