Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Wewe kwa akili zako CHADEMA wanaweza kushirikiana na CCM kuteka viongozi wa ACT?Nionyeshe isiyo 'garbage' uliyo andika wewe; halafu tutaanzia hapo kuonyesha nani 'garbage' kiuhalisia.
Ilikuwa rahisi tu utafakari na kujibu swali hilo, ambalo naona huna uwezo wa kulijibu; kwa sababu akili ya kufanya hivyo huna.
Usifikiri wote wanao kuja humu JF wanakuja kushabikia ujinga wa aina hii mnao jaza humu jukwaani kila siku.
Hiyo kama sio garbage ni nini? ni zaidi ya garbage ni super bullshit kiwago Cha SGR