Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Wacha nichakazwe na limbwata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikojo ya nyumba ndogo au michepuko tunakunywa Sana Tena bila kukusudia, majivu ya nywele zao za chini tunayanywa Sana kwenye juisi na soda.Acha niendelee kuwa zezeta daah siwezi
Ukweli mchungu huu, wanaume tunapitia mengi aiseeMikojo ya nyumba ndogo au michepuko tunakunywa Sana Tena bila kukusudia, majivu ya nywele zao za chini tunayanywa Sana kwenye juisi na soda.
Sasa kijiko kimoja Cha mkojo wetu wenyewe kitushinde?
Wengine mmekula Hadi vipaja vya kuku vikivyoingizwa migodini Tena kipindi mgodini Ni rangi ya Simba tupu ( kwa mchepuko sili kipaja au shingo)
Sasa mkojo utushinde. Leo ntajaribu.
Kufa sifi mm na limbwata humuwekei mume wangu.Unaweza kufa bure na dawa unayo !![emoji1787]
Usije kusema ukila na mavi ni dawa ya utajiri
Inafanyikaje hiyoUkilongwa huwa inajulikana... ndo maana huwa tunashauriwa sana tuwe tunafanya meditations.
Ukifanya meditations ni kama una communicate na roho yako, kama kuna kitu hakipo sawa lazima kuna hisia utazipata (instincts), aidha unalogwa au kuna kitu kibaya kinataka kufanyika dhidi yako
[emoji16][emoji16][emoji16]Kojo la chibuki unalijua wewe ? Ni bora unywe uharo
Ila chumvin unazamaWacha akitaka anidekishe nyumba ya mama mkwe na chupi zao niwafulie mkojo wangu siiiinywiiiiii
Nimeshangaa SanaKila atakayekuja hapa atajidai hawezi kunywa mkojo,wakati chumvini wanazama tena wananyonya haswaa