Huu Utekaji wa Abdul Nondo unaleta maswali kadhaa ya kufikiria

Huu Utekaji wa Abdul Nondo unaleta maswali kadhaa ya kufikiria

Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Ni maigizo 💯 ya ayatola zito kabwe muhuni zito mchawi na mlozi ka Mshana Jr
 
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Ndugu tusiombe yakukute ,au yamkute anaekuhusu

Aisee 🤔
 
Usimhusishe Mshana Jr na uhuni. Namuona mtulivu kiakili na maamuzi.
Some
Utekaji huu ni kama maigizo flani yenye lengo flani. Sidhani kama ni kama ule utekaji wa Mzee Kibao.
1. Mtekaji anadondosha Simu ambayo inachukuliwa na kupelekwa Police.
2. Gari ya watekaji na namba zake za usajili zipo tu uchi uchi hivi za Deogratias Beda Minja.
3. Police haraka wametoa tamko na kusema wanafuatilia.
4. Mpaka sasa Zitto ni kama anatoa tu kauli za umakini flani ambazo zina maswali kadhaa

Huu utekaji ni kama drama au kuna sarakasi zinapigwa hapa. Sioni kama nu utekaji wa Mzee Kibao au ule wa Soka. Abdul Nondo yupo salama salimini atarudi akiwa salama salimini na watekaji hawa watafahamika haraka sana ni wapinzani wa ACT.

Hizi ni sarakasi kabisa mtu anabinuka samasoti lakini tu akiwa amevaa taulo. Nimekaa hapa. Abdul Nondo ni mzima atapatikana bila shida na waliomteka watafahamika tu. ITAJULIKANA.
Sometimes Yes and sometimes no. Mfano Trump kutaka kuuwawa, ilikuwa maigizo au kweli. Kama ni maigizo mbona aliyetaka kumuuwa, aliuwawa haraka pia.
 
Nilijua tu, kwa jinsi chadema wanavyomchukia zitto Kabwe kwa vile amewazidi akili na misimamo, lazima lolote lihusulo Chama chake au yeye mwenyewe lazima nyumbu hawa watie neno la kuponda. Maswali katika utekaji wenu pia yapo kibao tu mbona zitto, being far more intelligent than you, hajaongea chochote amewaacha wenyewe na mambo yenu. Iweje nyie muwe wa haraka kumsema? Unafikiri kwa mwenye akili Hana la kuhoji kuhusu utekaji wenu?!!!!!
Chuki ya chadema kwa zitto ni kubwa sana sana. Yani hata akifa wanaweza kusema kajiua.
Yani sikutegemea kama wanaweza kudhani wanachadema tu ndio wanaotekwa nondo hawezi kutekwa. Nilidhani hili ni janga kwa wote.
Kama sativa angekuwa ni kutoka chama cha zitto bila shaka wangesema kajiteka pia.
 
Yeye na zito wachawi wazee wa vilinge. Mshana alivyofariki Magu alishangilia pia
Mshana kushangilia kifo cha Magufuli yawezekana Magufuli alimdhulumu kitu binafsi na akatunzs kinyongo. Tusiwaingilie.
 
Je wa watekaji wanatumwa na Mtu mkubwa kuliko wote? Mbona Polisi hawana uwezo wa kuwakamata watekaji? Je Kijana pendwa hahusiki na kupanga na kuratibu mambo hayo? Nini kifanyike kuzuia uvunjaji huo wa haki za binadamu? Nchi za Urusi na China hazihusiki na mipango ya utekaji Tanzania? Je Zanzibar kuna utekaji kama ilivyo Tanganyika?
 
Unapoteza uhuru wa kutumia akili na utashi binafsi, unageuka kuwa mtumwa wa mtu.
 
Chuki ya chadema kwa zitto ni kubwa sana sana. Yani hata akifa wanaweza kusema kajiua.
Yani sikutegemea kama wanaweza kudhani wanachadema tu ndio wanaotekwa nondo hawezi kutekwa. Nilidhani hili ni janga kwa wote.
Kama sativa angekuwa ni kutoka chama cha zitto bila shaka wangesema kajiteka pia.
Yaani nakwambia hawa majamaa ni makatili sana ndo maana Mungu anawalaani hata uongozi hawapati.
 
Chuki ya chadema kwa zitto ni kubwa sana sana. Yani hata akifa wanaweza kusema kajiua.
Yani sikutegemea kama wanaweza kudhani wanachadema tu ndio wanaotekwa nondo hawezi kutekwa. Nilidhani hili ni janga kwa wote.
Kama sativa angekuwa ni kutoka chama cha zitto bila shaka wangesema kajiteka pia.
Zito ni mshirika wa CCM. Zito ni mdini hajawahi kukemea haya yanayoendelea kwa vile ni wa dini yangu!
 
We unajua jinsi ilivyoasisiwa chadema na baadae ulivyoasisiwa uenyekiti wa kudumu wa mbowe? Majungu tu kwa watu waliowazidi akili, pumbaaaav!
Nilipo andika hapo juu niki ku'quote' nilijuwa kitakacho fuata.... Kwa sababu nilijuwa nam'quote' chizi.
 
Yani CHADEMA washirikiane na jeshi la police?

Hivi kweli unajiita kalamu alafu unaandika garbage namna hiyo?
Nionyeshe isiyo 'garbage' uliyo andika wewe; halafu tutaanzia hapo kuonyesha nani 'garbage' kiuhalisia.

Ilikuwa rahisi tu utafakari na kujibu swali hilo, ambalo naona huna uwezo wa kulijibu; kwa sababu akili ya kufanya hivyo huna.

Usifikiri wote wanao kuja humu JF wanakuja kushabikia ujinga wa aina hii mnao jaza humu jukwaani kila siku.
 
Ukatili wa chadema ni upi mambo mengine yanachekesha sana
Kutofautiana mitazamo ndo unawaita takataka mara wakatili mbona una-hoja nyepesi hivyo
Wanachofanya chadema kwa zitto ni zaidi ya utofauti wa kimtazamo....na kama ingekuwa hivyo basi mngemeacha zitto aendelee na hamsini zake. Lkn hampo hivyo, Kila siku ni kuifuatilia zitto na kumtupia maneno meeeengi yasiyo na msingi. Yeye ni mamluki, nyie mbaehamia ccm Kila siku siyo mamluki....ebo!!!!
 
Nilipo andika hapo juu niki ku'quote' nilijuwa kitakacho fuata.... Kwa sababu nilijuwa nam'quote' chizi.
Kama kyzidahamu hila za chadema ndiyo uchizi basi acha niendelee kuwa chizi maradufu.....nyie sio wenyewe ndo maana mkaitwa nyumbu, ndo maana mnafeli Kila siku.
Mnatoa watu Kila siku kujiunga ccm lkn hatumsikii zitto akihangaika na nyie, yeye akifanya au kukutwa na lolote basi mnatoka mbio vyooni huko bila kuchamba au kujiswafi vizuri na kuja kumshambulia. MnA shida gn nae?!!!!!!! Amewapyambyia wake zenu?!!!!!
 
Back
Top Bottom