Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Ilikuwa ni lazma apuuuze lile dubwasha la chattle halikuwa binadamu la kawaida. Angalia wasomi kama Palamagamba Kabudi na Bashiru lilivyowafanya waonekane zero brain in other words huwezi kutofautisha akili za Bashite Prof Kabudi
Mzee wa Mavieite , tulimuonya sana kuhusu uharamia wa awamu ya 5 lakini akatupuuz
.
 
Huyu ndiye alikua anaamua nani awe mbunge, kule kwetu japo mbunge wa Chadema alikua na nafasi kubwa lakini yule wa CCM aliyeshinda kura za maoni pia aliondolewa wakatuletea mbongo fleva.

kwahiyo sasa wa chadema atapita.
 
Nadhani this time atakuja kutueleza Billion 4 ilitumikaje kupanua barabara ya morroco na billion 71 ilitumikaje kujenga km 4 tuu ya barabara. Asije akaaanza na hati fungani mara hivi mara vile kadigiriii kwa political science afu unataka kutoa muhadhara wa FINANCIAL AUDIT tutamuona ni maamuma na yeye.
 
Kwahiyo jamaa bado anaamini kabisa kuwa ana uwezo wa kuwatisha watu?!! Maajabu. Kanajitahidi kuutaka umaarufu lkn umaarufu haumtaki. Anayemtafuta yupo kimyaa anaendelea na mambo yake, hata habari hana. Kama kuna mwanaccm mwenye kumtegemea huyu basi labda aina ya watu kama kibajaji na msukuma
 
Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039937View attachment 2039938
Alipo kuwa boss wa udhalimu alitumia bakuli lake kuzuia wapinzani kuongea na waandishi leo ana kwenda kujificha kule waliko wazuia kutetea watu
 
Na muumini wa Merotocracy

Mwamba Comrade mwenye msimamo wake alie asisi chama chake na kimesajiliwa msajili wa vyama anatarajiwa kubwanga manyanga kesho kwenye mkutano wake na waandishi habari aliouitisha.

Habari zinasema H. POLEPOLE kaahidiwa donge nono la kukiiimarisha Chama na kuendelea kuikosoa serikali ya awamu ya sita Mhe. SSH kuelekea 2025 na kwamba wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM Nyuma yake.

Cha kushtusha ni tetesi za kiwango kikubwa cha pesa alichopewa na waliokua wafadhili wa CHADEMA ambao wamekata tamaa na mwenendo wa chama hicho mustakabali wa Mbowe na kesi yake inayoendelea nchini na kuchelea kurejea nchini
Kwa Lissu na Lema ambao waliaminiwa kuwa chachu ya vuguvugu la mageuzi nchini nakuiondoa CCM madarakani hivyo ukurasa mpya wa harakati za Chama kipya unaanza rasmi kesho .

Niwazi sasa kuwa ule utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba mpinzani wa CCM atatoka ndani ya Ccm unatimia. Je wakina nani watamsindikiza hiyokesho katika safari mpya ya Maisha ya mwanaharakati mwanazuoni huyo nje ya CCM?
Je watafanikiwa au dhambi.ya usaliti kwa kipande cha pesa itamtafuna POLEPOLE na walio nyuma yake . Nini kimemkuta Polepole ?
Ni uzalendo wake ?
Tamaa ya pesa ?
Tamaa ya uongozi ? Kiu ya kisasi
 
Na muumini wa Merotocracy

Mwamba Comrade mwenye msimamo wake alie asisi chama chake na kimesajiliwa msajili wa vyama anatarajiwa kubwanga manyanga kesho kwenye mkutano wake na waandishi habari aliouitisha.

Habari zinasema H. POLEPOLE kaahidiwa donge nono la kukiiimarisha Chama na kuendelea kuikosoa serikali ya awamu ya sita Mhe. SSH kuelekea 2025 na kwamba wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM Nyuma yake.

Cha kushtusha ni tetesi za kiwango kikubwa cha pesa alichopewa na waliokua wafadhili wa CHADEMA ambao wamekata tamaa na mwenendo wa chama hicho mustakabali wa Mbowe na kesi yake inayoendelea nchini na kuchelea kurejea nchini
Kwa Lissu na Lema ambao waliaminiwa kuwa chachu ya vuguvugu la mageuzi nchini nakuiondoa CCM madarakani hivyo ukurasa mpya wa harakati za Chama kipya unaanza rasmi kesho .

Niwazi sasa kuwa ule utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba mpinzani wa CCM atatoka ndani ya Ccm unatimia. Je wakina nani watamsindikiza hiyokesho katika safari mpya ya Maisha ya mwanaharakati mwanazuoni huyo nje ya CCM?
Je watafanikiwa au dhambi.ya usaliti kwa kipande cha pesa itamtafuna POLEPOLE na walio nyuma yake . Nini kimemkuta Polepole ?
Ni uzalendo wake ?
Tamaa ya pesa ?
Tamaa ya uongozi ? Kiu ya kisasi
Anatapa tapa Tu, kuivuruga CCM Hana ubavu huo, kashindwa Lowasa aliyekuwa na wafuasi kila kona kuanzia watumishi serikalini Hadi wanakijiji....itakuwa huyo Chakubanga hata hapo Nanjilinji hajulikani.
 
Back
Top Bottom