Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Humphrey Polepole: Sihami CCM labda Wanitupe nje!, Nimeitwa TCRA nijieleze. Hoja haipigwi rungu bali inajibiwa

Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039938
Mzee wa viete vp viete imebaki story hakika usimutegemee sponsor maana ni wakupita tu hakun wa kumuelew jamaa alivimba sana enzi hz kuna watz walipotea yy aliendelea kufurahia viete
 
Hi guys. Hope mnado poa.

Kuna page imeandika kuwa bwana Polepole atajitoa chamani wakishirikina na taasisi 2.

Hii ni nyepesi nyepesi.

At Calvary.

====

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.
Jumamosi tarehe 11, Disemba 2021 saa 5:00 Asubuhi nitazungumza na Wanahabari pamoja na Mambo mengine nitazungumzia Shule ya Uongozi | The Leadership School. Mahali - Ofisi za Kituo cha Msaada wa Kisheria na Haki za Binadamu (LHRC).
-Ujamaa ni Imani-
View attachment 2039936View attachment 2039938

Hizi ni mbinu za kizamani za tiss
 
Na muumini wa Merotocracy

Mwamba Comrade mwenye msimamo wake alie asisi chama chake na kimesajiliwa msajili wa vyama anatarajiwa kubwanga manyanga kesho kwenye mkutano wake na waandishi habari aliouitisha.

Habari zinasema H. POLEPOLE kaahidiwa donge nono la kukiiimarisha Chama na kuendelea kuikosoa serikali ya awamu ya sita Mhe. SSH kuelekea 2025 na kwamba wapo wanachama na baadhi ya viongozi wa CCM Nyuma yake.

Cha kushtusha ni tetesi za kiwango kikubwa cha pesa alichopewa na waliokua wafadhili wa CHADEMA ambao wamekata tamaa na mwenendo wa chama hicho mustakabali wa Mbowe na kesi yake inayoendelea nchini na kuchelea kurejea nchini
Kwa Lissu na Lema ambao waliaminiwa kuwa chachu ya vuguvugu la mageuzi nchini nakuiondoa CCM madarakani hivyo ukurasa mpya wa harakati za Chama kipya unaanza rasmi kesho .

Niwazi sasa kuwa ule utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba mpinzani wa CCM atatoka ndani ya Ccm unatimia. Je wakina nani watamsindikiza hiyokesho katika safari mpya ya Maisha ya mwanaharakati mwanazuoni huyo nje ya CCM?
Je watafanikiwa au dhambi.ya usaliti kwa kipande cha pesa itamtafuna POLEPOLE na walio nyuma yake . Nini kimemkuta Polepole ?
Ni uzalendo wake ?
Tamaa ya pesa ?
Tamaa ya uongozi ? Kiu ya kisasi
🤔.
 
Umoja party ni mpango wa CCM kuiburuza CHADEMA na kuitoa kwenye medani ya Siasa nchini!!Pia mbadala wa ccm kwa siku za usoni
 
Polepole hamwogopi yeyote ndivyo alivyo kabla ya jpm alikuwa hivohivo anasema anachokiamini kwa mandezi ambayo hayamjui yanatukana tu lakini kujibu hoja zake ni weupe kichwani! Mwacheni atoe ya moyoni ndoo uhuru wenyewe wa miaka 60 tunaojivunia.
 
Chakubanga wako kipenzi anafahamika vizuri, alikuwa anakubali katiba mpya na vyama vingi baadaye akaipinga katiba mpya na kutaka kuua mfumo wa vyama vingi sasa hivi amerudi tena kutaka katiba mpya! Huyu ni kama popo.

Una la kujifunza hapo

Tulia usome na kuelewa
 
Kwa taarifa yako Polepole ndio mpinzani pekee kuliko CDM..... Absolutely 🚮🚮🚮🚮
mpinzani gani anaepinga soon after kunyang'anywa madaraka..??

Mtu yoyote anaepinga hoja yoyote pindi anapokua ananjaa, nakisha akipewa chakula na akashiba anaacha kukemea alivyokua akivikemea, and soon njaa inapomjia anaanza kukemea upyaa;

Huyo hafai kuitwa Mpinzani, bali mchumia tumbo.

kwamimi sintoweza kuzielewa kelele zake, mpaka pale atapotoa sababu zayeye kuacha kusimamia misingi aliyokua akiisimamia before hajapewa madaraka..

As you lay a mat, you will sleep.
"He laid his own mat, now he should sleep on it accordingly to how he laid it"
🌍
🇹🇿
✌🏼
 
Kuhama hama vyama ni siasa za hovyo, siasa zisizoongozwa na itikadi au principles bali zinazoongozwa na maslahi ya tumbo na kusaka fursa binafsi tu.

Una hasira na Polepole 😂😂😂😂

Laiti ungeujua mwisho jambo ungekaa chini ukajifanyia tathmini yako binafsi ya mwisho wa mwaka kwa maendeleo yako na ya nchi yako
 
Baada ya uchaguzi kila alipopita kukiimarisha chama madiwani na wabunge waliunga mkono juhudi.
Waliokataa kuunga juhudi walitengenezewa kesi ya jinai. Aisee?! Mungu tupia jicho maovu ya Polepole na kundi lake, kikombe chake cha kutesa watanzania wasio na hatia kimefurika damu.
 
Sikuwahi kutaka kuamini polepole ana influence kiasi hiki. Yaani Mlawa kaibuka na mataga wote wanamzungumzia chakubanga.

So what akijitoa ccm. Hawa ni timu Sukuma gang sasa hivi hawana chao zaidi ya ku stir up things na watapenda kukomoa kwa kupigilia msumari wa Katiba mpya
 
Waliokataa kuunga juhudi walitengenezewa kesi ya jinai. Aisee?! Mungu tupia jicho maovu ya Polepole na kundi lake, kikombe chake cha kutesa watanzania wasio na hatia kimefurika damu.
Baadhi ya waliokataa kuunga mkono juhudi walihukumiwa na mwenyewe Dean wa Chuo cha Uongozi. Hizi hukumu zilikua psychological and physical toucher .
 
Mzee wa vieitee bado yupo kwenye denial. Hana tena ile power ya kucommand waandishi wa habari wakimbilie kumsikiliza in a split second.
 
Tathmini binafsi ni kwamba mimi na familia yangu tunatakiwa tuanze kula mchemsho zaidi maana mafuta ya kula yamepanda bei sana.
Una hasira na Polepole [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Laiti ungeujua mwisho jambo ungekaa chini ukajifanyia tathmini yako binafsi ya mwisho wa mwaka kwa maendeleo yako na ya nchi yako
 
Back
Top Bottom