Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Mbona ni jambo la kawaida tuu hiloo ??
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Captain Commando naona Begani ana ⭐️⭐️⭐️ hiki ndio cheo ya Muuza madafu wa ikulu?

Tena jamaa ana bawa kifuani maana yake ni
kwamba amemaliza kozi zote za ukamando 92KJ Ngere what? Ngerengere
 
Nilisema humu.

Huyo Mama alikuwa anakataa kusikiliza chochote kutoka kwa watu hohehahe kwenye ziara zake halafu ghafla wapate gate pass ya kuingia ikulu kuuza madafu.

Ilikuwa A Sultan Tamba film.

Halafu unamleta tena kwenye kadamnasi mtu huyohuyo aliyetoka kuchafua hali ya hewa!
 
Umenikumbusha maigizo ya mchoma mahindi alipomuuzia Magu hindi la kucoma kule Dumila, naye akalila hadharani huku walinzi wake wakimtazama tu!!
Hili la kununua hindi sidhani kama haliwezekani. Siyo rahisi muuza mahindi (hata kama ana nia mbaya) kujua kuwa rais atapita hapa leo na kununua hindi X kati ya mahindi mengi alionao.
 
Hii ya boda boda nakubalii, kuna kitu nilinote kwa boda m1 hivi hapa mtaani, yaan kwa ufukunyuku wangu niliona sio boda wa kawaida kabisaa,
Nawafahamu wengi walioko kwenye hiko kitengo, imesaidia system kuwa na updated taarifa kuliko zamani maana Boda Boda wengi hupata taarifa Kwa urahisi hata ukivusha demu usiku wa saa 8 wao hujua

Kama utakuwa threat unadhibitiwa
 
Back
Top Bottom