Huku Marekani, hatimaye nimefunga ndoa na mpenzi wangu wa muda mrefu

Kumbe Makulilo wa EBM aliachiwa na polisi wa TZ? Congrats ndg
 

Mmmmmh aiseee kuna watu mume dig deeply an 🤣🤣🤣🤝🤝🤜🤜 yaan wee na chemia mna bond tena ile hydrogen bond... Sasa unaitumia in real life
😂😂😂 Hapana mkuu, ni kaufafanuzi ka kihuni tu,
 
Hongera mkuu,na kila la heri ktk maisha ya Ndoa naikawe yenye baraka tele
 
,🤣🤣🤣🤣 Wanaiga tuu... Ila ufafanuzi ule wenyew hawahujui..,
Wapo sawa mkuu, kwa mfano wanataka kufanya kolabo utasikia tumefanya na fulani kwa sababu chemistry(MUUNGANIKO) yetu ilikuwa vizuri ingawa hapo ametazamia kwenye composition. Akisema sijafanya na fulani sababu chemistry haikuwa vizuri, it's all about Decomposition so they're right..

Wa kujazia nyama ajazie, ingawa zimepanda bei😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…