Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

Huu haukuwa muda muafaka wa Rais Samia kutembelea Marekani: Amejiweka kwenye Shinikizo la kulazimishwa kuilaani Urusi

Mama kuwa upande wa US na NATO sio mjadala sababu huko ndiko anapo patia pesa.
 
🤣🤣🤣 sasa yule mshamba angeweza kwenda nchi gani, Samia ni level nyengine hata kabla ya kuwa rais, waulize wanaomjua
Tumia akili kidogo kama unazo, kuna mtu alizurula nje miaka yote kumi alijenga hospitali ngapi na huyo mshamba ndani ya miaka minne alijenga hospitali ngapi.

Jumlisha kabisa na stand za kisasa nchi nzima.
Nimekuwekea mfano mdogotu.

Ivi kwanini mnajifanyaga kama hamnazo.
 
Hayo maandiko yameandikwa na kiumbe kama Samia, hayana madhara yoyote
Haya 👇ndiyo niliyosema kwa watu kama ninyi.

Mimi nilimpenda Magu sana mkuu,kwa hiyo tupo pamoja.He was the right President for this time.Aliipenda nchi yake upeo na watu wake kindakindaki,ila Watanzania vichwani hamnazo.

Hata hivyo Extrovert tunapaswa kuwahurumia ndugu zetu,they are enslaved,brainwashed and mind controlled.Seriously Watanzania ni so mind controlled and enslaved kiasi kwamba they do not know what is even right and wrong,ni wakusamehe bure.
 
Kwa hiyo kwa Logic yako, kama Marekani aliua watu Iraq, Afghan, Japan etc etc basi Russia naye aue tu?
Hao unaosema waliuawa na marekani walitaka wenyewe na wakaonywa ingawa sikushabikia hizo vita:
== Bila ya Japan kupigwa mabomu kwenye vita ya pili ya dunia Uharibifu mkubwa ungetokea - jiulize kule Pearl Harbour kilitokea nini, Japani walifanya nini. Musolin, Hitler ndiyo walikuwa partner wao.
  • Iraq - Kwanza Sadam aliteka Kuwait akasema nchi yake, akaja Bush mkubwa akamtoa kwa sababu alivamia nchi huru. Baada ya kutolewa akaanza fujo kuwa yeye ana nuclear, chemical weapons, akawa anazuia UN wasikague, kumbe masikini ilikuwa hana chochote, akapigwa utamlaumu nani hapo? Kwanza kapiga Kuwait, Kanyanyasa watu wake, halafu kaanza kutishia kuwa ana silha. Wakati Huo ndiyo imepita 9/11 au hukumbuki?
  • Afghanistani Walimweka (walimhifandhi) Bin Laden Osama, aliyetuhumiwa kuwa ni Terrorist mkubwa aliyeplan ku bomu World Trade Center 9/11, sasa wewe umeumizwa kiasi hicho utafanya nini?

I am not pro USA, laikini huwezi kulinganisha hii vita na Ukraine. Ukraine ni Nchi Huru wala siyo provocative Russia anataka wawe kwenye himaya yake, ati usijiunge na EU, usiwe na Silaha fulani, usijiunge na NATO,
Russia na Ukraine ni mahasimu toka kitambo. Urussi analenga kuwafuta Ukranians wote kwenye uso wa dunia.
Mimi ni binafamu yeyote anayefanya jitihada za kumfuta binadamu mwenzangu kwenye uso wa dunia anastahili kuwa adui yangu!
 
Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani.

Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua kuwa neutral/kutokuwa na upande katika mzozo wa Urusi na Ukraine.

Kwa Marekani ukiamua kutokuwa na upande unahesabika kuwa uko upande wa Urusi, na inafanya Kila jitihada kuyatisha mataifa yenye msimamo huo Ili yailaani Urusi! Kwa hiyo ukiandaa mazingira ya kukutana na Marekani kwa Sasa lazima ikushinikize kuilaani Urusi.

Sidhani Kama mama atakuwa na ubavu wa kuhimili shinikizo la Marekani katika jambo hili. Anaweza kujikuta amesema jambo ambalo hakutegemea akiwa chini ya shinikizo. Sidhani kama ataweza kuhimili Kama India na Afrika ya kusini zilivyoweza kuhimili.

