Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lipi? Hakuna hotuba pale licha ya kung'ang'nia coronaUnateseka ukiwa wapi? Wenye akili tumemfuatilia na tunasema amewakilisha Taifa vizuri
TeleprompterTeknolojia imekupita mbali ndugu, anasoma hapo sema huwezi kuona. Wenzangu watakusaidia hicho kifaa kinaitwaje, mimi nimekisahau.
Tatizo la lako unafikiri kubweka na kushindana na ulimwengu ndio njia sahihi ya kuleta maendeleo.Huwezi fungua duka halafu ukaanza kuwatambia wateja kesho hawaji na duka unafungaWakati wa utawala wa awamu ya tano aliyekuwa Waziri wa mambo ya nje Prof Kabudi ndie alimuwakilisha Rais Magufuli kuhutubia baraza la Umoja wa mataifa....
Watanzania kwa mdomo hamjambo [emoji23][emoji23][emoji23]Rais hajui hata kuact yaani anasoma anaonekana kabisa licha ya kuwekewa yale maandishi ya kisasa...
Obama alikua anasoma nae ila huwezi amini anasoma...
Tafuta uchumi utasomeka bila tatizo na kila MTU atakujua.Rais wetu Mama Samia ametuwakilisha vyema, angalu sasa Tanzania inasomeka kimatifa.
Unaanzaje kujua limeharibu pasipo kuwa na figure ya waathrika?Mwl wako wa civics alikuwa na kazi mno.
kwani hujui hilo janga limeharibu mfumo mzima wa maisha kiuchumi, kijamii na kiutamaduni? Unaachaje kutumia muda mwingi kuliongelea.
Wewe mpumbavu tu umeona huko marais wote wameonge kingereza?Ulikua unataka azungumzie nini? Vipi lugha inapanda lakini maana mama katema yai la standard zake siyi kama yule msukuma angetutia aibu