Hata kaka nchomali ataitwa nchagga
 
No Vicky. "Enhanced interrogation" itakufanya useme tu. We're not sure hata kama ni gaidi. Sidhani kama kuna gaidi mjinga kama huyu bwana. We would get crucial information. Police must say something. Who's this guy?
Utasikia statement ya "manjago" wetu ikituambia kuwa huyo gaidi alikuwa ametumwa na gaidi mwenzie aliyeko Ukonga hivi sasa!
 
Huu mtaa mpaka makumbusho kule ndiyo Silicon Valley ya Tanzania..hatari sana!
 
Hindsight is 20/20

Hapo Angeminya Trigger na kuwafyatulia wananchi kadhaa tungejiuliza kwanini hawakumpiga risasi ya kichwa haraka na kummaliza baada ya kufyatua yake moja tu
 
Tanzania police inachekesha yan jamaa mpaka anaanza kuwambia watu wa magari wapite linatamba barabaran lakn linawasumbua je yangekua matatu
 
Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.
Angesema tu ... Trust me ... Angesema hata kama amekula yamini kiasi kikubwa vipi. Hakupaswa kuuawa. Alitakiwa awe neutralized. Alikuwa mtu muhimu sana...sana.
 
Wamezoea kupambana na CHADEMA na Magaidi fake,aya sasa Magaidi org wameanza taratibu kuwaonyesha nini maana ya ugaidi.
 
Siyo tu kushindwa tu kumkamata, bali pia ameweza kuua polisi wawili
 
Kabisa angetusaidia sana kama nchi yaaaan kujua anakotoka, source ya kufanya hivo n.k askar wetu shui wanakwama wap japo wanejitahidi hongera kwao
 
Mtu aliyeshika silaha hudhibitiwa kwa kutumia silaha. Anaepigwa miguuni ni yule asiyeshika silaha lakini hatoi ushirikiano. Ukimjeruhi tu mweye silaha ana uwezo wa kuzipia hovyo risasi zilizobakia na kuua hata wasiohusika.... Kama wamemuua ni sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…