IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

hovyo kbisa hata haibu hana jeshi linatumiwa na ccm, pumbaf
 
Stop bitching and degrade women….
Wewe ingia Mtaani tukupongeze Kwa ushujaa

I have never bitched nor degraded anyone in my life.

Read through and get to recognize. This struggle is a just course, meritus to the chosen!

Mtaani tunakwenda wala pongezi zako hatuzihitaji. Nyie bakini na m@vi yenu.

You have absolutely nothing in common with us.

Tunakutana na wewe wapi mburula wewe!
 
Reactions: BAK
mstari unaotenganisha kati ya jeshi la polisi na serikali ya ccm ni mwembamba sanaa,
Shida ni moja chama kinachokua madarakani Rais ndo anakua amir jesh mkuu kwahiyo hata Chadema ikiwa amadarakan hivyo hivyo polis watakua upande wao na siyo polis tu majesh yoye yatakua upande wao ndo mfumo ulivyo hivyo
 
Akili za mavi hizi, kama ni haki yako kuja mahakamani njoo tena uwe wa kwanza uone moto
 
Hao ni wakuwafanya wa demo, unawakaanga ipasavyo mbwa hao, chadema ina watu wapumbavu sana sana
 
Sounds desperate and disrespectful

walk on
 
Kiburi cha kwenye keyboard ni kibaya, nakushauri tulia ulee familia yako, utajuta

Kinawakera nini sisi kwenda mahakamani? Tofauti ya kero zenu leo na siku Lissu alipokuja JKNIA ni nini?

Akili zenu huwa zinazo nafasi zozote za kujifunza?

Au ni yale yale ya mbwa mzee na majina mapya?
 
Hakika,
Hawa ni wavunjifu wa amani watanzajia tuwapige vita hawa hawakawii kutukimbia kama yule aliyekimilia nairobi kisha huko kwa mabeberu
 
Kwani igp ndo nani. Nchi hii siyo mali yake pekeee. Tutaandamana na tuko radhi kifa maana tutaenda peponi. Mungu anafahamu mmembambika kesi mbowe na susu tunapigania haki. Sasa kama igp ana haki au mamlaka ya kutoa uhai na afanue tu
 
Kama yule wa arusha alivyokimbia nchi akidai ni mkimbizi hawa ni wa kupigwa vita kabisa hawa watumwa wa mabeberu
 
Kwani igp ndo nani. Nchi hii siyo mali yake pekeee. Tutaandamana na tuko radhi kifa maana tutaenda peponi. Mungu anafahamu mmembambika kesi mbowe na susu tunapigania haki. Sasa kama igp ana haki au mamlaka ya kutoa uhai na afanue tu
siku utakaporudi unatema tomato mdomoni ndiyo utajuwa siro ni nani
 
Hii ni nchi iliyo tayari kupokea mabadiliko. Dalili zinaonekana wazi kabisa sasa kwa matamko kama aliyotoa huyu mkuu wa polisi.

Ni dhahiri kabisa sasa kwamba Tanzania yetu haiwezi kuendelea katika uongozi wa namna hii na sisi kama raia tukaendelea kujivunia kuwa nchi yenye mwelekeo wa matumaini juu ya nchi yetu.
 
siku utakaporudi unatema tomato mdomoni ndiyo utajuwa siro ni nani
Mabadiriko na kudai haki vina tabia hiyo hususani hizi nchi za africa zinazoongozwa kidictator lazima kufa ili waru wengine hasa nyie waoga mpate ahueni mbeleni
 
Maadiriko na kudai haki vina tabia hiyo hususani hizi nchi za africa zinazoongozwa kidictator lazima kufa ili waru wengine hasa nyie waoga mpate ahueni mbeleni
sasa wakufa ni nani ? ndiyoswali la muhimu watangaze kuwa mnyika atakuwa mbele sehemu fulani wamfuate siyo anawqambia tu watu wakaandamane yeye anawaangalia kwenye tv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…