Hujuma kubwa ajira za Serikali ya wanyonge

Hujuma kubwa ajira za Serikali ya wanyonge

tena nyie mnainjifanya mna Gpa kubwa siwapend kweli.mlikua mnaiba pepa na kuweka videsa chooni.mdogo wang gpa zenu hizo kubwa kubwa mara nying mnakua mmekariri tu halalfu unapata hasira kumuona mtu ana genteleman yake ya 2.1 ana deliver ile ile.yule alisoma chuo kwa kuelewa nyie wa mashindano ya g.pa.tunawajua mlivokuwa kutwa mpo theeter kule kukamua mara vimbwetan mnazingua sana.
peleka unafiki wako kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka wewe ni mwalimu? 🤔
 
Umeleta ujinga mkubwa kwenye ajira za walimu hakuna hata siku moja kikatumika kigezo cha Gpa huo ujinga unataka kuuleta wewe tu GPA itumie private tu
Pole ndugu..sio dhambi kupata GPA kubwa.
 
S
tena nyie mnainjifanya mna Gpa kubwa siwapend kweli.mlikua mnaiba pepa na kuweka videsa chooni.mdogo wang gpa zenu hizo kubwa kubwa mara nying mnakua mmekariri tu halalfu unapata hasira kumuona mtu ana genteleman yake ya 2.1 ana deliver ile ile.yule alisoma chuo kwa kuelewa nyie wa mashindano ya g.pa.tunawajua mlivokuwa kutwa mpo theeter kule kukamua mara vimbwetan mnazingua sana.
peleka unafiki wako kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
kupata GPA kubwa sio dhambi mkuu...pole sana.
 
The way ulivyoandika umeniumiza sana mkuu, Mungu akusaidie.
Ulichoandika hapa nimekisikia mtaani kwetu.
 
Nachokizungumza hapa nina uhakika nacho asilimia 100% naombeni msinichukulie kama nalalia mlango wazi bahati za wengine.

Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha?

Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni ningewezaje kwenda shule km. 5 kila siku nakurudi wakati sijui nitakula nini? na wazazi wanataka niwasaidie kazi za shamba kufidishia pesa nilizowagharimu kunisomesha?

Sawa, mmeangalia wale wenye miaka mingi, mbona mmemwajiri mwenyekiti wa UV CCM, katibu na Mhazini waliomaliza vyuo mwaka 2019 udsm na matawi yake yote? Na wakati tunajua wengine walikuwa na carry over karibia miaka yote?

Sawa, tuachane na kada ya ualimu. Mbona JKT mpwa wa general X mmempangia ajira JW na wakati hakuwa na sifa. Maana hakujenga ukuta wala nini. Na amewaacha Ma-service man aliyowakuta? Hii ndio Tanzania ya wanyonge?

Haki ya nani siwashitaki popote pale...lazima nichukue hatua mwenyewe na Mungu wangu.
Mkuu fanya kufuatilia mambo yatayoleta tija katika familia yako, hili la kushindana na serikali mitandaoni halitakusaidia, mark my word
 
Kijana happy Mimi nimehitimu chuo 2015 na sikuwa Nina kadi ya chama Tena hai lakini sijabahatika japo niliomba. So kuwa mpole labda mheshimiwa atatukumbuka, you never know
 
Ulisikia wapi wakisema Tanzania wanyonge watakwezwa ?
Wanyonge mliheshimiwa kipindi kile Kura zinahesabiwa. Siku hizi hata Kura zenu sio Mali Tena.
 
Usilalamike sana ya mungu ni mengi,huenda kesho yako ni nzuri kuliko jana.
 
Nachokizungumza hapa nina uhakika nacho asilimia 100% naombeni msinichukulie kama nalalia mlango wazi bahati za wengine.

Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha?

Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni ningewezaje kwenda shule km. 5 kila siku nakurudi wakati sijui nitakula nini? na wazazi wanataka niwasaidie kazi za shamba kufidishia pesa nilizowagharimu kunisomesha?

Sawa, mmeangalia wale wenye miaka mingi, mbona mmemwajiri mwenyekiti wa UV CCM, katibu na Mhazini waliomaliza vyuo mwaka 2019 udsm na matawi yake yote? Na wakati tunajua wengine walikuwa na carry over karibia miaka yote?

Sawa, tuachane na kada ya ualimu. Mbona JKT mpwa wa general X mmempangia ajira JW na wakati hakuwa na sifa. Maana hakujenga ukuta wala nini. Na amewaacha Ma-service man aliyowakuta? Hii ndio Tanzania ya wanyonge?

Haki ya nani siwashitaki popote pale...lazima nichukue hatua mwenyewe na Mungu wangu.

Kijana Tulia, Mkono Mtupu Haulambwi.
 
Hizi ajira jaman ni bahati tu ,ex wangu alimaliza 2016 Leo ndo amekumbukwa kwahyo kuweni wavumilivu ,ingawa maisha magumu lakn kila MTU ana destiny yake hapa duniani .Nan aliwaza siku jiwe angekuwa jiwe ? Yeye mwenyew anasemaga ni mungu tu kafanya yeye awe jiwe

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Nachokizungumza hapa nina uhakika nacho asilimia 100% naombeni msinichukulie kama nalalia mlango wazi bahati za wengine.

Kwanini mimi mwenye GPA ya 4.5 ya UDSM sijapangiwa shule japokuwa nina uwezo mzuri wa kufundisha?

Huu ni mwaka wa pili nimekaa mtaani. Sawa, sijajitolea. Hebu fikirieni ningewezaje kwenda shule km. 5 kila siku nakurudi wakati sijui nitakula nini? na wazazi wanataka niwasaidie kazi za shamba kufidishia pesa nilizowagharimu kunisomesha?

Sawa, mmeangalia wale wenye miaka mingi, mbona mmemwajiri mwenyekiti wa UV CCM, katibu na Mhazini waliomaliza vyuo mwaka 2019 udsm na matawi yake yote? Na wakati tunajua wengine walikuwa na carry over karibia miaka yote?

Sawa, tuachane na kada ya ualimu. Mbona JKT mpwa wa general X mmempangia ajira JW na wakati hakuwa na sifa. Maana hakujenga ukuta wala nini. Na amewaacha Ma-service man aliyowakuta? Hii ndio Tanzania ya wanyonge?

Haki ya nani siwashitaki popote pale...lazima nichukue hatua mwenyewe na Mungu wangu.
Kujenga ukuta ilikuwa kigezo cha walala hoi wengine waliingia bila hicho kigezo
 
Back
Top Bottom