Mama said shoot you up
 
Exposure gan ulionayo? nini cha maaana unacho kwenye hio exposure yako?
osama aliesumbua dunia nzima hakukamatwa kuhojiwa, mtu alielewa unamhoji nn?
Ulevi gani huo ambao hautaisha mtu akiwa mahabusu?
 
Lazima jamaa atakuwa ni Msomali, siyo kwa ujasiri ule, Mtanzania wa kawaida ni mwoga sana hawezi kuwa tayari kujitoa sadaka ya kifo namna jamaa alivyofanya. Wanaishia kusimulia tu kama mashahidi
 

mbowe anahusiana vp sasa na hii event?
 
Hakuna ajuaye kama huyu ni gaidi ama ni mwizi, au ana msongo wa mawazo tu
Haijawahi tokea Tanzania - mtu anapiga risasi ovyo barabarani. Huyu lazima ni gaidi. Kuuwa askari wawili si mchezo.
 
Ulevi gani huo ambao hautaisha mtu akiwa mahabusu?

inaonekana we ni mgeni sana kwenye matukio kama haya, anyway ni juzi tu tena kuna yule jamaa alipiga shaba watu kwenye baa, sjui kama unakumbuka
 
its a code.. if the suspect happen to be in possession of a gun and refuses to surrender and its a threat of death to an opeartor then its a shoot to kill..at those second its either him or death
 
Najaribu kuwaza kama yule angekuwa chambo na kuna snipers wametulia mahali kama kawaida yao, sijui polisi tungewaokota wangapi pale yaaaani!!
 
ila uyu mwamba kiukweli kabisa ni mwanaume kati ya wanaume,unajua mtu kakaa mbele ya geti la ubalozi wa ufaransa na katikati ya barabara kuu na kubwa kwa viongozi wa kibalozi anatamba tu karibia nusu saa inabidi nae tumpe sifa zake kwa ujasiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…