IGP Wambura, nakutafutia ushahidi wangu kuhusu vurugu wakati wa uchaguzi

IGP Wambura, nakutafutia ushahidi wangu kuhusu vurugu wakati wa uchaguzi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Bw IGP Inspekta General Camilius Wambura, mimi ni mtanzania mwema na na nia ya dhati kabisa Kusaidia nchi kufichua maovu yote yanayoendelea nchini hasa mienendo ya chama hiki cha Kaskazini.

Namba za Jeshi la Polisi ktk tovuti yenu naomba mzihuishe, nitakuwa napiga simu kwenu mchukue hatua.

Kwann nasema hiv, mm niliingia mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Mbowe, yule dada aliaminiwa sana na chama, sasa hv hajihusishi saaana na chama kwa sababu aliwahi kupata matatizo wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020 akakaa sana jela, chama cha Mbowe hakikumsaidia lolote had anatoka jela, amepambana sana lkn haoni faida, nikamuomba tuwe na mahusiano na awe ananipa ishu zote za chama ndani ya Wilaya, nikawa nampoza poza fedha kidogo.

Yule dada amenieleza yote, kwanza chama chao kina kawaida ya kupeleka watu kutoka makao makuu kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa vijana 2 kutoka kila kata ili wao wakafundishe na wenzao jinsi ya kuharibu miundombinu wakati wa uchaguzi, nakumbuka mwezi wa 3 au 4 walienda katika mawilaya hasa wilaya nayoisema mm, walipokewa vzr lkn walishindwa kutoa mafunzo kwa sababu hawakulipwa, kila mwanachama alieombwa alisema hana hela, wakakaa wiki wakaondoka, mm kila walichokuwa wanakifanya nlikuwa naambiwa na huyo dear wang.

Kwahiyo kilichosemwa na msemaji wako sikubishii:

Nakuahidi kukupgia cm au kutafuta namba zako ktk tovuti ya Polisi pindi watakapoletwa tena kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Nataka nithibitishe kuwa siandikagi porojo
 
Wizi wa kura katika uchaguzi wa 2020 udumu.

Kuna halali , nusu halali na haramu lakini inayotumika zaidi ni haramu !!!
 
Hongera sana kwa kuwa mzalendo kama ni kweli habari yako ila polisi hii ndugu yangu haya lakini ila mambo yatakugeukia wewe wewe ,fanya nao mazoea tu ipo siku mkuu
 
Bw IGP Inspekta General Camilius Wambura, mimi ni mtanzania mwema na na nia ya dhati kabisa Kusaidia nchi kufichua maovu yote yanayoendelea nchini hasa mienendo ya chama hiki cha Kaskazini.

Namba za Jeshi la Polisi ktk tovuti yenu naomba mzihuishe, nitakuwa napiga simu kwenu mchukue hatua.

Kwann nasema hiv, mm niliingia mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Mbowe, yule dada aliaminiwa sana na chama, sasa hv hajihusishi saaana na chama kwa sababu aliwahi kupata matatizo wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020 akakaa sana jela, chama cha Mbowe hakikumsaidia lolote had anatoka jela, amepambana sana lkn haoni faida, nikamuomba tuwe na mahusiano na awe ananipa ishu zote za chama ndani ya Wilaya, nikawa nampoza poza fedha kidogo.

Yule dada amenieleza yote, kwanza chama chao kina kawaida ya kupeleka watu kutoka makao makuu kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa vijana 2 kutoka kila kata ili wao wakafundishe na wenzao jinsi ya kuharibu miundombinu wakati wa uchaguzi, nakumbuka mwezi wa 3 au 4 walienda katika mawilaya hasa wilaya nayoisema mm, walipokewa vzr lkn walishindwa kutoa mafunzo kwa sababu hawakulipwa, kila mwanachama alieombwa alisema hana hela, wakakaa wiki wakaondoka, mm kila walichokuwa wanakifanya nlikuwa naambiwa na huyo dear wang.

Kwahiyo kilichosemwa na msemaji wako sikubishii:

Nakuahidi kukupgia cm au kutafuta namba zako ktk tovuti ya Polisi pindi watakapoletwa tena kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Nataka nithibitishe kuwa siandikagi porojo
Ndio walewale wa shahidi gaidi.
 
