Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabeja sana thank you for sharing ur revelations has saved me a wonderful point, the mapunye one will help others. 🙏🙏🙏Sijawahi thibitisha hoja ya mwandishi wa uzi ila nakubaliana nae kwenye matumizi ya mkojo kama tiba.
Kati ya 2002-2005 kuna mdogo wetu alipata mapunye kutokana na kuchangia vitana kwenye shule za boarding. Kutokana na ugonjwa huo ilibidi awe ananyoa kipara na alitumia dawa nyingi za hospitali (za kumeza na cream za kupaka) bila mafanikio.
Kuna wakati hata dawa za kimasai zilitumika bila mafanikio.
Finally, akapatikana mtaalam wa magonjwa ya ngozi kwenye moja wapo ya hospitali zetu hapa bongo.
Jamaa alitoa solution ambayo hakuna aliyetarajia na ndio iliyomponyesha dogo.
It was very simple, kinga mkojo wako then upake kichwani asubuhi na jioni [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkojo kama mkojo ni noma sana...
Yaani wanywe mkojo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu kuna siku k imechachuka inatema smell ya ajabu.Kila atakayekuja hapa atajidai hawezi kunywa mkojo,wakati chumvini wanazama tena wananyonya haswaa
Unaogopa mkojo watu tunakunywa Hadi mavi ambayo yamekorogwa kwenye bakuriAcha niendelee kuwa zezeta daah siwezi
Siwezi kabisa.Hata wewe unaweza kunywa kujiepusha na Limbwata la mumeo.
Mtoa uzi ana jibu [emoji23][emoji23]Lakini sio kwa kuunywa.