Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28]Ni utaratibu mzuri sana wa kuwahi kuzikana, ukikata moto asubuhi mchana tunazika
Ila nina hakika kuna watu wengi wameshazikwa Ili hali wakiwa wamezimia au wakiwa kwenye coma, hasa vijijini pasipo na hospitali na daktari wa kuthibitisha kifo.
Kuchelewa kuzika ni mbaya ila ina faida zake, maiti inaeza kupiga chafya. Mwaka 2012 mchezaji Fabrice muamba wa bolton wakicheza dhidi ya spurs alianguka uanjani na moyo wake ulisimama kwa dakika 78.
Referee howard webb aliahirisha mechi huku machozi yakimtoka, uwanja mzima ni huzuni madaktari wa kizungu na kudra za Mungu jamaa akaamka bwana na kustaafu mpira rasmi.
Angekuwa Afrika tungeshamsahau na mke wake angekuwa single mother tayari, ila jamaa anakula bata tu.
We toka asubuhi mpaka saa saba kama hajapiga chafya tuanze kuchezea madhambi ya makusudi?Kabisa hilo nakubaliana na wewe
Tena kwa africa ndio usiseme tumezika wagonjwa wengi sana waliozimia
Taarifa ya mtu kufa inatangazwa asubuhi kua mgonjwa amekufa alfajiri halafu saa 7 mchana watu wanapanga reli
Hii imetokea sana...Kuna jamaa alikata moto wakapeleka mochwari wakati wanadubiri doctor aje athibitishe kifo ili wamuweke kwrnye friji ile baridi ya kule jamaa akafumbua macho
ha ha ha ha ha sala ya kuufinyia ubeche alafu wanapenda wali mweupe kuliko pilau ili wale mwingi kila tonge wanafinya na nyamaWaislam ni dini ya wajanja wajanja ndo maana dua ya chakula wameaeka fupi utisikia BISMILAH
Sisi tunawaamini Madokta wetu wakisema kafariki hatucheleweshi, ila sasa ni kushauri watu wawe wanazikwa na simu zao akishtuta anatwanga tunamfukua.True waislamu wengi uzika watu wakiwa hai. Mtu akizimia tu asubui mchana anakutana na tani 7 za mchanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waislam ni dini ya wajanja wajanja ndo maana dua ya chakula wameaeka fupi utisikia BISMILAH
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tunawaamini Madokta wetu wakisema kafariki hatucheleweshi, ila sasa ni kushauri watu wawe wanazikwa na simu zao akishtuta anatwanga tunamfukua.
Kwakweli huu ni uchokozi[emoji3][emoji3][emoji3]Waislam ni dini ya wajanja wajanja ndo maana dua ya chakula wameaeka fupi utisikia BISMILAH
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muhimu watu wazikwe na simu zao zikiwa full charge na kifurushi kama alizimia akazinduka anapiga simu, afukuliwe