Bw IGP Inspekta General Camilius Wambura, mimi ni mtanzania mwema na na nia ya dhati kabisa Kusaidia nchi kufichua maovu yote yanayoendelea nchini hasa mienendo ya chama hiki cha Kaskazini.

Namba za Jeshi la Polisi ktk tovuti yenu naomba mzihuishe, nitakuwa napiga simu kwenu mchukue hatua.

Kwann nasema hiv, mm niliingia mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Mbowe, yule dada aliaminiwa sana na chama, sasa hv hajihusishi saaana na chama kwa sababu aliwahi kupata matatizo wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020 akakaa sana jela, chama cha Mbowe hakikumsaidia lolote had anatoka jela, amepambana sana lkn haoni faida, nikamuomba tuwe na mahusiano na awe ananipa ishu zote za chama ndani ya Wilaya, nikawa nampoza poza fedha kidogo.

Yule dada amenieleza yote, kwanza chama chao kina kawaida ya kupeleka watu kutoka makao makuu kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa vijana 2 kutoka kila kata ili wao wakafundishe na wenzao jinsi ya kuharibu miundombinu wakati wa uchaguzi, nakumbuka mwezi wa 3 au 4 walienda katika mawilaya hasa wilaya nayoisema mm, walipokewa vzr lkn walishindwa kutoa mafunzo kwa sababu hawakulipwa, kila mwanachama alieombwa alisema hana hela, wakakaa wiki wakaondoka, mm kila walichokuwa wanakifanya nlikuwa naambiwa na huyo dear wang.

Kwahiyo kilichosemwa na msemaji wako sikubishii:

Nakuahidi kukupgia cm au kutafuta namba zako ktk tovuti ya Polisi pindi watakapoletwa tena kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Nataka nithibitishe kuwa siandikagi porojo
Muwe mnahuruma na watu,yaani sawa na Shehe au Padiri akamchomole hera kibaka wa mtaa wa congo kaliakoo? CCM kwa wizi wa kura ni zaidi ya uijuavyo
 
Tupe darasa
Unajua vitu vingine vinasikitisha sana kama uonezi kwa Chadema umepitiliza mpaka basi,watu wauziwe kesi za mchongo,wafungwe, basi ifutwe Chadema ibaki CCM peke yake,naona ndiyo watakuwa wanapata usingizi
 
Bw IGP Inspekta General Camilius Wambura, mimi ni mtanzania mwema na na nia ya dhati kabisa Kusaidia nchi kufichua maovu yote yanayoendelea nchini hasa mienendo ya chama hiki cha Kaskazini.

Namba za Jeshi la Polisi ktk tovuti yenu naomba mzihuishe, nitakuwa napiga simu kwenu mchukue hatua.

Kwann nasema hiv, mm niliingia mahusiano ya kimapenzi na dada mmoja ambaye alikuwa mwanachama wa chama cha Mbowe, yule dada aliaminiwa sana na chama, sasa hv hajihusishi saaana na chama kwa sababu aliwahi kupata matatizo wakati wa uchaguzi wa mwaka 2020 akakaa sana jela, chama cha Mbowe hakikumsaidia lolote had anatoka jela, amepambana sana lkn haoni faida, nikamuomba tuwe na mahusiano na awe ananipa ishu zote za chama ndani ya Wilaya, nikawa nampoza poza fedha kidogo.

Yule dada amenieleza yote, kwanza chama chao kina kawaida ya kupeleka watu kutoka makao makuu kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa vijana 2 kutoka kila kata ili wao wakafundishe na wenzao jinsi ya kuharibu miundombinu wakati wa uchaguzi, nakumbuka mwezi wa 3 au 4 walienda katika mawilaya hasa wilaya nayoisema mm, walipokewa vzr lkn walishindwa kutoa mafunzo kwa sababu hawakulipwa, kila mwanachama alieombwa alisema hana hela, wakakaa wiki wakaondoka, mm kila walichokuwa wanakifanya nlikuwa naambiwa na huyo dear wang.

Kwahiyo kilichosemwa na msemaji wako sikubishii:

Nakuahidi kukupgia cm au kutafuta namba zako ktk tovuti ya Polisi pindi watakapoletwa tena kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa.

Nataka nithibitishe kuwa siandikagi porojo
Duniani kote, Hearsay huwa haikubariki mahakamani - jiandae na case defamation.
 
Back
Top Bottom