Huu Utekaji wa Abdul Nondo unaleta maswali kadhaa ya kufikiria

Huu Utekaji wa Abdul Nondo unaleta maswali kadhaa ya kufikiria

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
 
Naona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.

Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.

Ipo namna......
 
Nilijua tu, kwa jinsi chadema wanavyomchukia zitto Kabwe kwa vile amewazidi akili na misimamo, lazima lolote lihusulo Chama chake au yeye mwenyewe lazima nyumbu hawa watie neno la kuponda. Maswali katika utekaji wenu pia yapo kibao tu mbona zitto, being far more intelligent than you, hajaongea chochote amewaacha wenyewe na mambo yenu. Iweje nyie muwe wa haraka kumsema? Unafikiri kwa mwenye akili Hana la kuhoji kuhusu utekaji wenu?!!!!!
 
Nilijua tu, kwa jinsi chadema wanavyomchukia zitto Kabwe kwa vile amewazidi akili na misimamo, lazima lolote lihusulo Chama chake au yeye mwenyewe lazima nyumbu hawa watie neno la kuponda. Maswali katika utekaji wenu pia yapo kibao tu mbona zitto, being far more intelligent than you, hajaongea chochote amewaacha wenyewe na mambo yenu. Iweje nyie muwe wa haraka kumsema? Unafikiri kwa mwenye akili Hana la kuhoji kuhusu utekaji wenu?!!!!!
Eti zitto more intelligent
Aendelee kumsifia mama kama afanyavyo
 
Kwanza hizo namba ni feck ni kawaida usalama wa taufa kitengo cha kuua upinzani kufa yahivyo.Hiki kitengo kinashuguli cha kutekeleza CCM wanayoyataka.Hizo cruiser nyeupe ni zile za CCM
 
Walikuwa askari wale?

Askari yule Bonge dakika 0 anakuwa amekunjwa na kufungiwa ndani ya Buti kisha wanaendelea na doria
Don't be stupid, wale ndiyo askari wa Kibongo na pale generally ndiyo uwezo wao huwa unapoishia. Mtu yoyote strong wakiwa less than five hawana uwezo wa kumchukua labda aamue kutoa ushirikiano.
 
Nilijua tu, kwa jinsi chadema wanavyomchukia zitto Kabwe kwa vile amewazidi akili na misimamo, lazima lolote lihusulo Chama chake au yeye mwenyewe lazima nyumbu hawa watie neno la kuponda. Maswali katika utekaji wenu pia yapo kibao tu mbona zitto, being far more intelligent than you, hajaongea chochote amewaacha wenyewe na mambo yenu. Iweje nyie muwe wa haraka kumsema? Unafikiri kwa mwenye akili Hana la kuhoji kuhusu utekaji wenu?!!!!!
Wewe ndo mwenye chuki ya ajabu kwa CDM and defensive against Zitto. Nani kukuambia mleta mada ni CDM? Kwamba mtu yeyote anayeongelea utekaji wa Abdul Nondo uliotokea leo lazima ni mwanachama wa Chadema? Kwamba neutral person politically au mwanachama wa CCM au chama chochote kile zaidi ya CDM hawezi kuandika kilichoandikwa hapo juu?!
 
Lengo ni kutuhamisha katika mjadala wa rafu za uchagizi wa serikali za mitaa hakuna lingene hapo
 
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Kwani huyu ni wa kwanza kutekwa?
 
Back
Top Bottom