Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Huyu ndiye alikua anaamua nani awe mbunge, kule kwetu japo mbunge wa Chadema alikua na nafasi kubwa lakini yule wa CCM aliyeshinda kura za maoni pia aliondolewa wakatuletea mbongo fleva.
Bila kumsahau na yule aliyepewa ukatibu mkuu kiongozi kwa mwezi mmoja akafurushwa
 
Angekuwa timamu angewachokoa Hadi wamvue uanachama Kama tu alivyoingia CCM Kwa kuletwa, angevizia wamfukuze...ingejenga heshima yake na kuonyesha yupo loyal....hivi anavyohangaika, tunamuona ni Kama mtu aliyedata baada ya maslahi yake kukatishwa.
Nani atamuamini tena mtu anayeweka mbele maslahi binafsi?
Kwa Humprey Polepole fanya kati ya haya yafuatayo ili uendelee kuheshimika

1. Rudi kwenye civil organizations as activist wa mambo ya utawala bora, na demokrasia
2. Baki kwenye CCM kama underground usiendelee kuwa vocal, ni wazi kuwa the current political regime utaisha na anaweza kuja kiongozi mwingine anamfikiria
3. Aende opposition physically and emotionally na wala asiende kwa kutega kama Lowasa, Sumaye wala Membe. Uzuri wa Humprey ana viakili kidogo
4. Aaachane na yote aende kwenye dini awe mchungaji
 
Kwa taarifa yako Polepole ndio mpinzani pekee kuliko CDM
Polepole ni Mjane wa Maiti

2999586_2537165_P6F2RAW0ULeENPMJA9tbbCN4.jpg
 
Hakusema wanyamaze milele, kumbuka hakuna kitu cha kudumu chini ya jua, kila kitu hubadilika

Kabla ya kuanzia pale aliposema wanyamaze nenda nyuma zaidi ukamjue Polepole vizuri
Naye anyamaze sasa tunafungua nchi
 
Kwa taarifa yako Polepole ndio mpinzani pekee kuliko CDM
Fisadi mkubwa alipiga hela kwenye manunuzi ya wapinzani uchwara. Hapo alipo ni bilionea ndiyo maana haogopi hata kufukuzwa CCM. Ni mnafiki mbinafsi wa kiwango cha juu,hizo kelele zote ni kwa vile ameondolewa kwenye mfumo wa utawala.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuhama hama vyama ni siasa za hovyo, siasa zisizoongozwa na itikadi au principles bali zinazoongozwa na maslahi ya tumbo na kusaka fursa binafsi tu.
Yaani wewe akili zako buana.... umekariri demokrasia ni kitu kimoja tu[emoji1787][emoji1787]

Kwahiyo kujiunga au kujiondoa kwenye chama sio demokrasia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie kila kitu mlionya mbona hamkumuonya mbowe na genge lake?
Mbowe hawezi kuonywa bali yeye ndiye anaye waonya viongozi wabovu waliotufikisha hapa tulipo kama nchi.

Miaka 60 ya kuwepo madarakani lkn bado nchi inachangamoto ya matundu ya vyoo.
 
Kwa Humprey Polepole fanya kati ya haya yafuatayo ili uendelee kuheshimika

1. Rudi kwenye civil organizations as activist wa mambo ya utawala bora, na demokrasia
2. Baki kwenye CCM kama underground usiendelee kuwa vocal, ni wazi kuwa the current political regime utaisha na anaweza kuja kiongozi mwingine anamfikiria
3. Aende opposition physically and emotionally na wala asiende kwa kutega kama Lowasa, Sumaye wala Membe. Uzuri wa Humprey ana viakili kidogo
4. Aaachane na yote aende kwenye dini awe mchungaji
Kinacho mtesa Polepole ni sumu ya maneno aliyopewa na jiwe kuwa kundi lao halina mtu wa kulipinga wala kulihoji.
 
Chakubanga wako kipenzi anafahamika vizuri, alikuwa anakubali katiba mpya na vyama vingi baadaye akaipinga katiba mpya na kutaka kuua mfumo wa vyama vingi sasa hivi amerudi tena kutaka katiba mpya! Huyu ni kama popo.
Hakusema wanyamaze milele, kumbuka hakuna kitu cha kudumu chini ya jua, kila kitu hubadilika

Kabla ya kuanzia pale aliposema wanyamaze nenda nyuma zaidi ukamjue Polepole vizuri
 
Back
Top Bottom