Dabo sitandadi katika viwango vya upeo wajuu,waokwa wao wanahitaji vibali ila wengine full manyanyaso ubinadamu ziro,Bila punje ya aibu,wala hofu kwa Mungu juu ya uovu wautendao.Nchii hii Raha sana
Kwa jibu hili hoja yako haina msingi kwamba vitu vinafanywa kwa utaratibuSijui Kaka.
Labda tuwaulize wenye makanisa,yawezekana wanafahamu vizuri suala hilo.
IGP ametumia madaraka yake vizuri sana...Thank you IGPIGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lake...
Kisichojulikana na wengi ni moja ya member muhimu wa ile gang yenye maguvu ya kutisha.Kwa hii kauli ya Sirro Askofu Gwajima ameshashinda tayari asubuhi na mapema.
Kwa Tanzania Mwenyekiti wa CCM Wilaya anaweza kumpa amri IGP au RPC kama hujui. Imeshatokea mara nyingi.Toka lini waziri akawa amiri jeshi? Yaani waziri atoe amri kwa jeshi? Tukiendekeza hilo kuna siku we waziri Mulamula ataamrisha jwtz ivamie Malawi!
I knew it hawawezi kufanya kituIGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lake...
Kwa Tanzania Mwenyekiti wa CCM Wilaya anaweza kumpa amri IGP au RPC kama hujui. Imeshatokea mara nyingi.
Kwa taarifa yako mkuu wa majeshi anampigia saluti mkuu wa wilaya, IGP na RPCs woooote wanampigia saluti mkuu wa wilaya hivyo wanaweza kupewa amri yoyote.
Hii ni bongoland.
Wakumbushe mkuu. Tanzania mwenyekiti wa CCM wilaya anakuweka ndani sembuse Waziri?Kwani wale wanaokamatwa kwenye mikutano ya Mawaziri Jaffo, Awesu, Majaliwa nk papo kwa papo huwa inakuwa je?
Wale waliokuwa wanasukumwa ndani na yule mwamba wa Tabora nao je?
Karatasi zipi zilikuwa zinasainiwa au jinai ipi ilikuwa ikiangaliwa kabla ya habari?
Piga ua garagaza Dorothea lazima ajibiwe hoja zakeKama alipambana na Makonda
Sirro mnapowakamata Viongozi wa Chadema mnakuwa na barua kutoka kwa nani ? wewe utavunja rekodi ya IGP mbovu kuwahi kuwepo tangu nchi hii ipate uhuruIGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lake...
Wakumbushe mkuu. Tanzania mwenyekiti wa CCM wilaya anakuweka ndani sembuse Waziri?