Huwa unavaa mavazi ya aina gani pale unapoenda kukutana na mpenzi wako mpya?

Huwa unavaa mavazi ya aina gani pale unapoenda kukutana na mpenzi wako mpya?

Jamaa wanasingiziwa jaman
Kuna yale mapozi ya tithiii ndio nakuwa nayo .. mtoto anaeleka kibla mwenyewe simu mbili tatu za kuwapanga wana, najidai naongea ongea kwa code, si unajua wabongo tunavyopenda unafiki, unamjaza mtoto kuwa na shauku ya kufungua code.. unamkula chap
 
Kuna yale mapozi ya tithiii ndio nakuwa nayo .. mtoto anaeleka kibla mwenyewe simu mbili tatu za kuwapanga wana, najidai naongea ongea kwa code, si unajua wabongo tunavyopenda unafiki, unamjaza mtoto kuwa na shauku ya kufungua code.. unamkula chap
Umbea unawadakisha sana Dada zetu kwa wahuni.
 
Na Bunduki lako la mpira Kama alilotwangiwa Sheikh Ponda kwenye kiti
😅😅😅 ile inakaa kwenye mrango naset mazingira hadi aone hata kitako tu , alafu nakuwa calm sana mtoto anaweweseka, naanza makis humo humo 😅😅😅 hachomoi
 
😅😅😅 ile inakaa kwenye mrango naset mazingira hadi aone hata kitako tu , alafu nakuwa calm sana mtoto anaweweseka, naanza makis humo humo 😅😅😅 hachomoi
Goja Kwanza.
Wanamke wanapenda Kuwajua au kuwa karibu na watu hatari.
 
Back
Top Bottom