Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Kuna watu wanajiona ni wajuaji aisee! Imagine mtu anaandika eti hao ni watu wawili tofauti kaona utofauti kwenye mashavu.
 
Mfano huyu wa madafu ikulu ndo komando wa jeshi Cha ajabu nini komando kuwa ikulu siku ile iliyokuwa na wageni wengi?. Utauliza kwa nini wadanganye kuwa hakua mwanajeshi? Swali ni je nini kiliharibika kwa mjeda huyo kuwahudumia wageni wa ikulu kama machinga wa kawaida? Moral of the event ni katika suala la ulinzi hakuna kinachoshindikana mradi lengo lifikiwe. Expect unexpected 🤣🤣
 
Yule muuza madafu anaweza nae akawa mwanajeshi, lakini huyu wa Leo ni mtu mwingine tofauti. Wamefanana tu, ila ukiangalia vizuri utaona sio yeye. Hata muundo wa pua zao uko tofauti.
Pua zao ni tofauti, hata mimi nimeliona hili
Kila kitu wamefanana kasoro pua
 
Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.

Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.

Wapo waliohoji maigizo yale yalikuwa na haja gani, basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.

Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakuwa na jibu lake!

Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

View attachment 2974869

View attachment 2974798

View attachment 2974800
Ni upuuzi tupu, wa-Tanzania haitusaidii kitu chochote.
 
Nimependa flana aliyovaa akiuza madafu, iliandaliwa vyema kuwa katika uhusika…
 
Maswali mazuri hayo.

Tuanze na fasili kwanza.

Martial arts ni nini? Ni sanaa za mapigano.

Sanaa hizo ni masumbwi [boxing], mieleka [siyo ile ya WWE ya akina Bianca Belair😉], kickboxing, jiu-jitsu, judo, karate, aikido, n.k.

MMA [Mixed martial arts] ni nini? Ni mchanganyiko wa hizo sanaa za mapigano na kutengeneza mchezo au mashindano yanayohusisha hizo aina zote za mapigano.

Kwenye MMA unaruhusiwa kumpiga teke mshindani wako. Unaruhusiwa kumpiga kifuti. Unaruhusiwa kumpiga kipepsi. Unaruhusiwa kumpiga kabali. Unaruhusiwa armbar [sijui Kiswahili chake]. Unaruhusiwa heel hook [sijui Kiswahili chake]. Unaruhusiwa kurusha mangumi.

Kwa ufupi, kwenye MMA unaruhusiwa kutumia mbinu nyingi kumshinda mpinzani wako.

Askari wa special forces, wanafunzwa basics tu [mambo ya msingi] za kujihami, basi.

Hapigani kikweli kweli. Anapewa tu hiyo elimu ikitokea anaihitaji, ataitumia kujinasua kutoka kwenye mbananisho.

Professional MMA fighter, yeye ndo ajira yake hiyo. Kupigana na MMA fighters wengine kwenye mashindano.

Sasa, kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu kupewa mafunzo ya msingi ya kujihami na mtu ambaye ajira yake ni kupigana ili aweze kulipwa ujira.

Na ndo maana ni nadra sana kukuta mtu aliyepo au aliyewahi kuwa kwenye special forces kufanya vizuri kwenye mashindano ya MMA.
Basi mimi kuna watu nawafahamu kabisa wazuri mno katika karate, kick boxing, tae Kwon do na kuna kichwa kimoja kipo fiti mno katika wushu kipo MSF.
 
Kinachofanya watu kutokuamini kuhusu special force kutandikwa na MMA au raia wa kawaida kabisa ninayefanya mazoezi ni movies za holywood. 😂 😂
Namshukuru Mungu hizo sanaa nimezifanya mno ila kiukweli kabisa kuna vichwa pale tuache masihara kwasababu napaelewa.
 
Kama unaamini huyo ni mtu mmoja I got news for you... The sun revolves around the earth
 
Basi mimi kuna watu nawafahamu kabisa wazuri mno katika karate, kick boxing, tae Kwon do na kuna kichwa kimoja kipo fiti mno katika wushu kipo MSF.
Tanzania hakuna elite mixed martial artists.

Hata mabondia elite Tanzania hatuna.

Ila kwa viwango vya Kitanzania, si ajabu kuna posers mnaowaona ni wa maana sana ilhali hakuna kitu.

Heck, hata jeshi la Tanzania ni la 6 kwa ubora duniani 🤣.
 
Tanzania hakuna elite mixed martial artists.

Hata mabondoa elite Tanzania hatuna.

Ila kwa viwango vya Kitanzania, si ajabu kuna posers mnaowaona ni wa maana sana ilhali hakuna kitu.

Heck, hata jeshi la Tanzania ni la 6 kwa ubora duniani 🤣.
Sema si vyema kutaja majina au kuweka vitu hadharani ila kwa mtaa ni kweli ukiondoa watu kama kina kaseba kwenye kick boxing ni wachache sana na ni kweli hata mimi MMA sijawahi kuona wataalamu wake hapa ila vitu kama judo, karate, taekwondo, temva ka kuna watu wapo fiti na wengi wao ninao wafahamu ndiyo hao.
 
Back
Top Bottom