BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelekea kula na kimba wewSio mimi wote.
Mimi kila mwezi nakunywa lita moja ya kojo langu.
I rest my case, basi nitakunywa😂😂😂Kila atakayekuja hapa atajidai hawezi kunywa mkojo,wakati chumvini wanazama tena wananyonya haswaa
Wewe ulishawahi kunywa, au ndiyo unatusakizia sisi tuHakika hakika Dunia ni watu.
Ndugu makomredi na wanafamilia nichukue fursa hii kama mpambanaji na mwanafamilia wa ukweli wa jukwaa hili kusaidiana inapobidi nyakati zote ni muhimu sana sana.
Hasa sisi wachatakaji, wazagamuaji, wakali wa msakalanyo, wazee wa kutimba aidha uwe umeoa au hujaoa.
Nawatonya dawa mojawapo nzuri ya kuua limbwata ulilopewa na kimada au mke.
Dawa ni kunywa Mkojo wako vijiko viwili au pafu mbili za mfuniko wa chupa ya maji hasa ule mkojo wako wa kwanza wa saa9 ucku mpaka saa11 alfajiri, wewe amka nenda kakojoe kisha kunywa huko huko chooni, fanya hivyo ndani ya siku tatu utashangaa.
Japo mkojo ni mkojo tu hata muda wowote baada ya kutoka kula chakula ambacho huna imani mwanamke alieandaa chakula hicho.
chonde chonde sambaza ujumbe huu tuokoe wanao angamizwa.
Huu ujumbe sio masihara take it seriously na inshallah Mungu awajalie nyote.
Wadiz
Namaanisha sibahatishi kamanda hata hivyo ni hiari sio shuruti mi nimetimiza wajibu wangu wa kutoa taarifa kama sio wewe basi utasaidia ndugu zakoWewe ulishawahi kunywa, au ndiyo unatusakizia sisi tu
Ndio unakunywa Kwa tahadhari once in a whiletatizo linakujaje mkuu ukirogwa unakuwa hujui kama umerogwa
Ebu tupe radha yake ikoje?Namaanisha sibahatishi kamanda hata hivyo ni hiari sio shuruti mi nimetimiza wajibu wangu wa kutoa taarifa kama sio wewe basi utasaidia ndugu zako
Kuhusu damu ya hedhi usiongee njoo pm nikamwambie extremely dangerousNasikia wanatumiaga mikojo yao kutengeneza limbwata na kila aina ya uchafu unaotoka katika miili yao ikiwemo damu ya hedhi.
Sasa hapo na wewe ukinywa mkojo wako si inakuwa kama umechochea moto. Unaweza jikuta unaenda kazini kwake na machozi yakikutoka ukilia wivu. Unakuwa zwazwa la mwisho.
Unaweza mkuta anapigwa nao na ukamuomba msamaha kwa kumkatiza raha zake
😂🤣🤣🤣Hebu weka yote kesho asbh nianze😂
Ukilongwa huwa inajulikana... ndo maana huwa tunashauriwa sana tuwe tunafanya meditations.tatizo linakujaje mkuu ukirogwa unakuwa hujui kama umerogwa
meditation inafanyikaje na ina maandalizi yapi mkuu apo namaanisha usafi wa kimwili na mavazi na muda sahihi wa kumeditate.Ukilongwa huwa inajulikana... ndo maana huwa tunashauriwa sana tuwe tunafanya meditations.
Ukifanya meditations ni kama una communicate na roho yako, kama kuna kitu hakipo sawa lazima kuna hisia utazipata (instincts), aidha unalogwa au kuna kitu kibaya kinataka kufanyika dhidi yako
take it seriously na inshallah Mungu awajalie nyote.