Angekuwa timamu angewachokoa Hadi wamvue uanachama Kama tu alivyoingia CCM Kwa kuletwa, angevizia wamfukuze...ingejenga heshima yake na kuonyesha yupo loyal....hivi anavyohangaika, tunamuona ni Kama mtu aliyedata baada ya maslahi yake kukatishwa.Alikuwa anachimba kaburi lake leo ndio mazishi yake
Nani atamuamini tena mtu anayeweka mbele maslahi binafsi?