Hotuba ya Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant. Dalili za kwanza za kukubali kushindwa vita

Hotuba ya Waziri wa Ulinzi wa Israel Yoav Gallant. Dalili za kwanza za kukubali kushindwa vita


Kwenye habari wenye akili mara zote wanaangalia vitu vitatu..

1. CREDIBBLE SOURCE

2. RELIABLE SOURCE

3.AUTHOURITATIVE

Hivi vingine ni taka taka tu maana habari kama hii haina kichwa wala miguu hata mimi naweza kuandika tu na kamwe haiwezi kuitwa habari hii ndiyo inayoitwa PROPAGANDA au MATANGO PORI!!!. Ukitaka kujua vizuri utaona kwenye mitandao Hezbollah wanashinda vita lakini On the Ground Hezbollah wanachapoka ile mbaya. Haya ni maneno tu ya kujifariji ambayo hayapunguzi chochote kwenye uwanja wa Mapambano.
 
Uyo herzi tunamuona sawa , aya tuonesheni na yule alikuwa ktk mabanda ya kuku. Mana kwenye vikao vya Netanyahu atumuoni na uyo alikuwa akosi kikao. Tuanzieapo.
 
Kwenye habari wenye akili mara zote wanaangalia vitu vitatu..

1. CREDIBBLE SOURCE

2. RELIABLE SOURCE

3.AUTHOURITATIVE

Hivi vingine ni taka taka tu maana habari kama hii haina kichwa wala miguu hata mimi naweza kuandika tu na kamwe haiwezi kuitwa habari hii ndiyo inayoitwa PROPAGANDA au MATANGO PORI!!!. Ukitaka kujua vizuri utaona kwenye mitandao Hezbollah wanashinda vita lakini On the Ground Hezbollah wanachapoka ile mbaya. Haya ni maneno tu ya kujifariji ambayo hayapunguzi chochote kwenye uwanja wa Mapambano.
Usiwe punguani wewe toka lini BBC au CNN wakaandika habari za vifo vya Israel.

Hawa Wafaransa pamoja na kuchuja habari wameendika kataaa na hii wewe yahudi jeusi la Utegi.

Israel said eight of its soldiers died on Wednesday in clashes with Hezbollah in south Lebanon. Tensions in the Middle East spiralled in the past 48 hours after… Source: France 24 https://search.app/?link=https://ww...sharing&utm_source=igadl,igatpdl,sh/x/gs/m2/5
 
Hapo utakuwa umejua nguvu ya Israel mpaka JF. Sasa nani mwenye akili timamu anaweza kuyajali hayo magaidi? Majitu mazima yanahaidiwa mito ya pombe na mabikra 72 pindi yakifa na yenyewe yanaamini, mara yanasema majini ni wenzao sasa nani anaweza kuyajari majitu ya hivyo
Heri hao waliohaidiwa mabikira,je wale waliohaidiwa kupakatwa na kidume Ibrahim,,kama Lazaro.
 
Waweza ukawa uko sahihi, lakini ishu ya kuambiwa majini ni ndugu zako siyo poa, mara ukifa utakuta mito ya pombe na mabikra 72 na mtu anaamini unadhani huyo mtu akili zake zikoje
Afadhali walioahidiwa mabikira,kuliko walioahidiwa kupakatwa na kidume Ibrahimu,kama alivyopqkatwa Lazaro.
 
Netanyahu nyahu tu alidhani kuuwa viongozi wa hamas n hezbullah basi itasaidia ushindi kumbe ndio kwanza moto amewasha vijana wake wanakufa kama kuku uyu Netanyahu asipokuwa makini naamin waIsrael wenyewe watapitanae mana kawaingiza chaka 😀😀😀 kufa kwa viongozi w Hamas na hezbullah akuwezi kufidia vijana wakiIsrael wanaokufa hiii vita ndio vita imechukua maisha ya waIsreal wengi zaid kuliko zote kuwa kupigana. Na bado awajashinda vita mbichi asa upande w hezbullh. Vilemaa ndio kibao aman awakuwai kujua umuimi wake yani kwakua wanamiliki mitutu wapalestina wanamiliki mawe sass ngoma ngumu wapelestine wamepewa mitutu alyasin 105 imeuwa wqjeda muimu na kufanya adui ajuwe yupo vitani kila dakika. Shubamit mtoa rooo sio MuIsrael nadhani walidanganywa achagui ukizubaa anaondoka na rooo yako. Tuwaombee aman na watoe furss ya aman
 
Jeshi la Israel Sgt. Meja Shuvael Ben-Natan aliuawa kusini mwa Lebanon na Hezbollah siku mbili zilizopita.

Katika mazishi yake, kaka yake alitoa hotuba, akifichua kwamba nia ya kaka yake kuingia Gaza ilikuwa kuua watoto na wanawake ...

"Uliingia Gaza kulipiza kisasi, iwezekanavyo, wanawake, watoto, mtu yeyote uliyemwona, kadiri iwezekanavyo, ndivyo ulivyotaka."

“Mungu akipenda, Israeli wote wapewe nafasi ya kulipiza kisasi kifo chako. Kisasi cha damu, si kisasi cha kuchoma nyumba, si kisasi cha kuchoma miti, si kisasi cha kuchoma magari. Kisasi cha damu kwa damu yako iliyomwagika! Lo!”
 
Awa wenye chuki wakiona waISRAEL wanakula kichapo badala awana oja wanakimbilia kuleta mizozo ya dini dawa kuu wasijibiwe waachwe watukane asila zikiwaisha za kichapo watatulia nimewai leta andiko kuwausu awa ni mizwazwa ya kidini uwepo wao hai nivile tanzinia inafatlia sana akina kibwetele na makenzi waki tz ndio iyowanusulu rau wangeshaunguzwa kama kule uganda au kushindishwa ya kifo kama kule kilifi , mizwazwa y kidin mebahatika kuwepo tanzania tu ingekuwa kwengine uko saiii ipo kwenye udongo ata walevi wanajiona wajanja kwa mizwazwa inakufa kibwege wakati wanawaongoza kwenye kifo wapo hai.😆😆😆
 
Back
Top Bottom