Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Na anavyoonekana atasumbuliwa sana..One man down.
One man down
Kijana hana chake hapo.
Kijana hatakuwa na ile Manhood kwa mkewe.
Kosa la mc ila hasira wanammwagia dada wa watuπ€£π€£π€£Maoni yanatolewa kwa mihemko ya hasira kwa alichofanyawiwa mume mtarajiwa. π€£
Jamaa kakosewa na MC ila kwa upande wa mali amwachie mke mtarajiwa. Mpaka amefika hatua ya kuoa sio mjinga. Na huenda atakayepata tabu na tambo hizi za wazazi ni binti.
π€£π€£π€£π€£ hawana misimamo kabisa.Kila siku wanasema hawataki mwanamke masikin, ambaye ni omba omba
Tajir yetu Deborah kapatikana tena hawataki
Wamwachie binti zawadi zake. Kuna wazazi wanawekeza kwa watoto ila kwa masharti. Inaweza kuwa akihitimu chuo kikuu atapewa zawadi ya pesa na kiwanja na akifunga ndoa zawadi ya nyumba. Asipofanikiwa wanajua wao watashughulika naye vipi.Kosa la mc ila hasira wanammwagia dada wa watuπ€£π€£π€£
Wanasahau hiyo ni send off na zawadi zinatolewa na familia kwa binti yao.
Umekurupuka kuandika ulichoandika. Aibu ya nini? Ulitaka afanyaje mke mtarajiwa anapopewa zawadi na wazazi wake kwenye sendoff? Ni kosa mwanamke kupewa zawadi?vijana wa kisukuma mnaporomoka kiupambanaji
haya ni mambo ya aibu kabisa kwa muoaji anaejielewa bwana harusi unaitwa kama kibega hii aivumiliki kabisa
hujanielewa nafikiri au umelewa kengeza kijana wanguUmekurupuka kuandika ulichoandika. Aibu ya nini? Ulitaka afanyaje mke mtarajiwa anapopewa zawadi na wazazi wake kwenye sendoff? Ni kosa mwanamke kupewa zawadi?
Sasa mc si sawa na chawa tu?Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Kwani umeambiwa kijana ni choka mbaya?vijana wa kisukuma mnaporomoka kiupambanaji
haya ni mambo ya aibu kabisa kwa muoaji anaejielewa bwana harusi unaitwa kama kibega hii aivumiliki kabisa
Alivyoitwa kama mbwaKwani umeambiwa kijana ni choka mbaya?
Ni utovu wa nidhamu wa mc, mc anasisimka kama vile inamhusu hadi busara ya kuongea imemponyokaAlivyoitwa kama mbwa
Hivi niwaulize aisee hawa wanawake wa kishua nyie mnawapataje?Kijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Umasikini kitu kibaya sanaKijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Wewe familia zakishua wanawaolea watoto wao wakike wapate wajukuu na mali ziende kwao...Mademu kama hawa huwa wanajilipia mahali......πππ
Hakika.Wazazi hawawezi onyesha upendo kwa mtoto wawasiyemjua