Afrika hatuwezi kulaani Nchi ya Urusi iliyokuwa mstari wa mbele Sana kwenye harakati za upatikanaji wa uhuru kusini mwa afrika-(Zimbambwe, Msumbiji, Botswana, Angola, Namibia na Afrika ya kusini).

Wakati huo wapigania uhuru akiwemo Mandera walikuwa wanaitwa magaidi na Marekani!! Chonde chonde Samia Mungu akutie nguvu uwatolee nje mabeberu huko Marekani!
Namkubali Mama kwa mambo mengi, LAKINI HILI LA KUZURURA NCHI ZA NJE KILA KUKICHA LINANIUMIZA SANA ROHO YANGU. Sijui lini ataelewa kuwa anavyofanya si sahihi. Na hasa kwenda Marekani wakati huu.

Kikubwa alichoitiwa ni kutokubali kununua bidhaa za URUSI kwa rubel (pesa ya urusi). Hili linamtisha sana Biden- kizee. Achana na huyo Biden, njia pekee ya kupunguza ugumu wa maisha ni kununua Bidhaa za URUSI kwa RUBEL. Africa now or never!
 
Kwa hiyo kwa Logic yako, kama Marekani aliua watu Iraq, Afghan, Japan etc etc basi Russia naye aue tu?
Hao unaosema waliuawa na marekani walitaka wenyewe na wakaonywa ingawa sikushabikia hizo vita:
== Bila ya Japan kupigwa mabomu kwenye vita ya pili ya dunia Uharibifu mkubwa ungetokea - jiulize kule Pearl Harbour kilitokea nini, Japani walifanya nini. Musolin, Hitler ndiyo walikuwa partner wao.
  • Iraq - Kwanza Sadam aliteka Kuwait akasema nchi yake, akaja Bush mkubwa akamtoa kwa sababu alivamia nchi huru. Baada ya kutolewa akaanza fujo kuwa yeye ana nuclear, chemical weapons, akawa anazuia UN wasikague, kumbe masikini ilikuwa hana chochote, akapigwa utamlaumu nani hapo? Kwanza kapiga Kuwait, Kanyanyasa watu wake, halafu kaanza kutishia kuwa ana silha. Wakati Huo ndiyo imepita 9/11 au hukumbuki?
  • Afghanistani Walimweka (walimhifandhi) Bin Laden Osama, aliyetuhumiwa kuwa ni Terrorist mkubwa aliyeplan ku bomu World Trade Center 9/11, sasa wewe umeumizwa kiasi hicho utafanya nini?

I am not pro USA, laikini huwezi kulinganisha hii vita na Ukraine. Ukraine ni Nchi Huru wala siyo provocative Russia anataka wawe kwenye himaya yake, ati usijiunge na EU, usiwe na Silaha fulani, usijiunge na NATO,
Marekani hadi Leo ameikalia Syria kwa mabavu. Alisambaratisha miji kadhaa Syria ikabaki majivu. Hayo yote huyaoni! Kinyaa ni kwamba huyo muuaji ndiyo anakuwa wa kwanza kulaumu
Kama mko neutral si ndo mkaitangazie dunia yote ielewe?!
Alafu hii tabia ya kuwa neutral wakati mwenzako anadhulumiwa ni unafiki, woga uliopitiliza. What if wakati wako utafika na wewe uanze kudhulumiwa??

Kingine ninachoamini kwa Samia... Hapendi uonevu. Ana hofu ya Allah... Na kama mwana ccm mzalendo... Atasema na kusimamia ukweli!

Lakini si majuzi tu hapa mlifurahia Samia kukaa karibu na Biden kwenye majukwaa ya kimataifa? Lazima walijenga urafiki.

NB: Putin ni vampire!

Ohoo! Kuna baba mmoja huko Zanzibar anakuona!! Usimrushe roho! Unadai walijenga urafiki?
 
