Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hakika hakika Dunia ni watu.

Ndugu makomredi na wanafamilia nichukue fursa hii kama mpambanaji na mwanafamilia wa ukweli wa jukwaa hili kusaidiana inapobidi nyakati zote ni muhimu sana sana.
Hasa sisi wachatakaji, wazagamuaji, wakali wa msakalanyo, wazee wa kutimba aidha uwe umeoa au hujaoa.

Nawatonya dawa mojawapo nzuri ya kuua limbwata ulilopewa na kimada au mke.

Dawa ni kunywa Mkojo wako vijiko viwili au pafu mbili za mfuniko wa chupa ya maji hasa ule mkojo wako wa kwanza wa saa9 ucku mpaka saa11 alfajiri, wewe amka nenda kakojoe kisha kunywa huko huko chooni, fanya hivyo ndani ya siku tatu utashangaa.

Japo mkojo ni mkojo tu hata muda wowote baada ya kutoka kula chakula ambacho huna imani mwanamke alieandaa chakula hicho.

chonde chonde sambaza ujumbe huu tuokoe wanao angamizwa.

Huu ujumbe sio masihara take it seriously na inshallah Mungu awajalie nyote.

Wadiz
 
Hakika hakika Dunia ni watu.

Ndugu makomredi na wanafamilia nichukue fursa hii kama mpambanaji na mwanafamilia wa ukweli wa jukwaa hili kusaidiana inapobidi nyakati zote ni muhimu sana sana.
Hasa sisi wachatakaji, wazagamuaji, wakali wa msakalanyo, wazee wa kutimba aidha uwe umeoa au hujaoa.

Nawatonya dawa mojawapo nzuri ya kuua limbwata ulilopewa na kimada au mke.

Dawa ni kunywa Mkojo wako vijiko viwili au pafu mbili za mfuniko wa chupa ya maji hasa ule mkojo wako wa kwanza wa saa9 ucku mpaka saa11 alfajiri, wewe amka nenda kakojoe kisha kunywa huko huko chooni, fanya hivyo ndani ya siku tatu utashangaa.

Japo mkojo ni mkojo tu hata muda wowote baada ya kutoka kula chakula ambacho huna imani mwanamke alieandaa chakula hicho.

chonde chonde sambaza ujumbe huu tuokoe wanao angamizwa.

Huu ujumbe sio masihara take it seriously na inshallah Mungu awajalie nyote.

Wadiz
Nikinywa lita moja ya mkojo ni sawa na kuji overdose ?
 
Nasikia wanatumiaga mikojo yao kutengeneza limbwata na kila aina ya uchafu unaotoka katika miili yao ikiwemo damu ya hedhi.
Sasa hapo na wewe ukinywa mkojo wako si inakuwa kama umechochea moto. Unaweza jikuta unaenda kazini kwake na machozi yakikutoka ukilia wivu. Unakuwa zwazwa la mwisho.

Unaweza mkuta anapigwa nao na ukamuomba msamaha kwa kumkatiza raha zake
 
Ngoja nuendelee kufikiri kwa kina kabla ya maamuzi magumu
 
Back
Top Bottom