Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Hotuba ya Rais Samia Suluhu kwenye Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) - Septemba 23, 2021

Yaani wapuuzi mnamawazo ya kijima kweli kutema yai inauhusiano gani na changamoto za taifa letu.
Rais anacheza ngoma ambaye haimuhusu mambo ya mazingira na hoja za covid hizo ziko juu sana ya ufahamu wake inaonekana haelewi ugomvi wa kibiashara kati ya mashariki na magharibi badala ya kusisitiza namna taifa litakavyo nufaika na biashara ya kimataifa walau vijana wake waweze kutanzuka kwenye ukosefu mkubwa wa ajira
Hakuna hoja zenye mlengo wa kutatua changamoto za Africa, mwanzo mwisho anakomaa na COVID-19 as if covid ndio kipaumbele kwake na kulialia misaada kana kwamba nchi hii niya wakoma (ujinga mtupu)
Kama hafahamu matatizo ya watanzania wenye nafasi saidieni kumkumbusha huyu Bibi Giza limekua Totoro sana
 
Yaani wapuuzi mnamawazo ya kijima kweli kutema yai inauhusiano gani na changamoto za taifa letu.
Rais anacheza ngoma ambaye haimuhusu mambo ya mazingira na hoja za covid hizo ziko juu sana ya ufahamu wake inaonekana haelewi ugomvi wa kibiashara kati ya mashariki na magharibi badala ya kusisitiza namna taifa litakavyo nufaika na biashara ya kimataifa walau vijana wake waweze kutanzuka kwenye ukosefu mkubwa wa ajira
Hakuna hoja zenye mlengo wa kutatua changamoto za Africa, mwanzo mwisho anakomaa na COVID-19 as if covid ndio kipaumbele kwake na kulialia misaada kana kwamba nchi hii niya wakoma (ujinga mtupu)
Kama hafahamu matatizo ya watanzania wenye nafasi saidieni kumkumbusha huyu Bibi Giza limekua Totoro sana
Samia mpaka 2030 hutaki hamia Burundi
 
Hajazungumzia issues za democracy, hasa anavyowabana wapinzani wake.
 
Kwa hiyo anataka kufika mwakani angalau watu 7 kati ya 10 wawe wamechanjwa!
Vitu vingine hata ukiwa umepiga gongo ni ngumu kuvifikiria.
 
Mama hakuwa connected na anachokisoma...hakuwa confident...misamiati mingi ilimshinda kutamka...speech haikuwa na FACTS..FIGURES...

Yani nilisema juzi Mama ataaibika tu..

It happened.

Rudi home.. Vitu havinunuliki..
 
Kwa hiyo anataka kufika mwakani angalau watu 7 kati ya 10 wawe wamechanjwa!
Vitu vingine hata ukiwa umepiga gongo ni ngumu kuvifikiria.
Hamna kituu... Speech lote limejaa COVID.. Au ndo ilikuwa Main Theme ya mkutano..!?

Mabeberu bhana. Yani yanafosi uongee yanachotaka wao..
Ohh sijui Climate Change...sasa Climate change sisi huku bongo iko wapi!?

Yani inakuwaje.. USA na China na Watu wa huku IDODI Iringa mtufosi tufanane speech..

Hovyo kabisaa.

Turudishieni hela zetu.
 
Ok ,kesho Wai chato kafagilie kaburi, hizo chuki zako kwa Rais zitamaliza afya yako tu
Umepewa chanjo milioni 1 mpaka sasa waliochanjwa hawafiki hata laki 3. Alafu unaenda #UNGA kuiambia dunia unataka chanjo nyingine! Seriously!
 
Unateseka ukiwa wapi? Wenye akili tumemfuatilia na tunasema amewakilisha Taifa vizuri
Umepewa chanjo milioni 1 mpaka sasa waliochanjwa hawafiki hata laki 3. Alafu unaenda #UNGA kuiambia dunia unataka chanjo nyingine! Seriously!
 
Mpambeni na kitambaa Cha kitani Ila huyo mama bogus ..unatoka kwa minority alafu unajifanya mjanja..Kuna jamaa yangu Yuko NY alivyoona Ile picha Times square akanitext "huyu sio mama yake Hamza????[emoji1][emoji23][emoji1][emoji23][emoji1][emoji23]
Hujui kuandika vizuri ?
 
Chuma alikuwa alambi miguu ya Wazungu,eti Tanzania tuna Corona tusaidiwe, wakati nchi hii haijawai kuwekwa lockdown watu walikuwa wakipiga kazi kipindi cha corona, ndio maana tuna chakula cha kutosha,hiyo corona anayoisema hata serikali yake haiamini ndio Maana usikii wakitoa takwimu ila wanataka msaada wa corona, chanjo milioni moja zimewadodea alafu anaomba nyingine sijui ataziweka wapi,tuna picha ya Rais sio Rais
Umepewa chanjo milioni 1 mpaka sasa waliochanjwa hawafiki hata laki 3. Alafu unaenda #UNGA kuiambia dunia unataka chanjo nyingine! Seriously!
 
Nauliza huyo mama kuongea ongea anasema turuhusiwe kutengeneza chanjo ya covid, TUNAWEZA SISI KUTENGENEZA CHANJO YA COVID, AU ALIKUWA ANAONGEAONGEA.
Hata mm sijaelewa hv kutengeneza chanjo zetu tunahitaji ruhusa ya nani hata kama ni mbovu!!?
 
Back
Top Bottom