CPROna sasa baba ya GSM kafa asubuhi saa kumi yupo mavumbini.hivi mzee wa vile si alikuwa labda ka moyo kanadunda kwa ndani?
Kingine ni hizi mochwari, mtu eti kafia wodi nusu saa nyingi washamuingiza kwenye ile barafu unategemea nini?
Watu wengi hawajui hata ile ya kumpampu mgonjwa kwenye moyo kwa kutumia mikono, hiyo nao inasaidia kumstua mtu kama hajafa sana.
Ni utaratibu mzuri sana wa kuwahi kuzikana, ukikata moto asubuhi mchana tunazika
Ila nina hakika kuna watu wengi wameshazikwa Ili hali wakiwa wamezimia au wakiwa kwenye coma, hasa vijijini pasipo na hospitali na daktari wa kuthibitisha kifo.
Kuchelewa kuzika ni mbaya ila ina faida zake, maiti inaeza kupiga chafya. Mwaka 2012 mchezaji Fabrice muamba wa bolton wakicheza dhidi ya spurs alianguka uanjani na moyo wake ulisimama kwa dakika 78.
Referee howard webb aliahirisha mechi huku machozi yakimtoka, uwanja mzima ni huzuni madaktari wa kizungu na kudra za Mungu jamaa akaamka bwana na kustaafu mpira rasmi.
Angekuwa Afrika tungeshamsahau na mke wake angekuwa single mother tayari, ila jamaa anakula bata tu.
Dah inaonekana kifo kinavyoogopewaOna sasa baba ya GSM kafa asubuhi saa kumi yupo mavumbini.hivi mzee wa vile si alikuwa labda ka moyo kanadunda kwa ndani?
Kingine ni hizi mochwari, mtu eti kafia wodi nusu saa nyingi washamuingiza kwenye ile barafu unategemea nini?
Watu wengi hawajui hata ile ya kumpampu mgonjwa kwenye moyo kwa kutumia mikono, hiyo nao inasaidia kumstua mtu kama hajafa sana.
Mkuu kuna vitu vingi sana hujui kwenye mazishi ya waislamu, achana navyo, wenyewe watakupiga mawe.Ni utaratibu mzuri sana wa kuwahi kuzikana, ukikata moto asubuhi mchana tunazika
Ila nina hakika kuna watu wengi wameshazikwa Ili hali wakiwa wamezimia au wakiwa kwenye coma, hasa vijijini pasipo na hospitali na daktari wa kuthibitisha kifo.
Kuchelewa kuzika ni mbaya ila ina faida zake, maiti inaeza kupiga chafya. Mwaka 2012 mchezaji Fabrice muamba wa bolton wakicheza dhidi ya spurs alianguka uanjani na moyo wake ulisimama kwa dakika 78.
Referee howard webb aliahirisha mechi huku machozi yakimtoka, uwanja mzima ni huzuni madaktari wa kizungu na kudra za Mungu jamaa akaamka bwana na kustaafu mpira rasmi.
Angekuwa Afrika tungeshamsahau na mke wake angekuwa single mother tayari, ila jamaa anakula bata tu.
Mmh kumbe, ukiona kwenye jicho la mtu lazima ujiangalie ? Ni kama kioo? Embu nifatilie hiiNadhani waislam wana vitu vya kuangalia (according to mafundisho) ili kuthibitisha kua mtu kafariki. Moja wapo ya hivyo vitu ni kwamba ukifungua jicho la mtu ambaye unadhani kafariki then ukajiona kwenye kiini cha jicho jua hajafa, ukiona kiini cha jicho hakioneshi image yako jua kasha rest in peace na anatakiwa akapumzike kwenye nyumba yake mapema sana.
Ikawaje sasa baadae?Mzee abdallah alizimia siku 3 ...ustadh mmoja akaamuru mzee atolewe kitandani aoshwe na aswaliwe sala ya mayyit....wakati tunampeleka mzee abdallah kumzika akiwa ndani ya jeneza si akakohoa na kupiga chafya..aisee watu tulipoteana kwa kukimbia tukamuacha mzee abdallah ndani ya janayza....
Kama hujaelewa,subiri uzimie saa 2,unathibishwa umekufa. Saa 7 unapelekwa kuzikwa unazindukia njiani. Utaleta mrejeshoHivi madaktari huwa wanafanya juhudi za kumuookoa yule ambaye wanaona ameshakufa? Au mimi ndio sijakuelewa?
Kwani kifo huthibitishwa vipi?
Na kwa pointi yako inamaana juhudi zifanyike hata kwa yule ambaye tunaona ameshakufa, hiyo maana yake hatuwezi kuthibitisha kifo.
