Huu Utekaji wa Abdul Nondo unaleta maswali kadhaa ya kufikiria

Huu Utekaji wa Abdul Nondo unaleta maswali kadhaa ya kufikiria

Kuna uzi niliweka hapa jukwaani kuwa , hili la Nondo ni kutest mitambo tu, lkn Kuna kigogo wa upinzani anatafutwa.
 
Naona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.

Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.

Ipo namna......
Inawezekana CHADEMA wamemteka ili kuwapa machungu vyama Vingine .. kwanza jina la mmiliki wa Gari ni mtu wa kaskazini Mchaga ..

Kuna Drama nyingi zinafanyika sana hapa ila naona kabisa Kuna namna Fulani...
 
Toka lini mwanafunzi akamzidi mkufunzi wake?, Mbuzi uliyoikuza ikuzidi uwezo?.
 
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Watajulikana mara ngapi?,au mpo jikoni kutengeneza namna yakuchezesha baada ya ishu kubumba sioo,Walio mteka ni polisi kwa maagizo ya mama kizimkazi na chama chake,over tusilete sympathy Za kinaa hapa.
 
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
kabisa, imekaa kama zoezi la utayari linalofanywa na idara ya zimamoto
 
Naona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.

Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.

Ipo namna......
Kama nime waelewa wewe na mleta mada:
Kwa mara ya kwanza kabisa CHADEMA wana shirikiana na jeshi la polisi kufanikisha utekaji wa kiongozi wa ACT-Wazalendo!

Hivi kweli mnazo akili timamu nyie?
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Na hukuwa hata na subira kuitafakari nadharia yako vizuri kabla ya kuwashwa uielete jukwaani!
 
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.🥺🤔🙇🏿‍♂

Kapatikana akiwa mzima japo hajitambui
 
Naona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.

Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.

Ipo namna......
Itajulikana tuu
 
Kwanza nikurekebishe; nyumbu sio tusi Bali ni cheo watanzania, kwa moyo mkunjufu, wameamua kuwazawdia wanachadema kutokana na kuwa na sifa zenye kuashiria mdororo wa mawazo na uthubutu.
Sawa, twende kwenye takwimu za umamluki wa zItto na hao mabwana zenu......
Chadema mpaka Sasa wametoka wafuatao kwenda ccm;
Mashinji
Dr slaa
Lijualikali
Msigwa
N.k halafu Kuna bwege linakuja eti zitto mamluki.......pumbaaaav
Kwa hiyo hata namna/jinsi ACT ilivyo asisiwa hujui?
 
Screenshot_20241202-003800 (1).png
 
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.

Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).
 
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Hizo ni zile za kucheza huku taulo limevaliwa tena kwenye uwanja wa baba mwenye nyumba,asubuhi baada ya wapangaji wote kuamka.
 
Back
Top Bottom