Kwa hiyo kwa Logic yako, kama Marekani aliua watu Iraq, Afghan, Japan etc etc basi Russia naye aue tu?
Hao unaosema waliuawa na marekani walitaka wenyewe na wakaonywa ingawa sikushabikia hizo vita:
== Bila ya Japan kupigwa mabomu kwenye vita ya pili ya dunia Uharibifu mkubwa ungetokea - jiulize kule Pearl Harbour kilitokea nini, Japani walifanya nini. Musolin, Hitler ndiyo walikuwa partner wao.
  • Iraq - Kwanza Sadam aliteka Kuwait akasema nchi yake, akaja Bush mkubwa akamtoa kwa sababu alivamia nchi huru. Baada ya kutolewa akaanza fujo kuwa yeye ana nuclear, chemical weapons, akawa anazuia UN wasikague, kumbe masikini ilikuwa hana chochote, akapigwa utamlaumu nani hapo? Kwanza kapiga Kuwait, Kanyanyasa watu wake, halafu kaanza kutishia kuwa ana silha. Wakati Huo ndiyo imepita 9/11 au hukumbuki?
  • Afghanistani Walimweka (walimhifandhi) Bin Laden Osama, aliyetuhumiwa kuwa ni Terrorist mkubwa aliyeplan ku bomu World Trade Center 9/11, sasa wewe umeumizwa kiasi hicho utafanya nini?

I am not pro USA, laikini huwezi kulinganisha hii vita na Ukraine. Ukraine ni Nchi Huru wala siyo provocative Russia anataka wawe kwenye himaya yake, ati usijiunge na EU, usiwe na Silaha fulani, usijiunge na NATO,
Marekani hadi Leo ameikalia Syria kwa mabavu. Alisambaratisha miji kadhaa Syria ikabaki majivu. Hayo yote huyaoni! Kinyaa ni kwamba huyo muuaji ndiyo anakuwa wa kwanza kulaumu
 
Wasaidizi wa Rais Samia Suluhu Hassan wametenda kosa kubwa sana kwa kutokumshauri Rais kuwa huu haukuwa muda muafaka wa yeye kutembelea Marekani.

Marekani Ina hasira na Nchi nyingi duniani kwa kutokuiunga mkono katika harakati zake za kuitenga Urusi katika jamii ya kimataifa. Tanzania tumeamua kuwa neutral/kutokuwa na upande katika mzozo wa Urusi na Ukraine.

Kwa Marekani ukiamua kutokuwa na upande unahesabika kuwa uko upande wa Urusi, na inafanya Kila jitihada kuyatisha mataifa yenye msimamo huo Ili yailaani Urusi! Kwa hiyo ukiandaa mazingira ya kukutana na Marekani kwa Sasa lazima ikushinikize kuilaani Urusi.

Sidhani Kama mama atakuwa na ubavu wa kuhimili shinikizo la Marekani katika jambo hili. Anaweza kujikuta amesema jambo ambalo hakutegemea akiwa chini ya shinikizo. Sidhani kama ataweza kuhimili Kama India na Afrika ya kusini zilivyoweza kuhimili.

Afrika hatuwezi kulaani Nchi ya Urusi iliyokuwa mstari wa mbele Sana kwenye harakati za upatikanaji wa uhuru kusini mwa afrika-(Zimbambwe, Msumbiji, Botswana, Angola, Namibia na Afrika ya kusini).

Wakati huo wapigania uhuru akiwemo Mandera walikuwa wanaitwa magaidi na Marekani!! Chonde chonde Samia Mungu akutie nguvu uwatolee nje mabeberu huko Marekani!

Wewe kutokwenda huko si inatosha tu mkuu?
 
Russia na Ukraine ni mahasimu toka kitambo. Urussi analenga kuwafuta Ukranians wote kwenye uso wa dunia.
Mimi ni binafamu yeyote anayefanya jitihada za kumfuta binadamu mwenzangu kwenye uso wa dunia anastahili kuwa adui yangu!

Si kweli kuwa anataka kufuta Ukraine kwenye uso wa dunia dunia. Anachotaka ni kuizuia isijiunge NATO. Kisha anataka kukomboa kikamilifu majimbo mawili yaliyojitenga yenye asili ya urusi!
 
