IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

Tumeamua kupambana na Serikali haramu (ndiyo ni haramu hawakushinda uchaguzi) basi tutumie hata njia ambazo hazitasababisha umwagaji damu lakini zitakuwa na negative impact kwenye hii Serikali ya kidhalimu.
La kwanza la msingi binafsi niko tayari kupata hasara. Ila:

"Hakuna muamala hapa!"

...
 
Alisikika raia mmoja wa online republic akitutusa vidole kutokea ughaibuni

nendeni barabarani …. Mkaonje virungu vipya

Virungu tu? Walisikika makamanda waliodhamiria kweli kweli wakiwa hapa nyumbani wakisema ---- "Kudai haki hakuwezi kuwa bila gharama"

"Tuko tayari kuilipa gharama hiyo" -- wakasiliba.

Makamanda hao walikuwapo JKNIA siku Lissu alipokuja na jiwe likiwa jiwe kweri kweri.

"Waambieni wageuze stadiums zote kuwa magereza. Kisutu tutakuwapo bila kukosa." --- wamesisitiza makamanda hao.
 
Mitandao ya kijamii imefurika matusi na kejeli baada ya IGP kutoa press akidai asiyeamini kwamba Mbowe ni Gaidi aende akamuulize. Amekwenda mbali zaid na kudai atakayethubutu kuandamana atapigwa tu....
Wanatoa matusi wakiwa kwenye I'd fake
 
h
What kind of IGP we have? Is it a Tanzanian or illegal migrant from Rwanda? Tunaelewa mashtaka ya Mbowe Ni ya kipumbavu na hayana msingi wowote,free Freeman Mbowe .
uo ni ushabiki tu umeambiwa nenda kamuulize atakuambia yeye siyo malaika asitende uovu
 
Hatuwezi kuandamana kwa kutolewa muhanga ,ugaidi afanye yeye kwa maslhi yake na genge lake ,halafu watoto wetu watumike Kama chambo,shwain kabisa!!
 
La
Ameshasema ambaye maisha yamemshinda aende kuandamana pale mahakamani atapigwa mpaka achakae
Mtoto wa Mbowe ndo atangulie,Mambo ya kudanganyana nguvu ya umma,wakati wanufaikaji namba moja Kama mke,watoto,hawapo,hiyo siyo nguvu ya umma.
 
Katibu Mkuu wa chadema Mnyika anapaswa achunge sana kauli zake za kuhamasisha maandamano yenye lengo la kuvunja amani ya nchi.

Asije akalilaumu Jeshi la Polisi endapo atachukuliwa hatua za kisheria...
Kwani Mnyika yuko chama chenu? Ushauri wenu bakini nao tafadhali.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
 
Kwani Lissu alipokuja kupitia JKNIA siku ile Sirro chini ya rire jiwe kweri kweri alisema je?

Labda tuanzie hapo kwanza.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Press conference yote ya Siro imejaa NIA ya mateso kwa watanzania wenzetu wapinzani bila sababu.
Kwa muktadha huo, naomba awekewe FATWA.
FATWA NAAMA YAKE INAJULIKANA, KAMA HUJUI GOOGLE
 
La

Mtoto wa Mbowe ndo atangulie,Mambo ya kudanganyana nguvu ya umma,wakati wanufaikaji namba moja Kama mke,watoto,hawapo,hiyo siyo nguvu ya umma.

Usituchagulie wa kutangulia. Kwani wewe nani?


Subirini tuchanjwe kwanza. Tutaelewana tu mamburula nyie.

Mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu. Tambueni zama mpya zi karibu.
 
Tunasubiri matokeo

Ingi mtaani uone

Kaa pembeni binti. Endelea kuunga mboga kwa matumizi jioni.

Wanaume tuliotinga kumpokea Lissu JKNIA tutakuwapo kisutu. Shaka ondoa dada.

Ukipenda, ukamwambie sirro waliokuwa wageni wake JKNIA watakuwapo kisutu.

Kama mmepanga kuiharibu nchi hatuna cha zaidi ya kuyaridhia matakwa yenu.
 
Kaa pembeni binti. Endelea kuunga mboga kwa matumizi jioni.

Wanaume tuliotinga kumpokea Lissu JKNIA tutakuwapo kisutu. Shaka ondoa dada.

