simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Assassins bullets cant stop destiny.Kutoka ICU baada ya kutamdikwa risasi 16 hadi kuwa shujaa hapo pana mkono wa mungu.
Watanzania tuitumie hii tunu kutoka kwa mungu ili tuweze kujikomboa chini ya uongozi makini wa mh Lissu
Basi nimekuelewa Mkuu, twende na Membe atatusaidia kujibu hoja za Lissu.Mkuu mbona sijatukana,wewe ndo umeishia kunitukana,Mimi nimeiliza swali ilipashwa wewe ulijibu,Mimi nimeuliza huyu lofa urais upi anaoutaka? Au kwako lofa ni tusi mkuu?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sifa za kuwa Rais Tanzania ni kuwabambikia wapinzani kesi, kuwapiga risasi kuchota Tilion 1.5 kisha kutoa CAG kafara?Hana sifa za kuwa Rais
Weka picha tuone
Kwani mmefungua mmelipa lini kodiNitakuwekea picha baadae maana kwa sasa watu wanakimbilia kwenye ofisi za cdm kurudisha makadi ya lumumba
Hakika !Tunamhitaji Lissu kuliko anavuotuhitaji.
Nafarijika sasa kusikia saut ya matumain baada ya pambano kuu.View attachment 1472025
https://www.facebook.com/
BAADHI YA ALIYOYAONGEA:
- Naamini ninazo sifa zote shahiki za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
- Nikipewa nafasi hii na kuchaguliwa, sitolipiza visasi kwa yote yaliyofanywa na walionitangulia. Nitatafuta muafaka wa kitaifa
- Nikipewa nafasi ya kugombea urais na nikashinda, nitahakikisha mihimili ya Dola inakuwa huru
- Uamuzi wa Ndugai kunifutia ubunge haujaniondolea sifa za kuwa mgombea Urais. Aidha, sijawahi kuwa na mashtaka ya aina yoyote yanayoniondolea sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Tanzania
- Amesema akipata dhamana ya kuongoza, Serikali haitatumia Vyombo vya Dola dhidi ya Wapinzani na Wanahabari
- Atakuwa mfariji Mkuu, hatakimbilia kijijini kwao wakati wa majanga kama tetemeko au #COVID19
Uyu aliyesema Tanzania tutashtakiwa MIGA!!Uyu aliyekua akishawiahi wananchi wa jimbo lake wasichangie ujenzi wa vyumba vya madarasa na maabara!!! Uyu aliyesema Mwalimu Nyerere ni Dikteta!! Uyu aliye lamba viatu vya Lowasa!! Una maanisha Tanzania ilikua ikimsubiri yeye ili ipae? Chadema imeamua kuwa tusi wa Tanzania, basi wananchi tunasema Asante , tukutane kwenye sanduku la kura.Huyu ndiye Rais ambaye nchi hii imemtafuta kwa miaka yote .
Mungu Mkuu ametendaNafarijika sasa kusikia saut ya matumain baada ya pambano kuu.
Bwashee hivi hapa jukwani unafikiri pana watoto wadogo sana.?Mimi na wana CCM wenzangu tumeamua kuihama CCM na tunaenda kujiunga CHADEMA maana tumegundua kuwa CHADEMA ni sehemu sahihi
Leo nimesikiliza hotuba yenye hadhi ya RaisDaah mhe.Lissu ni zawad kwa watanzania kutoka m/mungu... jamaa anajua kuongea na kupangilia namna ya kuwasilisha hoja...ndg watanzania wenzangu, October tumchagueni huyu mtu ..huyu Lissu ni mtu mwenye utu na anastahili kuwa rais wa nchi hii...2015 tufanye tulipotea lkn muda wa kurekebisha Mambo ni huu...
Hizo ndiyo sera?View attachment 1472025
https://www.facebook.com/
BAADHI YA ALIYOYAONGEA:
- Naamini ninazo sifa zote shahiki za kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
- Nikipewa nafasi hii na kuchaguliwa, sitolipiza visasi kwa yote yaliyofanywa na walionitangulia. Nitatafuta muafaka wa kitaifa
- Nikipewa nafasi ya kugombea urais na nikashinda, nitahakikisha mihimili ya Dola inakuwa huru
- Uamuzi wa Ndugai kunifutia ubunge haujaniondolea sifa za kuwa mgombea Urais. Aidha, sijawahi kuwa na mashtaka ya aina yoyote yanayoniondolea sifa za kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Tanzania
- Amesema akipata dhamana ya kuongoza, Serikali haitatumia Vyombo vya Dola dhidi ya Wapinzani na Wanahabari
- Atakuwa mfariji Mkuu, hatakimbilia kijijini kwao wakati wa majanga kama tetemeko au #COVID19
Mnajipa matumaini jipeni na kiweweNafarijika sasa kusikia saut ya matumain baada ya pambano kuu.
Uchaguzi huru na wa haki CCM mnang'oka madarakani!Hakuna mwenye shida na huyo rais wa Facebook. Msitafute visingizio vya kijinga. Hakuna mwenye akili timamu atapoteza muda kufatilia huyo mropokaji. Akipata viewers 200 mkatambike wasipungue maana huenda wassikilize tena kwa pumba atazoroa leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amemhakikishia usalama?Hizo ndiyo sera?
Kweli kua uyaone
Na aliykimbila ubelgiji!
Any way rudi naona umehakikishiwa ilinzi wako kama ulivyotaka!