Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

Mkuu wa dunia naona kamuinua kiboko ya wachawi.
Usipoyajua maandiko bure utayajua kwa kuyalipia toka kwa wajanja
Ebwana Jamaa wanapiga Hela Ila yule Mchungaji anaewapasukia anaitwa Hananja sijui km sijakosea sijui km akina Mwoposa watakua wanampenda maana anapasua ukweli km ulivyo hakuna miujiza fanya kazi
 
Watu wa hivi sitakufa mpaka na mimi nije niwanyooshe, ngoja kwanza nijiweke sawa kiakili ,majinga kuyamudu ni rahisi mno , posa boy piga pesa usisikilize kelele za chura jifanye chura kiziwi, piga pesa ikibidi watie na makofi waambie ni ya upako.
 
Watu wa hivi sitakufa mpaka na mimi nije niwanyooshe, ngoja kwanza nijiweke sawa kiakili ,majinga kuyamudu ni rahisi mno , posa boy piga pesa usisikilize kelele za chura jifanye chura kiziwi, piga pesa ikibidi watie na makofi waambie ni ya upako.
Makofi ya upako watayapokea tu kwani shillings ngapi na watayalipia hata akisema shillings ngapi
 
Ebwana Jamaa wanapiga Hela Ila yule Mchungaji anaewapasukia anaitwa Hananja sijui km sijakosea sijui km akina Mwoposa watakua wanampenda maana anapasua ukweli km ulivyo hakuna miujiza fanya kazi
Hao matapeli nguvu wanazotumia ni kubwa hao wengine wanapiga kelele tu.
Ni lazima wawepe ili maandiko yatimie wasingetokea Biblia ingekuwa ni kitabu cha uongo.
Mitume na manabii wa uongo pia uwaleta watu kwa Kristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…