[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji23][emoji28][emoji28][emoji23][emoji28][emoji28]Hahah!!!
Sisi CCM tutamsajili huyo jamaa atusaidie kumtangaza mama 2025, maana si kwa uwezo huo wa kuipamba Dar kwa vipeperushi
Hamna kibanda changu hakijabandikwa hayo matangazo,sasa hiviUmeona uchafuzi alioufanya..kwenye madaraja na Kuta za watu?
Huyu mtu yuko juu ya sheria, si rahisi namna hiiiiKabandika hadi vituo vya mwendokasi
😂😂😂😂😂😀nimecheka jamani,tunayoyaona mabango ni sie wazee wa hanza kanuni,😂😂😂😂😂😂😂Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa kamati ya Amani unawajua au unawasikia?Huyu mtu yuko juu ya sheria, si rahisi namna hiiii
nishawahi ona promo ila huyu mwamba kazidi asee
Mbandikaji anapewa poster PC 100,000 anaambiwa zote zibandikwe UBUNGOTatizo ni akili za hao vijana wanaochukua haya maposta na kwenya kuyarundika sehemu moja!! Hooligans!! Kama kazi ya kusambaza habari ya mkutano WA injili huwezi acha kuchukua haya maposta!! Pia haya hutokea kipindi cha mikutano ya kampeni ya Chama kikubwa twawala
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Jamaa kafunika had mabango ya CCM kipindi cha uchaguzi, ana fundi kubwa....Huyu mtu yuko juu ya sheria, si rahisi namna hiiii
nishawahi ona promo ila huyu mwamba kazidi asee
Issue sio matangazo asiyoyapenda. Tatizo ni aina ya ubandikaji. Tangazo hilo hilo limejirudia x 800 eneo moja. Zaidi ya kuwa uchafuzi wa mazingira lakini pia ni uharibifu wa raslimali. Alitakiwa kuyabandika moja moja maeneo tofauti tofauti ili ujumbe uwafikie watu wengi.Nilidhani una hoja ya maana kumbe umeona matangazo usiyoyapenda wewe binafsi yako
Maana maeneo hayo hayo matangazo ya wengine hasa waganga wa kienyeji yapo,hujaongea lolote,umeona hili usilolipenda umeamua kuongea
Kwanini usipige marufuku matangazo ya aina yeyote hua yanakua maeneo hayo siku zote?
Matatizo ya double standard yanakupelekesha sana..Kaa kwa kutulia mkuu
Kuna mtaa ambao hauna mabango?Hapo naona jamaa alipewa tenda ya kusambaza na kubandika kila sehemu
Yeye akaona ujanja na kuyabandika sehemu moja na kulipua kazi [emoji23]
Na ni pesa nyingi sana imetumika kwenye kazi hiyo, kwani ni vijana, mateja ndio wamepewa kazi hiyo ya kuyabandika, sehemu za hatari hatari wanabandika usiku!!!unakutana na kijana amebeba furushi na ndoo ya maji anaenda kubandika, na yale yanagundi kabisa, anachukua maji anamwagia sehemu anayotaka kubandika tu, tayari kitu kinanasa!!ki ukweli ni vurugu tupuCha muhimu akimaliza wayatoe maana ni too much! Yani imekuwa kero sasa! Ila ndo hivyo kafaulu kucapture attention zetu, kila mtu sasa anajua kuna mkutano wa injili