Wapi ambapo kila anayeenda anafanikiwa kutatua shida zake?.Hapo ulipoandika; "wakufanikiwa atafanikiwa, ambaye muda wake bado aendelee kuwa na subra" ndipo mnapowaumizia ndugu, jamaa na marafiki zetu, wanaendelea kumiminika tu wakiamini siku yao ya miujiza iko njiani huku nyie mnakula tu sadaka.
Ishi maisha yako usiteseke kwa maamuzi aliyofanya mtu ambayo wewe hayakuhusuMnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile hajawahi kuwepo na hayupo kujiongelea mwenyewe.
Ni kweli mkuu wala sio uwongo...Kiwango cha matatizo na kutokuwa na elimu ya utatuzi ndio chanzo cha watu kwenda kutafuta usaidizi nje kwa waganga, mitume na manabii wa uongo,kwa mwenye maarifa na ufahamu hakuna tatizo jipya chini ya jua
bila shaka dada mwenye milano massage parlour msasani atakuwa anajua mengi na kutusaidia kutoa hivyo vitu au?Sio wao hao wanavutwa kuna vitu mkimtoa huyo baba hatakua na chochote
Na wewe ni wale wale wajinga, unajadili business ya mtu badala ya kujadili namna ya kuiondoa madarakani CCM mzalishaji wa kizazi cha wajinga.Huo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!
Ujinga, maradhi na umasikini is real.
View attachment 3034776
Vipi umehama Kwa Kiboko ya Wachawi 😊Nabii kishauaga kabisa umasikini, kishajipata......
wanadhani Mungu ni mjomba wao au shangazi yao na kwamba ni miujiza pekee bila neno ndiyo itakayowakomboaWengi wanataka miujiza bila kuomba mungu
Na wewe kwa nini uhangaike na mimi ninaposema Mungu wako hayupo?Wewe unamiini hayupo endelea kuamini kwani umeshikiwa fimbo uamini
Live your life
Kwanini uteseke kwa maamuzi binafsi aliyofanya mtu unashida kubwa sana
Nimekumbuka mbali kipindi injili unaanza kuenea Tanzania watu walikuwa wakikataza hata wagonjwa kupelekwa hospital wakiendelea kusubiri miujizaWengi wanataka miujiza bila kuomba mungu
Sihangaika na wewe hii forum lazima ujibiwe kama unaongea utumbo ukitaka usijibiwe usi-commentNa wewe kwa nini uhangaike na mimi ninaposema Mungu wako hayupo?
Nihamie wapi sasa, nipo huku miujiza imejaa.....Vipi umehama Kwa Kiboko ya Wachawi 😊
Ypokea kwadamu ya yusu🤣🤣🤣🤣
Huo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!
Ujinga, maradhi na umasikini is real.
View attachment 3034776