Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ukitekwa wewe wale ndio wanakula askari, au sio!?Walikuwa askari wale?
Askari yule Bonge dakika 0 anakuwa amekunjwa na kufungiwa ndani ya Buti kisha wanaendelea na doria
Inawezekana CHADEMA wamemteka ili kuwapa machungu vyama Vingine .. kwanza jina la mmiliki wa Gari ni mtu wa kaskazini Mchaga ..Naona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.
Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.
Ipo namna......
Watajulikana mara ngapi?,au mpo jikoni kutengeneza namna yakuchezesha baada ya ishu kubumba sioo,Walio mteka ni polisi kwa maagizo ya mama kizimkazi na chama chake,over tusilete sympathy Za kinaa hapa.Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa
Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Kuwa chadema wanalengwa kuchafuliwa?Unataka kusema nini?
Nenda direct kwenye point
kabisa, imekaa kama zoezi la utayari linalofanywa na idara ya zimamotoUtekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa
Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Kiluvya ziliwachomoka walimfynga mkono mmoja😅😅😅Sijawahi kuona police kadondosha na kuziacha Pingu popote pale duniani 🐼
Kama nime waelewa wewe na mleta mada:Naona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.
Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.
Ipo namna......
Na hukuwa hata na subira kuitafakari nadharia yako vizuri kabla ya kuwashwa uielete jukwaani!Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa
Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.🥺🤔🙇🏿♂Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa
Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Itajulikana tuuNaona hata baadhi ya account kule X wamegoma kukemea utekaji huu, wanahoji kwanini ACT hawakuwahi kukemea utekwaji wa vijana wa CHADEMA.
Pili wanadai Abdul nondo alikuwa akisifia na kumtetea Rais na kusema wanao mkosoa wana chuki binafsi.
Ipo namna......
Kwa hiyo hata namna/jinsi ACT ilivyo asisiwa hujui?Kwanza nikurekebishe; nyumbu sio tusi Bali ni cheo watanzania, kwa moyo mkunjufu, wameamua kuwazawdia wanachadema kutokana na kuwa na sifa zenye kuashiria mdororo wa mawazo na uthubutu.
Sawa, twende kwenye takwimu za umamluki wa zItto na hao mabwana zenu......
Chadema mpaka Sasa wametoka wafuatao kwenda ccm;
Mashinji
Dr slaa
Lijualikali
Msigwa
N.k halafu Kuna bwege linakuja eti zitto mamluki.......pumbaaaav
Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Hizo ni zile za kucheza huku taulo limevaliwa tena kwenye uwanja wa baba mwenye nyumba,asubuhi baada ya wapangaji wote kuamka.Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa
Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.
Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Mbona hata Mbowe alimsifia 'mama' au umesahau?Eti zitto more intelligent
Aendelee kumsifia mama kama afanyavyo
Hatimaye watu wanakuwa kiumri na kiakili ama kweli leo sii jana na jana sii kesho.Ashukuriwe Mu.nguMbona hata Mbowe alimsifia 'mama' au umesahau?
Kwa hiyo unataka kusema Mbowe amekuwa kiumri na kiakili; au?Hatimaye watu wanakuwa kiumri na kiakili ama kweli leo sii jana na jana sii kesho.Ashukuriwe Mu.ngu