Ukipenda, ukamwambie sirro waliokuwa wageni wake JKNIA watakuwapo kisutu.

Kama mmepanga kuiharibu nchi hatuna cha zaidi ya kuyaridhia matakwa yenu.
Stop bitching and degrade women….
Wewe ingia Mtaani tukupongeze Kwa ushujaa
 
Ingekuwa vema wakaweka tu wazi kwamba CHADEMA na vyama vingine vya upinzani ndiyo hawaruhusiwi kukusanyika popote, Maana siku wakati konganmano la katiba mpya lililoandaliwa na CHADEMA lilipozuiwa kule Mwanza kwa madai ya kupambana na Corona, Siku hiyohiyo kulikuwa na mechi ya mpira kati ya Pamba na Coastal Union na watu walijazana uwanjani mpaka basi!

Pia siku iliyofuata wameona viongozi kadha wa CCM na serikali kama Mwingulu Nchemba na PM Majaliwa wakihutubia mikusanyiko ya hadhara!

Kwa hiyo hii inaonyesha dhahiri kuwa mapambano dhidi ya Corona sasa yanatumika kama kivuli cha kuminya demokrasia nchini, kwa si vizuri kuendelea kuudanganya umma kukataza mikusanyiko huku walengwa wanaeleweka!
 
acheni ugaidi, hii nchi sio ya kwenu peke yenu. kama amefadhili ugaidi mnataka asiguswe? na mnashinikiza aachiwe hamuoni kama mnaingilia mahakama, kesi si ipo mahakamani? DPP si ametoa kibali cha kuanza kusikilizwa (si mmeona ile charge ina consent n a certificate), manake kesi inaanza kusikilizwa haraka, au mnaogopa ushahidi utakaoletwa? tulieni dawa iwaingie.
 
View attachment 1877322
IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 akizungumza kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe


IGP Simon Sirro leo Agosti 2, 2021 amezungumza haya kuhusu kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe:

Mnakumbuka mnamo tarehe 17 mkoani Mwanza walikamatwa wanachama/wafuasi 15 wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (CHADEMA) Taifa Ndugu Freeman Aikael Mbowe wanachama hao walikamatwa kwa kosa la kutoa Matamshi yenye kuashiria uvunjifu wa amani nchini ikiwemo kuhamasisha/ kushawishi wananchi kwa Vitisho na Sharti kuwa lazima katiba mpya ipatikane la sivyo, yanayoendelea Afrika Kusini yatatokea Tanzania

Baada ya kukamatwa Ndugu Freeman Aikael Mbowe alipelekwa Jijini DSM ambapo kulikuwa na kesi inayopelelezwa dhidi yake kuhusiana na kula njama na kufadhili vitendo vya kigaidi. Watuhumiwa wenzake 6 walikuwa Mahabusu na walishafikishwa Mahakamani. Watuhumiwa wengine waliokamatwa Jijini Mwanza pamoja na Ndugu. Mbowe waliachiwa kwa dhamana. Hata hivyo baada ya upelelezi kukamilika Jalada la kesi litawasilishwa Ofisi ya Mashtaka kwa hatua zaidi

Kuhusu Mtuhumiwa Freeman Mbowe na Wenzake tuhuma dhidi yao kwa sasa iko chini ya Mamlaka ya Mahakama. Suala la dhamana kwa kesi wanayokabiliwa nayo ni la kisheria na linasimamiwa na Mahakama

Hivyo Jeshi la Polisi halitegemei mtu wala kikundi cha watu kwa namna yoyote kutoa shinikizo kwa Mamlaka ya Mahakama ama mtuhumiwa Freeman Aikael Mbowe aachiwa au kupewa dhamana

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa mtu ama kikundi cha Watu kitakacho jaribu kuhamisisha Mikusanyiko isiyo rasmi au kuandamana au kwa namna yoyote ile ili kutoa shinikizo lolote.



Siro kitu kimoja hakijui ni kwamba Watanzania wengi wanamjua Mbowe amekulia Dar watu wanamfahamu kwa miaka zaidi ya 30 leo hii huwezi kubadilisha watu mawazo ni ngumu sana. Mbowe angekuwa mtu mwingine angeweza lakini sio Mbowe
 
Back
Top Bottom