Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Sijawahi thibitisha hoja ya mwandishi wa uzi ila nakubaliana nae kwenye matumizi ya mkojo kama tiba.
Kati ya 2002-2005 kuna mdogo wetu alipata mapunye kutokana na kuchangia vitana kwenye shule za boarding. Kutokana na ugonjwa huo ilibidi awe ananyoa kipara na alitumia dawa nyingi za hospitali (za kumeza na cream za kupaka) bila mafanikio.
Kuna wakati hata dawa za kimasai zilitumika bila mafanikio.
Finally, akapatikana mtaalam wa magonjwa ya ngozi kwenye moja wapo ya hospitali zetu hapa bongo.
Jamaa alitoa solution ambayo hakuna aliyetarajia na ndio iliyomponyesha dogo.
It was very simple, kinga mkojo wako then upake kichwani asubuhi na jioni [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkojo kama mkojo ni noma sana...
Wabeja sana thank you for sharing ur revelations has saved me a wonderful point, the mapunye one will help others. 🙏🙏🙏
 
Boko.jpg
 
Nimetoka kuunywa mkojo wangu alfajili hii. Nahisi mke wangu kanipiga limbwata la kunywa mkojo
 
Ndugu zangu walinipa hii dawa baada ya kunusurika kwenda kujiua ziwani baada ya kupata taarifa za kifo cha baba mkwe wangu. Ndugu zangu waligundua huu upendo kwa baba mkwe wangu haukuwa wa kawaida ikabidi bibi yangu mzaa mama aelekeze nipewe hii dawa
 
Write your reply...dawa ya limbwata ninayofahamu mm inaitwa libhobho kwa kikinga kama sijakosea,uwa anawekewa kwenye chakula muhusika pasipo yeye kujua hata aliyemfanyia uwa hajui ila uwa anapata matokeo na hata akienda kwa mganga uwa alirudi tena kwa mhusika.
 
Back
Top Bottom