mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Hutamuona hata mmoja. Unataka waibiwe kofia?.😄😄Waende kugawa biskuti na juice huko
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutamuona hata mmoja. Unataka waibiwe kofia?.😄😄Waende kugawa biskuti na juice huko
Ova
Wamehamia Babati. Sijui kama wote wana kazi wanayofanyaKama Ulivyoona Viongozi Wametumia Mwanya Huo Kwenda Kujilipa Baadaye Watatakatisha Pesa Zao
Hawana Kazi Ila Kunenepesha Ng'ombeWamehamia Babati. Sijui kama wote wana kazi wanayofanya
Watawapa juice ya cola na biskuti tuWooote waliofurika hanang ni mapesa tu wamejaza kwenye makaratasi, yaani wahanga wataambulia pakti ya chumvi na majani
Ccm oyeeeeNa Mimi hiyo ndio concern
Ni kweli chopa Moja ingetosha kumzungusha waziri mkuu na timu ya wataalam,sio zote tatu at pa,what for?Unaongelea ma V8 tu, mkuu hujaona chopa za Jeshi zinavyopiga shanting' hapo kartesh?
PatheticNenda wewe huko na bodaboda yako basi loh!
Mkuu spidi wanazopita nazo ni ngumu kupiga picha ila kesho ntaleta picha maana Bado wapo,mizunguko ya haka kamji kadogo yanafuatata Kila mahali.Imagine kwenda eneo less than 2km wanawasha magari zaidi ya 100Weka picha tutafakari kwa pamoja hapo posho kila mmoja driver na msaidizi wake na walinzi