Msiwabeze POLISI wetu, wameshapata kila kitu kutoka kwa familia mpaka mafaili ya ugonjwa hata huko alikoenda chukua mafunzo, hata kabla ya kuuawa aliyoyatamka na ndugu wanaelezea nia yake, tusivuruge yaliyotokea, subiri audio za ndugu zake, huyu Hassan asingebakizwa hata dk 10 ni mhemuko tu hana lolote kaamka na raba zake kwenda vitaniNo Vicky. "Enhanced interrogation" itakufanya useme tu. We're not sure hata kama ni gaidi. Sidhani kama kuna gaidi mjinga kama huyu bwana. We would get crucial information. Police must say something. Who's this guy?
Yani mkuu acha tu, watanzania sisi tunajua kila kitu... Mtu ana AK mbili trna ziko loaded unasema usimuue na huku yy ameshaua na kujeruhi watu kadhaaInategemea na situation mkuu, that was the right choice ukiangalia alikua anashoot hovyo
Angepelekwa Sitakishari angesema mwenyewe kuwa "sitaki shari".Kuna wazee wa interogation wewe usiombe kukutana wanakupiga kisu cha gotini. Hujasema unapigwa cha mkundn hujasema unamaliziwa chs koromero c bora lingekufa kifo hicho kuliko kuuliwa kwa lisasi fasta vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutawajuajee sasa kashalazwa chini!?Gaidi hilo somali AK 47 limeitoa wapi ?Kuna watu nyuma yake.
Imeshajulikana,alichukua kwa Askari aliowatoa uhai.Tutawajuajee sasa kashalazwa chini!?
Ndiyo wamethibitisha askari 3 na mlinzi mmoja wa SGAKuna askari waliofariki kwenye hili tukio?
Polisi walikuwa sahihi kumuua!Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.
Athari gani wakati wenyewe walitangaza Kuna magaidi nchiniMungu apishilie mbali isejekuwa katumwa na magaidi yaliyopo Msumbiji.
Hi itakuwa na athari hasi kwa utalii nchini
aue watu wengi? Au wewe ndio ulimtuma? Acha masihara kwenye vitu vya msingi. Good job vijana wetu wa policePolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Kazi ya askari ni pamoja na kufa kwenye mapambano! Kwa hiyo siyo hoja!Vita ni vita mbona hufikilii askari wawili waliofariki
Polisi kufa ni kazi yao, acha kujitoa akili!Soo ulitaka aue
aue watu wengi? Au wewe ndio ulimtuma? Acha masihara kwenye vitu vya msingi. Good job vijana wetu wa police
Mm naungana na weweWale wameletwa kuleta vurugu ukanda wa afrika mashariki na M7 na mwenzake mtu mrefu nawatilia mashaka sana
Polisi tunawalipa kwa kazi hiyo. Na wanastahili kufutwa kazi kwa uzembe huu. Wameapa kutulinda kwa kiasi cha kutoa uhai wao. Kama wanaogopa kufa waache kaziKwanimi hujaenda kumkamata?
Hqpana siyo kweli. Kule Ufaransa kulikuwa na mtu mwenye silaha tena alikuwa kwenye eneo lenye watu wengi lkn alidhibitiwa.Mtu aliyeshika silaha hudhibitiwa kwa kutumia silaha. Anaepigwa miguuni ni yule asiyeshika silaha lakini hatoi ushirikiano. Ukimjeruhi tu mweye silaha ana uwezo wa kuzipia hovyo risasi zilizobakia na kuua hata wasiohusika.... Kama wamemuua ni sahihi kabisa.
Unajuaje kama ni gaidi? Gaidi huwa hazuruli na silaha. Yule ni mgonjwa wa akili tu. Polisi wa bongo mngekufa kama mia hivi kama huyu jamaa angekuwa gaidi.Dont negotiate with terrorists.
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Ningesikia idadi ya vifo ni zaidi ya 50 hapa ningekubari kuwa jamaa alikuwa anafyatua risasi ovyo, ila kwa kuwa mpaka sasa vifo ni vinne tu na majeruhi 6 basi jamaa alikiwa hafyatui risasi ovyoUmeandika kiushabiki tu, hujui chochote kuhusu situations kama hizo na hasa kama mtu anafyatua hovyo risari huku zikilenga watu.
Hakika we ni punguaniiiMtu hatari mwenye silaha zote hizo anayerusha risasi hovyo hovyo apigwe risasi za mguu ili akamatwe?
Mnacheza nyie.
Huyo alikuwa anahatarisha maisha ya watu na ni kazi ya law enforcement kuiondoa hiyo hatari.
Hakuna mambo ya kujadili wala sijui kutafakari apigwe wapi risasi.
Mnyunyizie risasi zote, hata kama ni 1,000, ili mradi hatari kwa watu iondoke.
Heko polisi.
Hahahaaa aisee!!!Hakika we ni punguaniii
Wataalam na majasus wenye mipango huweza kumtumia mtu kama huyu kuwasoma mbinu zenu na akili zenu jinsi ya kutatua vipingamizii.
Sasa kisa mtu kuua watu mnapoteza target kwa kumiminia risasi mkizani mmesolve tatizo Kumbe nikuongeza tatizoo.
Ila sio mbaya wanajitahidi Police wetu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app