Humprey Polepole atachanja au hatochanja atakapokwenda kuwa Balozi Malawi?

Polepole ni mjamaa kule wanafundisha ujamaa?
 
Kitendo cha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu kumteua Humphrey Polepole kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi kimewashangaza wengi, kwa kuwa ni kama haikutegemewa hata kidogo...
Slow slow asikubali huo teuzi

Bi. Mikopo ana kinyongo naye, kama Bi. Mikopo asingelikuwa na kinyongo juu yake wala haya yaliyofanyika yasingefanyika

Akienda huko kwa kukubali kuachia nafasi aliyonayo sasa, afahamu kwamba huko ng'ambo watamvumilia kwa mwaka kisha watamtema

Na akienda anaweza kuishi maisha magumu sana yakutopewa ushirikiano na nchi yake, kutopewa fedha za uendeshaji wa ofisi (OC), nakadhalika


Slow slow makinika!
 
Jamaa wana style nyingi sana za kukufunga mdomo wakihisi ni threat kwao...
Polepole hakuwahi kufikiriwa kufungwa mdomo, na hakuwahi kuwa stress kwa serikali, Upendo tu wa mama ndio umempaisha na kufikia hadhi ya balozi ambayo ni kubwa kuliko Ubunge tena wa kuteuliwa, RAISI ameonyesha ana nia thabiti ya kutokuacha alama ya uwakilishi kwa wananchi,
Tumuunge mkono mama
Kotapini
Kuingia kwa nyundo kutoka kwa nyundo
 
Katika mpira tunasema mama hajampa Polepole pasi mguuni ila kaiachia pasi katika open space. Ndugu Polepole kazi ni kwake akakimbilie mpira usitoke au auche utoke.
 
Jamaa wana style nyingi sana za kukufunga mdomo wakihisi ni threat kwao...
Kilichomuharibia credibility yake ni kufunga mdomo na kujisahaulisha aliyowahi kuyapigia kelele kabla hajasogezwa jikoni na JPM, ila ukiamua kuzungumzia uwezo wake wa kiakili utamfananisha na wachache sana pale CCM.

UKUFUNZI ni kitu anachokiweza kwa asilimia 95 au zaidi (kipaji), sema itikadi zake tu.
 
Kwenye habari kama hizi huwezi kumkosa STIVE NYERERE.
 
Hadi 2024 safi ya jiwe itakua imeweka viti vya nyuma, ikisubiri wanafunzi wa mbele wamalize kupewa pipi
 
Wajamaa hawachukui Mgao kutoka kwa Wagombea ili awasafishie njia kwa 'Mzee'

Nchi hii katika safu ya Uongozi iliwahi kupata wajamaa wanne tu
1) Julius Nyerere
2) Rashid Kawawa
3) Ibrahim Kaduma
4) Balozi Daudi Mwakawago

Haya ni maneno ya Mkurugenzi Mstaafu wa Usalama wa Taifa Dr Hassy Kitine na aliyasema haya mbele ya Jakaya kikwete, Mwinyi, na Mkapa kwny Msiba wa Hayati Daudi Mwakawago…wengine ni waigizaji tu wa Kuvaa mashati ya kijani na wengine tai zenye rangi ya Bendera lakin hamna kitu


Polepole ni mjamaa kule wanafundisha ujamaa?
 
Wamemtega ili aondoke kwenye mfumo wa kijani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…