Ijue dawa ya kuua limbwata tuliyopewa bure na Mungu wetu kwa wema wake

Wabeja sana thank you for sharing ur revelations has saved me a wonderful point, the mapunye one will help others. 🙏🙏🙏
 
Nimetoka kuunywa mkojo wangu alfajili hii. Nahisi mke wangu kanipiga limbwata la kunywa mkojo
 
Sambaza upendo[emoji1787][emoji1787]!!
 
Ndugu zangu walinipa hii dawa baada ya kunusurika kwenda kujiua ziwani baada ya kupata taarifa za kifo cha baba mkwe wangu. Ndugu zangu waligundua huu upendo kwa baba mkwe wangu haukuwa wa kawaida ikabidi bibi yangu mzaa mama aelekeze nipewe hii dawa
 
Write your reply...dawa ya limbwata ninayofahamu mm inaitwa libhobho kwa kikinga kama sijakosea,uwa anawekewa kwenye chakula muhusika pasipo yeye kujua hata aliyemfanyia uwa hajui ila uwa anapata matokeo na hata akienda kwa mganga uwa alirudi tena kwa mhusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…