Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona nimekula ban jua tu kuna pimbi nimem "Nazify" sababu ananongea upupu kwenye mambo serious 😂😂😂Ni moja ya wakaka wanaojitambua humu, hana tabia za kinoko noko, pamoja na ucheshi wake wote huwezi kumkuta kwenye mada za mipasho, hata mkitofautiana mtizamo hawezi kutoa lugha za maudhi na dhihaka,, sielewi kwanini huwa wanampa ban ovyoovyo,, na kuacha ID za kiume zenye upumbavu na ujinga mwingi
Karibu chamani mzee huku Toyopet ni burudaniMzee wa toyota
Ngoja nipige jackpot ya sportpesa ndio nije dingiKaribu chamani mzee huku Toyopet ni burudani
Komaa man mie ntakufanyia clearance bandariniNgoja nipige jackpot ya sportpesa ndio nije dingi
Umewasahau na wale Madanga wa wetu wa humu wao ni kugawa Nyapu kwenye kila postamaa wa kugawa LIKE kila post
Unawashwa sanaaaa eeeeh? Bila kunitaja hupati mabasha wa kukupumulia? Mbweha wee. Mxxxxieeeeeeeew!!!!
Hivi kilikuuma nini hasa mpaka ukaumia kuona shog.a kuuwawa kwa kuingia choo cha kiume?Unawashwa sanaaaa eeeeh? Bila kunitaja hupati mabasha wa kukupumulia? Mbweha wee. Mxxxxieeeeeeeew!!!!
Hahahaahahahahaaa dah MpwaUmewasahau na wale Madanga wa wetu wa humu wao ni kugawa Nyapu kwenye kila post
JF imewekwa ili mtu akitoa maoni yake, wengine wayafuatilie, iwe kwa karibu au kwa mbali..!!! Sasa wewe unashangaza kuona ulichokiandika kinafuatiliwa..!!!Nyuzi na maoni ninayotoa huwa yanafuatiliwa kwa karibu na huyu Extrovert sijui lengo lake ni nini isije ikawa ni mzee wa Nissan Nyeupe.
Raia kama raia 😂Ni maoni tu ya raia ila binafsi siwezi kujifanyia matangazo 😂 raia wenyewe tu wananielewa namie nafurahi sababu ndio maisha yangu napenda ku connect na jamii tu.