Si kweli kuwa anataka kufuta Ukraine kwenye uso wa dunia dunia. Anachotaka ni kuizuia isijiunge NATO. Kisha anataka kukomboa kikamilifu majimbo mawili yaliyojitenga yenye asili ya urusi!
Mkuu fuatilia historia utagundua kuwa tangu mwanzo kabla hata ya Putin... Russia haijawahi kuacha choko choko na Ukraine... Russia wanaamini Ukraine ni jimbo lao. Na Kiev kwa mfano ni sehemu ya Urussi ambayo Warussi wanataka waishi Warussi peke yao!

Mizozo ilianza tangu karne ya 9 huko... Soma hapa!

Migogoro iliendelea... 1918 Ukraine ilipata uhuru lakini Russia ilifanya mapinduzi na migogoro ilianza upya... Soma hapa!

Hivyo huu mgogoro wa sasa hivi unaangaziwa kimakosa kwamba ulianza 2014 na kufumuka 2022. Mtazsmo wangu ni kwamba wengi kwa kujua au kutokujua wanaamua kufupisha kiini cha mgogoro...

Pitia hizo links... Nadhani utaelewa dhamira ya Putin na Russia kwenye huu mgogoro.
Asante Sana!!
 
Unajua kuna watu hapa JF wanadhani mambo ya mahusiano ya kimataifa yanaendeshwa kama wanavyofikiria wao. Huyu mama kwenye diplomasia ya uchumi amefaulu sana kwa mazingira ya sasa
Wanafikiri kudil na wazungu kunihitaji nguvu, bali akili na unafiki ili uende nao saw. Hakuna kiongoz wa mataifa machanga kama Tanzania ambae anaweza watunishia msuli mabeberu!!
 
Tumia akili kidogo kama unazo, kuna mtu alizurula nje miaka yote kumi alijenga hospitali ngapi na huyo mshamba ndani ya miaka minne alijenga hospitali ngapi.

Jumlisha kabisa na stand za kisasa nchi nzima.
Nimekuwekea mfano mdogotu.

Ivi kwanini mnajifanyaga kama hamnazo.
Usisahau kujiuliza katika kipindi cha miaka 5 ni watanzania wangapi wasiokua na hatia walifia kwenye utawala wake bila hatia, wangapi wamepotea hadi leo hawajaonekana, wangapi walionewa bila sababu, wangapi walipoteza mali zao kibabe kwenye utawala wake. Sasa wewe nadhani ushabiki wako umekupofua ubongo kiasi kwamba upeo wako wa kufikiri unaishia pale macho yako yanapoishi kuona. Mwacheni mama afanyekazi kwa style yake ya kutanguliza ustaarabu kwanza badala ya kufokafoka na kukurupuka kama mtangulizi wake ambae mara kadhaa alikula matapishi yake
 
Usisahau kujiuliza katika kipindi cha miaka 5 ni watanzania wangapi wasiokua na hatia walifia kwenye utawala wake bila hatia, wangapi wamepotea hadi leo hawajaonekana, wangapi walionewa bila sababu, wangapi walipoteza mali zao kibabe kwenye utawala wake. Sasa wewe nadhani ushabiki wako umekupofua ubongo kiasi kwamba upeo wako wa kufikiri unaishia pale macho yako yanapoishi kuona. Mwacheni mama afanyekazi kwa style yake ya kutanguliza ustaarabu kwanza badala ya kufokafoka na kukurupuka kama mtangulizi wake ambae mara kadhaa alikula matapishi yake
Siwezi kujiuliza upuuzi kama huo, alafu nikisha jiuliza wewe ndio utanipa jibu ama nitajijibu mwenyewe.

Wewe umesha jiuliza naumepata jibugani, mnapenda kulopokalopoka vitu ambavyo hataukibananishwa hapo useme unacho jua utaanza kuweweseka tu.
Huyo mtu hachafuki kipumbavu mkuu, mnakazikubwa sana kwamiaka na mbaka mtachoka.
Na chakushangaza mpo humu jf tu ndio mnao lialia 24/7 na ID zenu mbilimbili.
 
Back
Top Bottom