Ebwana Jamaa wanapiga Hela Ila yule Mchungaji anaewapasukia anaitwa Hananja sijui km sijakosea sijui km akina Mwoposa watakua wanampenda maana anapasua ukweli km ulivyo hakuna miujiza fanya kaziMkuu wa dunia naona kamuinua kiboko ya wachawi.
Usipoyajua maandiko bure utayajua kwa kuyalipia toka kwa wajanja
Ukipata mbili naomba moja 😹Ngoja na mimi niende labda nitaambulia japo ka IST.
Yaani ni ujinga wa hali ya juu kabisaTatizo watu wanahudhuria na kubadilika hawataki.
Binti anakwenda kupata mafuta ili amteke mume wa mtu.
Mpaka makahaba wanakwenda kusafisha nyota ili biashara yao ya ukahaba
Mtoto wa ufukwe[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Mtoto wa Mbwa Jike, sio mtoto wa ufukwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shortcut=MiujizaWatu hawataki kufanya kazi wanapenda shortcut
Huo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!
Ujinga, maradhi na umasikini is real.
View attachment 3034776
hapo kuna matajiri wa kutisha piaNawaza ata sielewi huenda kuna uhusiano wa dini na umasikini wa fikra/mawazo/maendeleo etc
Wengi hapo hua wanalala nje Dar hawana pa kulala utawakuta wamelala stand za daladala kwenye kingo za barabara Maduka ya Kariakoo nje pale sasa kuviwa na event km hizo wanawahi kujaza uwanjaView attachment 3034804
Maeneo yenye giza namna hii kuna usalama kweli na huku mlisema Guest house zote Dar zimejaa
Makofi ya upako watayapokea tu kwani shillings ngapi na watayalipia hata akisema shillings ngapiWatu wa hivi sitakufa mpaka na mimi nije niwanyooshe, ngoja kwanza nijiweke sawa kiakili ,majinga kuyamudu ni rahisi mno , posa boy piga pesa usisikilize kelele za chura jifanye chura kiziwi, piga pesa ikibidi watie na makofi waambie ni ya upako.
Hao matapeli nguvu wanazotumia ni kubwa hao wengine wanapiga kelele tu.Ebwana Jamaa wanapiga Hela Ila yule Mchungaji anaewapasukia anaitwa Hananja sijui km sijakosea sijui km akina Mwoposa watakua wanampenda maana anapasua ukweli km ulivyo hakuna miujiza fanya kazi
Msomi nae ni mtu anaezongwa na shidamsomi wa bongo ni yeye ni nani asitake miujiza?
Amesema adi ngoma watu wanapona kwa kula keki ya upakoShortcut=Miujiza
Unapona Gono Sugu kwa sekunde
Nithibitishe niniThibitisha wewe?