IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

Du kweli huyu Sirro ni ZERO kweli kweli! Alipomkamata Mbowe alipata maandishi kutoka wapi? Nchi hii ina mijitu mitutusa sana.
 
Wale waliokuwa wanasukumwa ndani na yule mwamba wa Tabora nao je?
Kumbe hufahamu jinsi muundo wa kiserikali ulivyo, wakuu wa mikoa na DC wao wanauwezo wa kutoa amri ya kumsweka mtu ndani (nafikiri ni 48hrs) kwenye sehemu yao. Wao wanasimama badala ya Rais katika wilaya/mikoa yao.
 
Single touch double manifestation ( sijui kama niko sahihi)
 
Kumbe kamata kamata zinahitaji barua.... Sirro awe na akiba na maneno, yatamrudia siku moja.
 
Kumbe hufahamu jinsi muundo wa kiserikali ulivyo, wakuu wa mikoa na DC wao wanauwezo wa kutoa amri ya kumsweka mtu ndani (nafikiri ni 48hrs) kwenye sehemu yao. Wao wanasimama badala ya Rais katika wilaya/mikoa yao.

Kwanini umechagua mstari mmoja badala ya aya zote 3?



Hiiiiii bagosha!
 
Toka lini waziri akawa amiri jeshi? Hilo likiruhusiwa kuna siku waziri atatoa order kwa jwtz ivamie nchi nyingine. Mawaziri wajifunze namna ya kufanya kazi.
Unachokosea ni kwamba hujui Central government ina nguvu kuliko Local government.
Unaelewa kuwa mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa wana mamlaka ya kuamrisha mtu akamatwe? (Local government)
Je unasemaje kwa waziri ambaye yuko katika central government?
 
Kumbe hufahamu jinsi muundo wa kiserikali ulivyo, wakuu wa mikoa na DC wao wanauwezo wa kutoa amri ya kumsweka mtu ndani (nafikiri ni 48hrs) kwenye sehemu yao. Wao wanasimama badala ya Rais katika wilaya/mikoa yao.


Huyu Katambi ni DC au RC wa wapi? Mbona katoa amri ya mwananchi kuwekwa ndani?
 
Hizi Busara Sirro amezitoa wapi [emoji16][emoji16][emoji16] oooh! itakuwa ni side effects ya chanjo sio..??[emoji1787]
 
Asichokijua ni kwamba wakuu wa wilaya, mikoa, mawaziri ni makamishna, wateuliwa wa rais.
 
Imetoka kutaka kichwa cha Gwajima imekuwa double manifestation tunataka vichwa Gwajima na Sirro. Hii corona sikuwahi fikiri inaweza kuleta mitafaruku ndani ya serikali yetu.
 
Unaishi nchi gani?
 
Kwani wale wabunge waliosemekana na mkuu wa mkoa kuwa wametoroka bungeni na kuja Dar, kuna sheria ipi ilitumika kuwakamata, hadi mkuu wa mkoa kuwataka warudi bungeni? Taja hiyo sheria hapa!
 
Kwani wale wabunge waliosemekana na mkuu wa mkoa kuwa wametoroka bungeni na kuja Dar, kuna sheria ipi ilitumika kuwakamata, hadi mkuu wa mkoa kuwataka warudi bungeni? Taja hiyo sheria hapa!
Walikua wanazurula Dar, imebidi wakamatwe kwa amri ya mkuu wa mkoa.
 
Kuna uwezekano mkubwa hata Sirro mwenyewe ni Pro Askofu 😁 ila alichanja kwa shinikizo la Mamlaka ya uteuzi tu ila haikuwa HIARI.

Kutumika nako kuna ukomo wake,waachwe watu waongee na wenye wajibu wajitokeze kuweka mambo sawa.

Kikwete aliwaambia,"Hoja hazipigwi rungu,Hoja hujibiwa kwa hoja".
 
Reactions: mmh
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hapo Gwajiboy kapata pa kupumzkia atamuandama uyo Dorothy mpaka aombe pooh. Akili ya Gwajiboy na manara ni moja wote ni waropokaji na hawachagui neno.
Sio watu wa kubishana nao hao ni kuwapuuza tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…