Waleku mslamuSAMALEKO
natikisa hata mguu 😂😂😂😂.lakini pia unakuta labda mgonjwa hajiwezi hata kugeuza jicho anawasikia kwa mbaliii mipango ya mazishi akiwaza na shida zote alizowahi zipitia anajisemea moyoni wacha wanizike tu.Mbaya zaidi wakati wanajadiliana 'huyu tayari, saa tisa alasiri tumpige chepe' wewe unawasikia ila huna cha kufanya 😎😎😎
Sio kweli,umedanganywa na aliyeakuambia.Hakuna Muislamu anayefariki bila kuitwa daktari,kuthibitisha kifo,hata akifia nyumbani,lazima ataitwa Daktari athibitishe,kama kaanguka ghafla lazima atapelekwa hospital,kule ndio wanaambiwa na Doctor huyu ameshafariki.Kunapatikana ushahidi wa kupata karatasi,itakayopelekwa kwenye usajili wa vifo na vizazi,ili kupata cheti cha kifo.Ni utaratibu mzuri sana wa kuwahi kuzikana, ukikata moto asubuhi mchana tunazika
Ila nina hakika kuna watu wengi wameshazikwa Ili hali wakiwa wamezimia au wakiwa kwenye coma, hasa vijijini pasipo na hospitali na daktari wa kuthibitisha kifo.
Kuchelewa kuzika ni mbaya ila ina faida zake, maiti inaeza kupiga chafya. Mwaka 2012 mchezaji Fabrice muamba wa bolton wakicheza dhidi ya spurs alianguka uanjani na moyo wake ulisimama kwa dakika 78.
Referee howard webb aliahirisha mechi huku machozi yakimtoka, uwanja mzima ni huzuni madaktari wa kizungu na kudra za Mungu jamaa akaamka bwana na kustaafu mpira rasmi.
Angekuwa Afrika tungeshamsahau na mke wake angekuwa single mother tayari, ila jamaa anakula bata tu.
Mkikaa kwenye vijiwe vya Pombe za kienyeji,huwa mnadanganywa mengi kuhusu uislamu.Hakuna Muislamu,anayefariki,asiitwe Doctor,kuthibitisha kifo chake.Na nchi zote za kiislamu,hairuhusiwi kuzika,bila karatasi ya uthibitisho wa Daktari.Ndio ukaona pia waislamu wana TBS,zao,Inaitwa HALAL.ACHA KUIZUNGUMZIA DINI YA HAKI WEWEEEE
Maamuma watakushambulia hadi ukome
Kwani unawezaje kumtofautisha aliyekufa na aliyezimia?Kama hujaelewa,subiri uzimie saa 2,unathibishwa umekufa. Saa 7 unapelekwa kuzikwa unazindukia njiani. Utaleta mrejesho
Ujuwe hapo Doctor,ameshathibitisha kama ameshafariki.Hakuna kifo cha ajali,ila Daktari atathibitisha,kifo au vifo.Hii ni kweli kabisa mtaani kwetu Bibi mmoja wa kisomali alipata ajali saa 10 jioni saa 1 usiku kazikwa na tochi.
Kabla ya kuwekwa kwenye friji unakuwa ushachomwa sindani ya morphine ambayo tayari ni sumu, kama hukufa maana yake hiyo sindano ndio inakuua sasaMbona hatuoni waliowekwa kwenye friji wakifufuka au mlinzi huwa anawapiga nyundo
Kuna shoga yangu nahisi walimuwahisha mochwari, alikuwa anaumwa kidogo tu anatapika, usiku akazidiwa akiwa kwa mama yake, akawa anashindwa kulala kitandani wakamshushia godoro chini, mama yupo anasali huku anampigia mme wake ambae yupo ubungo na wengine.Hapa cha muhim sio kuwai kuzika wala kuchelewa kuzika, issue ni kuboresha huduma za afya mda mwingne moyo kusimama sio kufa. Maana mnaweza zika mtu mzima kwa haraka ama mkamuua mtu pamoja na kuchelewa kuzika pia.
Hakuna Muislamu anayefariki bila uthibitisho wa daktari.Huko Oman ndio kabisa,katika mambo ya mazishi na makaburi yana wizara ya serekali,inayoshughulikia,huwezi kumzika mtu,bila cheti cha uthibitisho wa daktari,kwa maelezo ya kina,kafa na nini,kifo chake kumesababishwa na nini,ameumwa,ajali,ameuliwa,ameanguka kwa presha,moyo,sukari nk.Upo sahihi kabisa,nimekua nikiwaza hivyo.
Mfano nilishuhudia Muscat mshkaji wetu alipata ajali asubuhi saa 3...kufikia saa 11 jioni watu walikua wanafungua turubai pale kwao,yaani ni kwamba shughuli ilishaisha..watu washazika na wameshatawanyika..!
Saa 12 jioni siku hiyo unapita pale kwao nje maisha yanaendelea utadhania hakuna kilichotokea!
We acha tu wakati kafa huku na wachawi wanamsubiri kwa hamu kumla.hata akizinduka hiyo simu anaipiga saa ngapi?Muhimu watu wazikwe na simu zao zikiwa full charge na kifurushi kama alizimia akazinduka anapiga simu, afukuliwe
Si mkao wa kishambulizi kiputini😄😃Ooooh kaa mkao waki zelesk kwa povu
Njoo pm nikupe kisa kizima na picha za mzee dullaIkawaje sasa baadae?