Hypothetical Scenario: Rais Samia piga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa Lisu aje akulazimishe kuifungua au aifanye kwa kukaidi

Hypothetical Scenario: Rais Samia piga marufuku mikutano ya hadhara ya kisiasa Lisu aje akulazimishe kuifungua au aifanye kwa kukaidi

haya ndiyo majibu y mtu mwenye akili sio wale akina johnthebaptist

..kwa muda mrefu tumejenga utamaduni wa kucharurana badala ya kujadiliana kwa hoja zenye tafakuri.

..utamaduni huo mbaya tumeurithi kutoka kwa Ccm na mfumo wa chama kimoja.

..uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema ungekuwa mzuri kama kambi za wagombea zingekuwa zinashindana kwa hoja, na sio kushambuliana binafsi.
 
Jamaa unateseka sana Mbowe hawezi kabisa kumshinda Lissu kama umepewa hii tenda rudisha pesa ya watu,

Mbowe hata kama angeachwa na Lemma au Heche bado angepigwa tu
Umejiunga leo kwa ajili ya kutetea lopolopo au ndiye Lissu mwenyewe.
 
Huyo Mama ni KATIBA tu ndio imemuweka hapo, pamoja na Sukuma Gang kutaka kumshughulikia, kumshauri akanyage KATIBA ni sawa na kumshauri awe Dikteta kamili.

Ziko njia nyingi za kumuondoa Dikteta Madarakani moja wapo ni njia ilyotumika kumuondoa Dikteta Bashiri Assad wa Syria.
 
..kwa muda mrefu tumejenga utamaduni wa kucharurana badala ya kujadiliana kwa hoja zenye tafakuri.

..utamaduni huo mbaya tumeurithi kutoka kwa Ccm na mfumo wa chama kimoja.

..uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema ungekuwa mzuri kama kambi za wagombea zingekuwa zinashindana kwa hoja, na sio kushambuliana binafsi.
Yeriko Nyerere na Ntobi ndio Vinara wa Matusi 😄
 
Maana mnamuona ni mwamba usiopenyeka.
Sasa namuomba Rais Samia apige marufuku mikutano ya kisiasa huyo Mwamba anayeaminika ataleta mageuzi akiwa Mwenyekiti aje aifungue/ akaidi aifanye. Awaingize barabarani chadema/ wananchi kupinga amri hiyo BATIRI ( maana itakuwa amri batiri ya udikiteita kusema kweli)
😊😄😁😂😃🤣

Matusi ruksa lakini angalia msifungiwe😳😳😳😳


View: https://www.youtube.com/watch?v=n6AOsHKulOE

Jiwe alikuwa hana adabu kwa Katiba..
Wewe ni mfuasi wa jiwe wala haujui lolote kuhuau utawala wa sheria.

Mama naye tunajua hana yofauti na jiwe
 
Jiwe alikuwa hana adabu kwa Katiba..
Wewe ni mfuasi wa jiwe wala haujui lolote kuhuau utawala wa sheria.

Mama naye tunajua hana yofauti na jiwe
Utawala wa Sheria Tuanzie Kwa Ulimbo au Kwa Mwangosi. Au Twende ng'ambo Tuanzie Kwa Edward Snowden au Durov.
Mtu mzima kukariri au kukaririshwa vitu ni aibu
 
Maana mnamuona ni mwamba usiopenyeka.
Sasa namuomba Rais Samia apige marufuku mikutano ya kisiasa huyo Mwamba anayeaminika ataleta mageuzi akiwa Mwenyekiti aje aifungue/ akaidi aifanye. Awaingize barabarani chadema/ wananchi kupinga amri hiyo BATIRI ( maana itakuwa amri batiri ya udikiteita kusema kweli)
😊😄😁😂😃🤣

Matusi ruksa lakini angalia msifungiwe😳😳😳😳


View: https://www.youtube.com/watch?v=n6AOsHKulOE

Ungeanza kwa kusema Mh. Rais Samia naomba ukeuke katiba iliyokuingiza madarakani ili uzuie mikutano ya vyama vya siasa......
 
Utawala wa Sheria Tuanzie Kwa Ulimbo au Kwa Mwangosi. Au Twende ng'ambo Tuanzie Kwa Edward Snowden au Durov.
Mtu mzima kukariri au kukaririshwa vitu ni aibu
Ni aibu kubwa kuuishi uovu kwa kujifananisha na waovu wengine
 
Kumbe Yeriko na mavitabu yake ya kutafsiri kidato cha 4 alitaga egg 😂😂😂😂😂😂

Ha ha haah kumbee ?!
Machawa wengi huwa hawano Sawa mahala kichwani na kwenye elimu zao.
Kumbe ni Nyangwinee mwingine ??! 🤣🤣🤣
Aibu aisee! 🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom