Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Hakika hakika Dunia ni watu.

Ndugu makomredi na wanafamilia nichukue fursa hii kama mpambanaji na mwanafamilia wa ukweli wa jukwaa hili kusaidiana inapobidi nyakati zote ni muhimu sana sana.
Hasa sisi wachatakaji, wazagamuaji, wakali wa msakalanyo, wazee wa kutimba aidha uwe umeoa au hujaoa.

Nawatonya dawa mojawapo nzuri ya kuua limbwata ulilopewa na kimada au mke.

Dawa ni kunywa Mkojo wako vijiko viwili au pafu mbili za mfuniko wa chupa ya maji hasa ule mkojo wako wa kwanza wa saa9 ucku mpaka saa11 alfajiri, wewe amka nenda kakojoe kisha kunywa huko huko chooni, fanya hivyo ndani ya siku tatu utashangaa.

Japo mkojo ni mkojo tu hata muda wowote baada ya kutoka kula chakula ambacho huna imani mwanamke alieandaa chakula hicho.

chonde chonde sambaza ujumbe huu tuokoe wanao angamizwa.

Huu ujumbe sio masihara take it seriously na inshallah Mungu awajalie nyote.

Wadiz
Wewe ulishawahi kunywa, au ndiyo unatusakizia sisi tu
 
Nasikia wanatumiaga mikojo yao kutengeneza limbwata na kila aina ya uchafu unaotoka katika miili yao ikiwemo damu ya hedhi.
Sasa hapo na wewe ukinywa mkojo wako si inakuwa kama umechochea moto. Unaweza jikuta unaenda kazini kwake na machozi yakikutoka ukilia wivu. Unakuwa zwazwa la mwisho.

Unaweza mkuta anapigwa nao na ukamuomba msamaha kwa kumkatiza raha zake
Kuhusu damu ya hedhi usiongee njoo pm nikamwambie extremely dangerous
 
Kuna vitu vya mzaha mzaha ila sio hii ishu wasioamini ongeeni na wazee na wamama wanaojua Mila ndio mtaelewa
 
nina swali lingine mkuu mleta post naitaj usaidizi je kama hujawekewa katika chakula bali kupitia manuizo na mapepo mabaya je njia iyo inaponya pia natak jua maana mimi pia sielewi uwenda nimefanyiwa ayo.
 
Mkuu, mimi ni mnywaji wa chang'aa. Nikikojoa mkojo huo, mbu wote chooni wanapepesuka. Nyumba nzima inanukia ugwadu. Sasa, nikinywa huo mkojo nitakuwa hai kweli?

Kwani siruhusiwi kunywa wa mke wangu?
 
tatizo linakujaje mkuu ukirogwa unakuwa hujui kama umerogwa
Ukilongwa huwa inajulikana... ndo maana huwa tunashauriwa sana tuwe tunafanya meditations.

Ukifanya meditations ni kama una communicate na roho yako, kama kuna kitu hakipo sawa lazima kuna hisia utazipata (instincts), aidha unalogwa au kuna kitu kibaya kinataka kufanyika dhidi yako
 
Ukilongwa huwa inajulikana... ndo maana huwa tunashauriwa sana tuwe tunafanya meditations.

Ukifanya meditations ni kama una communicate na roho yako, kama kuna kitu hakipo sawa lazima kuna hisia utazipata (instincts), aidha unalogwa au kuna kitu kibaya kinataka kufanyika dhidi yako
meditation inafanyikaje na ina maandalizi yapi mkuu apo namaanisha usafi wa kimwili na mavazi na muda sahihi wa kumeditate.
 
Sijawahi thibitisha hoja ya mwandishi wa uzi ila nakubaliana nae kwenye matumizi ya mkojo kama tiba.
Kati ya 2002-2005 kuna mdogo wetu alipata mapunye kutokana na kuchangia vitana kwenye shule za boarding. Kutokana na ugonjwa huo ilibidi awe ananyoa kipara na alitumia dawa nyingi za hospitali (za kumeza na cream za kupaka) bila mafanikio.
Kuna wakati hata dawa za kimasai zilitumika bila mafanikio.
Finally, akapatikana mtaalam wa magonjwa ya ngozi kwenye moja wapo ya hospitali zetu hapa bongo.
Jamaa alitoa solution ambayo hakuna aliyetarajia na ndio iliyomponyesha dogo.
It was very simple, kinga mkojo wako then upake kichwani asubuhi na jioni [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkojo kama mkojo ni noma sana...
 
Back
Top Bottom