Ruto hawezi tena kushinda urais kwa njia ya masanduku ya kura, amebakisha option moja tu ya assassination ya Uhuru ili kwa huruma ya katiba achukuwe nchi pale rais akifa madarakani, ili kwamba a-postpone uchaguzi apate muda wa kujipanga na kushughulikia wapinzani wake wote. Ziara ya Uhuru Kisumu kikosi cha Ruto kilitegesha bomu kwenye ndege iliyomfuata Uhuru toka Kisumu, Raila aligundua njama akamkataza Uhuru asipande ndege hiyo, ndege ilipofika Kisumu ikakaguliwa na kukuta bomu, Uhuru akarudi Nairobi kwa ndege ya jeshi na wote waliohusika na maandalizi ya ndege hiyo ya kumfuata rais wakaingizwa kwenye mateso makali hadi wakatajana na kumtaja Ruto.