Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njaa haina adabuKAZI KAZI KWELI AMA UCHANJE AU UKOSE UTEUZI😂😂😂
Binafsi ningekuwa Polepole ningesimamia ninachokiamini.
Polepole ni mjamaa kule wanafundisha ujamaa?Jamaa wana style nyingi sana za kukufunga mdomo wakihisi ni threat kwao.
Wanaweza kukuvuta karibu kama alivyofanya kwa kina Lukuvi na Kabudi, au wakakupeleka mbali kama walivyofanya kwa Polepole, uoga unamtesa sana mama yao.
Polepole bora astaafu siasa akawe mwalimu wa shule yake ya siasa, au wampeleke kwenye chuo chao walichoanzisha akawe mkufunzi japo sidhani kwa itikadi zake kama watampokea.
Mimi ni m1 wao. Alikuwa akiichangamsha nchi. Wahuni wamemlia njama mbayauteuzi wa pole pole umewaumiza wengi
Slow slow asikubali huo teuziKitendo cha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu kumteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kimewashangaza wengi, kwa kuwa ni kama haikutegemewa hata kidogo...
Polepole hakuwahi kufikiriwa kufungwa mdomo, na hakuwahi kuwa stress kwa serikali, Upendo tu wa mama ndio umempaisha na kufikia hadhi ya balozi ambayo ni kubwa kuliko Ubunge tena wa kuteuliwa, RAISI ameonyesha ana nia thabiti ya kutokuacha alama ya uwakilishi kwa wananchi,Jamaa wana style nyingi sana za kukufunga mdomo wakihisi ni threat kwao...
Kilichomuharibia credibility yake ni kufunga mdomo na kujisahaulisha aliyowahi kuyapigia kelele kabla hajasogezwa jikoni na JPM, ila ukiamua kuzungumzia uwezo wake wa kiakili utamfananisha na wachache sana pale CCM.Jamaa wana style nyingi sana za kukufunga mdomo wakihisi ni threat kwao...
Hajawahi kuwa na msimamo, ni tumbo lake tu... sasa kwa kumvua ubunge njaa itaamua....KAZI KAZI KWELI AMA UCHANJE AU UKOSE UTEUZI😂😂😂
Binafsi ningekuwa Polepole ningesimamia ninachokiamini.
He was the last stone seen....Uteuzi wa Polepole umewaumiza wengi
Mjamaa uchwaraPolepole ni mjamaa kule wanafundisha ujamaa?
Kabisa.He was the last stone seen....
kwenye kumbukumbu za mwendazake
Polepole ni mjamaa kule wanafundisha ujamaa?
Mimi ni m1 wao. Alikuwa akiichangamsha nchi. Wahuni wamemlia njama mbaya
Wamemtega ili aondoke kwenye mfumo wa kijaniKitendo cha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu kumteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kimewashangaza wengi, kwa kuwa ni kama haikutegemewa hata kidogo.
Mshangao huo ni kwa kuwa ilionekana wazi kama Polepole ameshakuwa ‘mpinzani flani’ kwa ile kampeni yake ya 'kuondoa wahuni' huku akiongoza katika kukosoa mambo kadhaa ya Serikali ya sasa kiasi kwamba TCRA ikakifungia kipindi chache cha Darasa la Uongozi alichokuwa akirusha YouTube.
Lakini mimi natazama hii kitu katika macho ya utofauti:
1. Polepole siyo muumini wa chanjo, ukifuatilia sheria za Malawi ili uweze kuingia ndani ya nchi hiyo kama ni mgeni unatakiwa uwe umechanjwa ndani ya saa 72 kabla ya kuingia nchini humo.
Unatakiwa kuwasilisha vielelezo vya majibu yako ya njia ya electronic, pia ukifika nao watatakiwa kukuchanja, lakini kama hutakuwa muumini wa kuchanja, unatakiwa kukaa karantini kwa muda wa siku 10 kabla ya kuruhusiwa kuingia na kuendelea na shughuli zao.
Swali, Polepole atakubali kuchanja na kubadili ule msimamo wake kwa kuwa tu amekuwa balozi? Au mimi sijui kuwa ukishakuwa balizi hadi kwenye ishu za afya unapewa kipaumbele cha kutokaguliwa kama umechanja au la?
2. Kwa kuwa alikuwa ameshaanza katabia ka kuwa mpinzani ndani ya mfumo, ni kama wamemuweka mbali ili wamfunge mdomo, kwani kwa levo ya ubalozi huwezi kumsikia akianza mambo yake yale ya WAHUNI au kuipinga Serikali ambayo imemteua.
3. Wanamseti, aende akawe balozi ili apotee kwenye siasa za Tanzania, kisha akiwa huko jamii ya Watanzania itapoteza kumbukumbu dhidi yake na baada ya muda anapigwa chini, kazi kwisha!