Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Mngetuelekeza namna ya kujua kama umefanyiwa limbwata ya aina yoyote au kulogwa
 
Sijawahi thibitisha hoja ya mwandishi wa uzi ila nakubaliana nae kwenye matumizi ya mkojo kama tiba.
Kati ya 2002-2005 kuna mdogo wetu alipata mapunye kutokana na kuchangia vitana kwenye shule za boarding. Kutokana na ugonjwa huo ilibidi awe ananyoa kipara na alitumia dawa nyingi za hospitali (za kumeza na cream za kupaka) bila mafanikio.
Kuna wakati hata dawa za kimasai zilitumika bila mafanikio.
Finally, akapatikana mtaalam wa magonjwa ya ngozi kwenye moja wapo ya hospitali zetu hapa bongo.
Jamaa alitoa solution ambayo hakuna aliyetarajia na ndio iliyomponyesha dogo.
It was very simple, kinga mkojo wako then upake kichwani asubuhi na jioni [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkojo kama mkojo ni noma sana...
Mkojo unatibu vidonda vya tumbo pia .. unaweza ukatumia kama alivyosema mleta Uzi yaan ukanywa mapafu mawili au matatu ya asubui Yale... Sema kikubwa upimwe afya yako usiwe na magonjwa kama UTI na mengine kama hayo ... Ikibid kunywa maji usiku ili ukiamka asubui mkojo wako usiwe mchafu Sana kwa maana ya ile rangi yake isiwe concentrated Sana .. unaweza ukatumia kwa siku tatu mfulizo au ukawa unatumia mara Moja Moja au mbili kwa mwez kulingana na maendeleo yako ya ugonjwa wako ..
Mimi ni mmoja wao nilokuwa nasumbuliwa na vidonda saiz niko sawa kabisa .NB: dawa ya mkoja ililetwa kama mada hapa hapa JF Doctor..
 
KWELI WATANZANIA NI WABISHI, YAANI KUTOKA COMMENT YA KWANZA MPAKA YA MWISHO BADO WAPO WATU WANAOPINGA TU NA KUULIZA MASWALI!
Tuwe tunajifunza vitu vyetu vipya sio kuhoji muda wote huku vya wazungu tukipokea tu bila kuhoji
 
Back
Top Bottom