Kauli kama hizi hazitamsaidia. Huyu jamaa chama chake kisipo m-structure atakuja kuwa "poor presidential candidate ever come from opposition".Kauli za kuita watu MASISIEMU, huwezi msikia mgombea mwenye busara akitumia majina ya ajabu. Hii itamgharimu ila bavicha watabisha.
Hofu ya nn Sasa kuzuia mikutano,Kinga ya kutoshtakiwa Kama kazi inaonekanaKazi inayofanywa na jpm kwa tanzania hii ni fimbo tosha ya kumtoa K.O tundu lissu raundibya kwanza...
Mbona imetumika gharama kubwa Sana za kupambana nayo kuliko hata kupambana na umasikini
Hivi Saddam alikua ni rais wa wapi?Kauli kama hizi hazitamsaidia. Huyu jamaa chama chake kisipo m-structure atakuja kuwa "poor presidential candidate ever come from opposition".
Kama CDM watamteua basi wafanye kazi ya kumpa semina ya ku handle personal traits kama emotions kumuondolea ile hali ya kuwa "kuhemka sana".
Kwa tafsiri ya wanyonge,ni uwezo wa kumudu basic needs.Kwako umaskini ni nini? Jibu kwa kuorodhesha na kuvieleza viashiria vya umaskini (poverty indicators) kwa mifano, ili hoja yako iwe na nguvu.
Nalitegemea jibu hilo kwa kuwa linawakilisha kiwango chako cha UFAHAMU na UELEWAWacheni kujitekenya na kukenua
Toeni hii tume ya chato wekeni tume huru muone kama mtatoboaNdugu zangu,
Huenda maisha ya lockdown yamemwathiri Tundu Lissu,ukimsikiliza utagundua walemgwa wa "urais" wake sio Watanzania bali ni mabalozi na raia nchi za ulaya na Amerika waishio Tanzania.
Nilifikiri kukaa Ubelgiji angekutana na akina Mouse Katumbi au marafiki wa Tshisekedi ambao wangemfunza jinsi ya "kufanya siasa ughaibuni'.Leo wananchi wa Ikungi wameshasahau kama walishawahi kuwa na Mbunge anaueitwa Tundu Lissu sababu hazungumzi kero yao hata moja japo kwa unafiki.
Nimalize tu kwa kumtakia maisha mema huko ughaibuni ahakikishe wanae wanasoma nayeye alinde kibarua chake.
Alikuwa Raisi wa Jamhuri wa watu wa Rufiji.Hivi Saddam alikua ni rais wa wapi?
Jenga hoja kamandaBora Lissu kuliko anayelea makundi ya wasiojulika na kutengeneza kundi la watu mafisadi na wezi kama alivyo Bashite Na Dotto.
Ndio yatapiga kura kumpa ushindi Lisu hayo mafaili?Nasikia pale mirembe mafaili yenu hayajatolewa bado
Ila tume ya chato itamuw3ka mwana chatoWatanzania tulio wengi tutamchagua Lissu
Nalitegemea jibu hilo kwa kuwa linawakilisha kiwango chako cha UFAHAMU na UELEWA
Dah! Kama alichosema ndicho mlichotarajia, basi mjue JPM kiulaini anapita Oktoba na CCM bado ipo ipo sana madarakani.Dhahabu kwa wanao jitambua tu lkn ni shubili kwa wale team mataga
Ndio yatapiga kura kumpa ushindi Lisu hayo mafaili?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Endelea kujifarijiIla tume ya chato itamuw3ka mwana chato
Hawa jamaa utafikiri wamekulia nyumba moja yani hoja zao za hovyo hovyo na ushabiki wa kiharakati. Nakumbuka hata Lowasa alibatizwa Fisadi na baadae wakadeki lami. Mtu ndumila kuwili si wa kumwamini kabisa.Kwa kuwa ni Tanzania pekee ndiyo wamenunua hizo ndege mkuu! Huko Kwa wengine Kwa sasa yamepaki yanawaongezea nini